Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Wengi wanaochangia humu tayari wameshawahukumu hao masheikh kuwa ni magaidi, kwamba ni watu wabaya, watu hatari

Lakini mpaka sasa mwaka wa nane hakuna ushahidi wa Ugaidi wao, kesi yao inapigwa danadana...
Walihusika kuua Padri, kumwagia tindikali, kuchoma kabisa na kutukana nyerere na muungano, kutaka waislamu waue wakristo huko visiwani na bara. Hawa ni magaidi sio waislamu
 
Mnajua walichokua wanataka kukifanya au mnajisemesha tu humu jukwaani?
 
Wengi wanaochangia humu tayari wameshawahukumu hao masheikh kuwa ni magaidi, kwamba ni watu wabaya, watu hatari

Lakini mpaka sasa mwaka wa nane hakuna ushahidi wa Ugaidi wao, kesi yao inapigwa danadana...
Mkuu pole sn,komenti yako ulisoma Kwa sauti imekaa uchungu sana.

Lkn kuna mahali waislamu huwa mnakosea sn,pale mnapohisi dunia ipo against na nyie linapokuja swala la uvunjifu wa Amani..kukamatwa Kwa hawa mashehe akuhusiani na maswala ya islamophobia.

Km walifanya makosa waache wahukumiwe Kwa makosa Yao na siyo kuwavalisha vazi la Dini na Kusema hawakustahili kukaa jela.

Haki haipotei mkuu so km hawatakutwa na makosa wataachiwa,linapokuja swala la Amani tusiingize siasa tuanze kuwalaumu viongozi wa siasa..tuache muhimili wa mahakama ufanye kazi.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mnao waoneaga huruma hawa magaidi hivi hamfuatilii kinachoendelea Msumbiji jinsi majitu type hii yanavyo chinja wenzao. Kuweni serious bhana
Shida inakuja pale ambapo wakitolewa nje wataanza kurecruit vijana waende msituni kwa maslahi ya mabeberu. Ina kinachotokea msumbiji na kenya ni masheikh chuo waliovaa ngozi ya kondoo lakini rohoni ni chui. Hivi boko haram si inafadhiliwa na mabeberu lakini wanachinja ndugu zao kea jina la Allah!? ukiona serikali imekomaa kuwaweka mfano ujue wanao ushahidi wa kuridhizha usio na mashaka kuwa hao wakitoka nchi haitawaliki.

Wale walioongoza mauaji ya mapadri na vingozi wa ccm kyle kiburi usikute ni wao walioongoza hilo tendo. Jiulize kikwete hadi akawAatia undani wakati kuna msemo usemao " islamu ndugu yake islamu " ni kea nini. Si ajabu wakitoka watahamishia ya msumbiji mwetu tanzania. Mungu apishe mbali.

Haiwezekani muislamu Kikwete awaweke mfano waislamu wenzake tena viongozi wa dini bure, ipo namna hao ni wahalifu kwa jina Allah wananajisi muislamu hao. Na kama wangekuwa wako wasafi waliobakki nje wangesoma halalbadri ya kudhuru aliyewaweka mfano ingemgusa hiyo kiongozi aliyewaweka mfano, lakini kea kuwa ni waovu hata Allah hawezi kusikia maombi yao.

Ukipanda uovu utavuna uovu. Unakumbuka sheikh wa mwanza aliyekuwa na kikosi cha kufundisha vita ya msituni kipindi cha kikwete. Ni viongozi wa aina hiyo .tafakari.
 
Hoja yako ingenoga kama ungewasemea wote walio magerezani kwa kubambikiziwa kesi...

Hii kuwatetea mashehe peke yake imekaa kibaguzi sana..
Nadhani tusiseme waliohukumiwa japo inawezekana kukawa na wengine wameonewa ila kwa kuwa walishahukumiwa ni vigumu kusema nani kaonewa na nani hapana maana ukisha hukumiwa unaweza kukata rufaa, shida ni hawa wanaokaa rumande miaka bila kupelekwa mahakamani ili wasikilizwe na hukumu itoke.

Hapa wanaongelewa Mashekh sababu sababu wako miaka 7 gerezani bila kuhukumiwa na wale wazee wawili wa Epicor sijui nao wamekaa sana. Sasa hawa kwa kuwa issue zao ziliandikwa sana ndio maana wanawaongelea.

Nadhani ingekuwa wamehukumiwa kusingekuwa na kelele hizi shida huwezi kumuweka mtu miaka ndani bila kesi je leo ukimpeleka mahakamani akashinda kesi?

Miaka yote uliyomuweka ndani si dhulma hiyo ni kama umeshamuhukumu. Kama kuna wengine sijui lakini kama wapo wapelekwe mahakamani sio miaka ndani bila kesi kutajwa, sio haki.
 
Walihusika kuua Padri, kumwagia tindikali, kuchoma kabisa na kutukana nyerere na muungano, kutaka waislamu waue wakristo huko visiwani na bara. Hawa ni magaidi sio waislamu
Wangekuwa wamefanya hayo bila shaka mashitaka dhidi yao yangetaja vitu hivyo, lakini hakuna hilo suala kwenye mashitaka yao.
 
Halafu mbona sikii viongozi wa kikristo kukamatwa au kuwa uko magerezani, inamaana ni watakatifu sana au ni nini zaidi
Siku moja nipo zangu home nafua nguo zangu,jirani yangu chumba cha pili alifungulia redio kwa sauti alafu akaacha mlango wake wazi..alikuwa anasikiliza mawaidha ya shehe mmoja wa Mombasa(simjui jina lake Ila sauti yake maarufu sn masikioni kwangu)

Yule shehe alikuwa anafundisha Kwa lugha kali sn yenye misimamo ya kikatili dhidi ya watu wasiokuwa waislamu (alikuwa anawaita makafir),waumini wanaitikia takbiiir

Kukujibu swali lako sista ni kwamba ni ngumu sn kumkuta kiongozi wa kikristo anahubiri Kwa chuki na lugha yenye kuashiria uvunjifu wa Amani,na km wapo lazima wakamatwe pia

Hata mashehe si wote wenye kuhubiri Kwa lugha zenye ukakasi ndiyo maana tunaishi nao Tu mtaani vizuri

Tafuta mahubiri ya Yule shehe mkenya aliyeanzisha kikundi cha kigaidi kule Palma msumbiji ndy utaelewa ninachozungumza Kwa nn watu wa Aina hii hatuwaachi mtaani



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hili tuwe wapole, siyo suala la Kisiasa. Hata USA George Bush na baadaye Obama waliwaweka magaidi Guantanamo hadi walipojirishisha.
Naamini hata wewe Missile of the Nation ungekuwa ni Rais wa Tanzania halafu Muislamu, baada ya kusoma ripoti ya Siri usingewaachia....
Guantanamo Bay wengi walionewa, na Guantanamo bay haikuwa sifa njema kwa Marekani.

Na wala si kigezo chema kujifunza na kufanya matendo ya gross human rights violations kwa sababu yamefanywa na Marekani. Tujifunze mazuri kutoka huko tusijifunze yale ya uovu
 
Siku moja nipo zangu home nafua nguo zangu,jirani yangu chumba cha pili alifungulia redio kwa sauti alafu akaacha mlango wake wazi..alikuwa anasikiliza mawaidha ya shehe mmoja wa Mombasa(simjui jina lake Ila sauti yake maarufu sn masikioni kwangu)

Yule shehe alikuwa anafundisha Kwa lugha kali sn yenye misimamo ya kikatili dhidi ya watu wasiokuwa waislamu (alikuwa anawaita makafir),waumini wanaitikia takbiiir

Kukujibu swali lako sista ni kwamba ni ngumu sn kumkuta kiongozi wa kikristo anahubiri Kwa chuki na lugha yenye kuashiria uvunjifu wa Amani,na km wapo lazima wakamatwe pia

Hata mashehe si wote wenye kuhubiri Kwa lugha zenye ukakasi ndiyo maana tunaishi nao Tu mtaani vizuri

Tafuta mahubiri ya Yule shehe mkenya aliyeanzisha kikundi cha kigaidi kule Palma msumbiji ndy utaelewa ninachozungumza Kwa nn watu wa Aina hii hatuwaachi mtaani



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Cc. mazinge
 
Siku moja nipo zangu home nafua nguo zangu,jirani yangu chumba cha pili alifungulia redio kwa sauti alafu akaacha mlango wake wazi..alikuwa anasikiliza mawaidha ya shehe mmoja wa Mombasa(simjui jina lake Ila sauti yake maarufu sn masikioni kwangu)

Yule shehe alikuwa anafundisha Kwa lugha kali sn yenye misimamo ya kikatili dhidi ya watu wasiokuwa waislamu (alikuwa anawaita makafir),waumini wanaitikia takbiiir

Kukujibu swali lako sista ni kwamba ni ngumu sn kumkuta kiongozi wa kikristo anahubiri Kwa chuki na lugha yenye kuashiria uvunjifu wa Amani,na km wapo lazima wakamatwe pia

Hata mashehe si wote wenye kuhubiri Kwa lugha zenye ukakasi ndiyo maana tunaishi nao Tu mtaani vizuri

Tafuta mahubiri ya Yule shehe mkenya aliyeanzisha kikundi cha kigaidi kule Palma msumbiji ndy utaelewa ninachozungumza Kwa nn watu wa Aina hii hatuwaachi mtaani



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sheikh wa kenya? Huko umeenda mbali, hapa hapa bongo Kuna Mtu akiitwa sheikh illunga, kipindi kile 2012-13 alikuwa alisema waziwazi kuwa mkristo haki yake ni kupigwa risasi.
Walitoa cd za kila namna, na Kama unakumbuka kipindi hicho matukio ya ugomvi wa kidini yalikuwa mengi sana
 
Nashangaa watu hapa wanaongelea udini kwenye haki,labda niulize kwa nini kama hao Mashekhe wanamakosa wasihukumiwe?

Watu msijifanye nyie ndiyo kila kitu yupo anayemiliki nafsi zetu ambaye ukifika mda wako hata ungekuwa na manguvu vipi lazima ufe.


pili ni mapema sana kwa ndugu zangu waisilamu naamini mashekhe wataachiwa sababu hata wakati wa Magufuli yasemekana Maalim seif na Mama samia waliwai kwenda kumuomba Rais angalau mashekhe wafikishwe mahakamani
na wenda kilichotokea kwa mwenda zake wenda ikawa ni pamoja na Dua za mashehe
 
Hao mashehe waliwekwa ndani na Wagalatia?

Ramadan Kareem!
Hapana, waliwekwa ndani na sheikh mwenzao wa visiwani na sheikh mwingine wa Bara; nakumbuka wakati wa kampeni za mwaka 2015, Lowassa akiwa Chadema aliahidi kuwafungulia hawa masheikh endapo atachaguliwa kua rais wa Tanzania, sheikh Abrahman Kinana akaiandikia jumuia ya kimataifa kuhusu hatari ya kuwafungulia masheikh hawa, akalinganisha yaliokua yanatokea Somalia na uhuru wa hawa watu; so sijaelewa kwanini Magufuli kaingizwa kwenye hu mgogoro wa masheikh ili hali waliwekwa ndani na msheikh wenzao
 
Unajua kuna baadhi ya watu ujinga ni sehemu ya maisha yao.Mashekh ni magaidi walitaka kuifanya Tanzania kama Somalia halafu kuna mijitu inakuja hapa kubwabwaja eti waachiwe!.

Kwa taarifa yenu mpaka Mwaka huu bado watu wana endelea kukamatwa kuhusiana na ugaidi wa Zanzibar,Arusha na huko kusini.Ukiona unakula ugali wako kwa amani basi elewa kuna watu hawalali usiku na mchana kuhakikisha taifa libakuwa salama.

Hao Mashekh na wengine wote wakioshiriki matendo ya kigaidi hawastahili uhuru kama mwanzisha mada ,yafaa waishi huko magereza maisha yao yote.
Ugaidi wa zanzibar na arusha?

Be serious gentlemen,hivi mkisema Kua mmewauwa Kuna shida gani
 
Ungejua kwanini hawaachiwi ungenyamaza kimya ndio maana aliyewaweka ndani JK ni Mwislamu, IGP alikuwa Mwislam na Mwanasheria mkuu alikuwa mwislam.


so kuwa mpole wanyooshwe wakitoka watamsumbua saana mama
Kipi hicho msichotaka kukisema?

Mbona wanaoitwa magaidi Osama na wengine wengi uhalifu na ugaidi wao unatajwa

Hizi ngonjera zinakera sana
 
Mnao waoneaga huruma hawa magaidi hivi hamfuatilii kinachoendelea Msumbiji jinsi majitu type hii yanavyo chinja wenzao. Kuweni serious bhana
Una uhakika kama uamsho walikua magaidi? Mbwa we
 
kosa kubwa la masheikh hawa na wafuasi wao baadhi ni kushindwa kutofautisha dini na harakati.

ndio sababu watu aina ya mletamada wanawataja kama masheikh wa uamsho,na si wanaharakati wa uamsho.

ukitaka kujua kuna tofauti kubwa kati ya sheikh na hao jamaa,katazame video za irunga na sheikh kishki.
 
Unajua kuna baadhi ya watu ujinga ni sehemu ya maisha yao.Mashekh ni magaidi walitaka kuifanya Tanzania kama Somalia halafu kuna mijitu inakuja hapa kubwabwaja eti waachiwe!.

Kwa taarifa yenu mpaka Mwaka huu bado watu wana endelea kukamatwa kuhusiana na ugaidi wa Zanzibar,Arusha na huko kusini.Ukiona unakula ugali wako kwa amani basi elewa kuna watu hawalali usiku na mchana kuhakikisha taifa libakuwa salama.

Hao Mashekh na wengine wote wakioshiriki matendo ya kigaidi hawastahili uhuru kama mwanzisha mada ,yafaa waishi huko magereza maisha yao yote.
Una uhakika! Mbwa we Koko we
 
Back
Top Bottom