πππhapana mkuuKwaani Yesu anatumia mwezi, au kuna watu unawachokoza
Hiyo ya uzi tayari ni ya vijana wa kisasa, mimi niko na mvi hadi za nywele za puaniUmesahau, mnasemaga Uzi tayari.
π€£π€£π€£π€£Hii picha umepiga kwa teke? Huu ni mwezi au andazi mkuu?
Wakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
View attachment 2540899
Umechelewa kutoka nje mkuu, mwezi ulikuwa unatisha mida fulani aisee
Kuna nchi wameona hadi mwezi mwekundu hivi karibuni
Mbona kasharudi,tena amefikia kenya tongareniYesu arudi tu kwakweli, am so tired
Kwa location vijana wadukuzi kesho pm watakutaja jina kabisa ππ
Na sahiv tunamtafuta Yuda wakutuuzia ππMbona kasharudi,tena amefikia kenya tongareni