Wawacheni waendelee mashehe hukohuko Jela ,kwani hakuna hata moja litakalofanywa na serikali ya CCM likawa jema kwa wananchi,ni majanga tu.tokea wale mashee wawekwe ndani mnajua serikali zilikuwa zinakwaa majanga,nchi haitulii.
Viongozi walioko madaraka sura zimekunjika,hawana furaha ndani ya moyo ,wamejaa vichko vya kinafiki na wataendelea hivyo hivyo hakuna cha baba wala mama. Kila mtu ana baba yake na mama yake.
Kama hamna akili basi ongezeni mama kwa maana ya mama ni mmoja tu aliekuzaa wengine wa kambo na mnawajua,simba aitwe simba na mbwa aitwe mbwa.
Viongozi walioko madaraka sura zimekunjika,hawana furaha ndani ya moyo ,wamejaa vichko vya kinafiki na wataendelea hivyo hivyo hakuna cha baba wala mama. Kila mtu ana baba yake na mama yake.
Kama hamna akili basi ongezeni mama kwa maana ya mama ni mmoja tu aliekuzaa wengine wa kambo na mnawajua,simba aitwe simba na mbwa aitwe mbwa.