Firdaus9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,196
- 2,797
🤣🤣🤣 nmecheka adi watu wananishangaaHii picha umepiga kwa teke? Huu ni mwezi au andazi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 nmecheka adi watu wananishangaaHii picha umepiga kwa teke? Huu ni mwezi au andazi mkuu?
.....ni kuwa makini tu na kujiandaa, ingawa dalili za ujio wake nadhani zitaku za kuogofya sana, kama utakuwa ukiona ile hali siku moja kabla ya tetemeko la ardhi kule Uturuki, very terrible....Wakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
View attachment 2540899
😂😂 JamaniHii picha umepiga kwa teke? Huu ni mwezi au andazi mkuu?
Ni mapema sanamuda huo mnaangalia mwezi,uangalieni saa Tano,Kama rangi haitokua kawaida ndiyo muhojiNi kweli rangi sio ya kawaida
Powerful cameraWakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
View attachment 2540899
Aje kufanya nini!?..yake yalishapita,Sasa ni hivi ni Putin na zele.....ni kuwa makini tu na kujiandaa, ingawa dalili za ujio wake nadhani zitaku za kuogofya sana, kama utakuwa ukiona ile hali siku moja kabla ya tetemeko la ardhi kule Uturuki, very terrible....
Wa mchongo yule kagoma kusulubiwaMbona kasharudi,tena amefikia kenya tongareni
Mtu akipatia namlipaKwa location vijana wadukuzi kesho pm watakutaja jina kabisa 😂😂
SafiiiiMtu akipatia namlipa
Dah jamaa sijui hata Yuko wapi 😅😅😅Hii picha umepiga kwa teke? Huu ni mwezi au andazi mkuu?
Inji ndio nini na wewe?Ivi mwezi unaonekana inji nzima
Au ulipatwa ?Kuna nchi wameona hadi mwezi mwekundu hivi karibuni
Hii picha umepiga kwa teke? Huu ni mwezi au andazi mkuu?
mkuu unatumia sm gani?Mana naona kamavile umelipiga jua😅 miale ya kutosha😅😅😅
wee ndio umeeleweka.niliucheki mida ya saa 1 nikaona upo fulu/duara zima.ukipungua unaokuja kutoka baada ya siku 15 tunafunga sindio?Usku wa nisfu(shaaban)[emoji120]View attachment 2540976
Acha kudanganywa na izo message za uongoUsku wa nisfu(shaaban)[emoji120]View attachment 2540976