Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Tunakwenda mwaka wa saba au nane, Masheikh wasio na hatia wako Jela.

Waliwekwa ndani na Kikwete, Wakaandamizwa ndani na Magufuli, na Sasa Samia anakaribia Mwezi mmoja madarakani bado serikali yake imewaweka Jela.

Siyo masheikh wa Uamsho tu, kuna mamia kwa mamia ya Masheikh nchi nzima wasio na hatia wamewekwa ndani na utawala uliopita wa Magufuli.

Sasa Silaha ya hawa watu ni moja, Wataendelea Kumlilia Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma kwa dhulma wanazotendewa
Watasimama visimamo vya usiku, Watafanya visomo, Watafanya Kunuti, Watafanya dhikri sana, na Watafunga wakiwa jela.

Ole wao Madhalimu wenye kudhulumu watu hawa wa Mungu, Mungu atalipa kwa kila hadaa, kwa kila uongo, kwa kila dhulma waliyofanyiwa.

Namkumbusha Rais Samia, Rais Hussein Mwinyi kwa Ujumbe wa Mwenyezi Mungu aliompa Nabii Musa amfikishie Firauni kumtaka awaachie huru wana wa Israel.

Mwenyezi Mungu anasema:

"Arsil ma'anaa banii israil walaa tuaddhib humaa".

maana yake : " Waachie huru wana wa Israel na wala usiwaadhibu".

Na mimi nakueleza Rais Samia na Hussein Mwinyi, Waachieni huru watu hawa wa Mungu na wala msiwaadhibu.

Ujumbe huu nimekufikishieni, basi ni juu yenu kuupuuza au kuufanyia kazi, maana hatuombi tena, kama kuomba muwaachie hawa watu kwa miaka minane hamkufanya sasa TUNALIACHA JAMBO HILI MIKONONI MWA YULE MWENYE NGUVU ZOTE.
Nenda kawatoe

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Kule Somalia Al Shabab inasemwa kuanzishwa mwaka 2006, ila Chimbuko lake ni toka miaka ya 80 na 90 mwanzoni. Kuna imam mmoja anaitwa Boqora, kama sijasahau jina lake. Huyu alikuwa Akihubiri itikadi kali ambazo ndizo zikawa chimbuko la alshabab. Kasome kitabu cha ayan hirsi kinaitwa infidele, utaona chimbuko la hawa wahuni na wahalifu wa Alshabab. Ndio ujue kuwa hawa kina farid hata Lissu angekuwa Rais, asingewaachia. Pia ujue zanzibar ni vutio kubwa la kiusalama kwa eneo la sadc na maziwa makuu. Na mambo haya ndio kwa namna nyingine ni sababu kwa nini US inaikalia kimya ccm inapotumia mkono wa chuma zanzibar.
 
Tunakwenda mwaka wa saba au nane, Masheikh wasio na hatia wako Jela.

Waliwekwa ndani na Kikwete, Wakaandamizwa ndani na Magufuli, na Sasa Samia anakaribia Mwezi mmoja madarakani bado serikali yake imewaweka Jela.

Siyo masheikh wa Uamsho tu, kuna mamia kwa mamia ya Masheikh nchi nzima wasio na hatia wamewekwa ndani na utawala uliopita wa Magufuli.

Sasa Silaha ya hawa watu ni moja, Wataendelea Kumlilia Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma kwa dhulma wanazotendewa
Watasimama visimamo vya usiku, Watafanya visomo, Watafanya Kunuti, Watafanya dhikri sana, na Watafunga wakiwa jela.

Ole wao Madhalimu wenye kudhulumu watu hawa wa Mungu, Mungu atalipa kwa kila hadaa, kwa kila uongo, kwa kila dhulma waliyofanyiwa.

Namkumbusha Rais Samia, Rais Hussein Mwinyi kwa Ujumbe wa Mwenyezi Mungu aliompa Nabii Musa amfikishie Firauni kumtaka awaachie huru wana wa Israel.

Mwenyezi Mungu anasema:

"Arsil ma'anaa banii israil walaa tuaddhib humaa".

maana yake : " Waachie huru wana wa Israel na wala usiwaadhibu".

Na mimi nakueleza Rais Samia na Hussein Mwinyi, Waachieni huru watu hawa wa Mungu na wala msiwaadhibu.

Ujumbe huu nimekufikishieni, basi ni juu yenu kuupuuza au kuufanyia kazi, maana hatuombi tena, kama kuomba muwaachie hawa watu kwa miaka minane hamkufanya sasa TUNALIACHA JAMBO HILI MIKONONI MWA YULE MWENYE NGUVU ZOTE.
Viongozi wa dini wafundishe kuhusu Mungu na waachane na vitendo vya kihalifu na kigaidi . Kwa sasa Zanzibar, Dar na Pwani kumetulia. Tulikuwa tumeshafikia hatua mbaya sana.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mashehee wa huamsho mtoa mada wale jamaa apana labda ya Zanzibar kama ulismuliwa ukujionea una aki yakuwatetea,
ila wale jamaa ata kuwa jela ni busara tu za serekali walitakiwa wafanywe kama alivyo fanywa yule sheikh wa kenya miminia risasi kama njugu.
 
Kwa mashehee wa huamsho mtoa mada wale jamaa apana labda ya Zanzibar kama ulismuliwa ukujionea una aki yakuwatetea,
ila wale jamaa ata kuwa jela ni busara tu za serekali walitakiwa wafanywe kama alivyo fanywa yule sheikh wa kenya miminia risasi kama njugu.
Mkuu ulishudia,hebu elezea kidogo yaliyofanyika

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Wengi wanaochangia humu tayari wameshawahukumu hao masheikh kuwa ni magaidi, kwamba ni watu wabaya, watu hatari

Lakini mpaka sasa mwaka wa nane hakuna ushahidi wa Ugaidi wao, kesi yao inapigwa danadana.

Iko hivi, Endeleeni kuwaweka Jela, Kama walivyowekwa Jela watu wengine wa Mungu in the past!. Na wenye kuunga mkono dhulma hii endeeleeni kushangilia na kusapoti uonevu huu

Ukisoma comment wengine wanasapoti uonevu huu kwa sababu tu wanakomeshwa "Waislamu", kwao hiyo ni burudani kwao maana it seems kwa comment zao wana chuki kali sana vifuani mwao dhidi ya muslims (Wana Islamophobia) .

Ni kweli waliwekwa ndani na utawala wa rais Muislamu ndugu Kikwete, lakini mjue tu mwanasiasa ni mwanasiasa, wengine wako tayari kutenda dhulma bila hata kujali consciousness yao ya ndani, wao wanangalia power tu. Kikwete alikosea, aluwadhulumu hawa Masheikh bila haki, Dhulma hiyo ikaendelezwa na Magufuli dhidi ya hao watu, Na sasa mwezi mmoja mbele dhulma hiyo imeendelezwa na utawala wa Samia.

Ila kitu kimoja nawaambia hawa watawala wakumbuke Aya ya kwenye Qur'an

"Siiru fil ardh, fandhuruu kaifa kaana aakibatul'mujrimiin"
Maana yake "Tembeeni katika ardhi muone mwisho wa madhalimu"

Endeleeni tu kuonea watu wa Mungu tuje tuone Mwisho wenu!

Na nyie wenye kucomment kwa kebehi na dharau na chuki bila empathy wala utu kwa wenzenu kisa tu wao ni "waislamu wacha waumizwe" nanyi endeleeni kufurahia tu huu uonevu kisha tuone nanyi katika life cycle hii mtafika wapi
Ushahidi ni nchi kutulia

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Tunakwenda mwaka wa saba au nane, Masheikh wasio na hatia wako Jela.

Waliwekwa ndani na Kikwete, Wakaandamizwa ndani na Magufuli, na Sasa Samia anakaribia Mwezi mmoja madarakani bado serikali yake imewaweka Jela.

Siyo masheikh wa Uamsho tu, kuna mamia kwa mamia ya Masheikh nchi nzima wasio na hatia wamewekwa ndani na utawala uliopita wa Magufuli.

Sasa Silaha ya hawa watu ni moja, Wataendelea Kumlilia Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma kwa dhulma wanazotendewa
Watasimama visimamo vya usiku, Watafanya visomo, Watafanya Kunuti, Watafanya dhikri sana, na Watafunga wakiwa jela.

Ole wao Madhalimu wenye kudhulumu watu hawa wa Mungu, Mungu atalipa kwa kila hadaa, kwa kila uongo, kwa kila dhulma waliyofanyiwa.

Namkumbusha Rais Samia, Rais Hussein Mwinyi kwa Ujumbe wa Mwenyezi Mungu aliompa Nabii Musa amfikishie Firauni kumtaka awaachie huru wana wa Israel.

Mwenyezi Mungu anasema:

"Arsil ma'anaa banii israil walaa tuaddhib humaa".

maana yake : " Waachie huru wana wa Israel na wala usiwaadhibu".

Na mimi nakueleza Rais Samia na Hussein Mwinyi, Waachieni huru watu hawa wa Mungu na wala msiwaadhibu.

Ujumbe huu nimekufikishieni, basi ni juu yenu kuupuuza au kuufanyia kazi, maana hatuombi tena, kama kuomba muwaachie hawa watu kwa miaka minane hamkufanya sasa TUNALIACHA JAMBO HILI MIKONONI MWA YULE MWENYE NGUVU ZOTE.
Kuna sehemu nimeona kuwa kesi yao ipo mbioni kusikilizwa mfululizo.
 
Wengi wanaochangia humu tayari wameshawahukumu hao masheikh kuwa ni magaidi, kwamba ni watu wabaya, watu hatari

Lakini mpaka sasa mwaka wa nane hakuna ushahidi wa Ugaidi wao, kesi yao inapigwa danadana.

Iko hivi, Endeleeni kuwaweka Jela, Kama walivyowekwa Jela watu wengine wa Mungu in the past!. Na wenye kuunga mkono dhulma hii endeeleeni kushangilia na kusapoti uonevu huu

Ukisoma comment wengine wanasapoti uonevu huu kwa sababu tu wanakomeshwa "Waislamu", kwao hiyo ni burudani kwao maana it seems kwa comment zao wana chuki kali sana vifuani mwao dhidi ya muslims (Wana Islamophobia) .

Ni kweli waliwekwa ndani na utawala wa rais Muislamu ndugu Kikwete, lakini mjue tu mwanasiasa ni mwanasiasa, wengine wako tayari kutenda dhulma bila hata kujali consciousness yao ya ndani, wao wanangalia power tu. Kikwete alikosea, aluwadhulumu hawa Masheikh bila haki, Dhulma hiyo ikaendelezwa na Magufuli dhidi ya hao watu, Na sasa mwezi mmoja mbele dhulma hiyo imeendelezwa na utawala wa Samia.

Ila kitu kimoja nawaambia hawa watawala wakumbuke Aya ya kwenye Qur'an

"Siiru fil ardh, fandhuruu kaifa kaana aakibatul'mujrimiin"
Maana yake "Tembeeni katika ardhi muone mwisho wa madhalimu"

Endeleeni tu kuonea watu wa Mungu tuje tuone Mwisho wenu!

Na nyie wenye kucomment kwa kebehi na dharau na chuki bila empathy wala utu kwa wenzenu kisa tu wao ni "waislamu wacha waumizwe" nanyi endeleeni kufurahia tu huu uonevu kisha tuone nanyi katika life cycle hii mtafika wapi

Kakojoe ukalale,
acha kutetea magaidi unless na wewe ni gaidi.
 
hao masheh wapo kwa sababu uko jela sio kwamba wameonewa ,waache wapate adabu kwanza..
 
Kipi hicho msichotaka kukisema?

Mbona wanaoitwa magaidi Osama na wengine wengi uhalifu na ugaidi wao unatajwa

Hizi ngonjera zinakera sana
sa jiulize unahisi walifanya dhambi gani kuubwa,

sio kila kitu utaambiwa mbona babu SEA kaachiwa wao hata mahakani hawajapelekwa pamjoja na kupiga kelele mitandaoni na magazetini??
 
Najua kwenye kipindi hiki watatolewa lakini watafanya yale yale ya kina Rogo wa Mombasa.
 
Comments humu ndani zinaonyesha kuwa kuna silent Islamophobia ya kutisha ndani ya hii nchi (chuki kali ya kimyakimya dhidi ya muslims) .

Watu wanahukumu wenzao bila ushahidi, yaani wanaenjoy watu kuteswa, kuumizwa na kubambikiziwa kesi bila haki.

Hao Masheikh hakuna ushahidi uliofikishwa mahakamani kuonyesha wanahusika na ugaidi, lakini watu wameng'ang'ania kuwa ni magaidi magaidi au kwa sababu ni waislamu kwa hiyo lebo ya ugaidi inawakaa vizuri eh?

Nyie watu acheni kutetea uonevu kwa sababu ya chuki za kimyakimya za kidini
 
Mleta mada kabla ya yote ungetueleza kwanza sababu ya wao kuwekwa ndani mpk sasa coz naamini serikali haijakurupuka ktk hili, kama wako ndani kwa usalama wa nchi ni jambo jema.
 
Mleta mada kabla ya yote ungetueleza kwanza sababu ya wao kuwekwa ndani mpk sasa coz naamini serikali haijakurupuka ktk hili, kama wako ndani kwa usalama wa nchi ni jambo jema.
Hao watu walihoji muungano tu, na kuhamasisha wazanzibar wauangalie muungano kwa jicho la tatu. Kosa lao ndiyo hilo!.

Hawa wanaodai kuwa hao masheikh ni magaidi ni islamophobes tu ambao wanachuki kali ya kimyakimya with anythibg islamic
 
Mkuu binafsi yako unahisi wana makosa gani?? Coz haiwezekani wawe innocent alafu watendwe hvyo.
Those guys waliuchallenge Muungano kwa challenge kubwa.
Ndiyo maana unaona badala ya wao kushitakiwa Zanzibar(kama kweli walitenda makosa huko zenji) walitekwa na kukimbizwa bara ili washitakiwe huku!
Kiufupi kwa mujibu wa sheria zetu hata kitendo cha kuwaleta bara badala ya kuwashitaki hukohuko Zanzibar ni kinyume cha sheria
 
Tunakwenda mwaka wa saba au nane, Masheikh wasio na hatia wako Jela.

Waliwekwa ndani na Kikwete, Wakakandamizwa ndani na Magufuli, na Sasa Samia anakaribia Mwezi mmoja madarakani bado serikali yake imewaweka Jela.

Siyo masheikh wa Uamsho tu, kuna mamia kwa mamia ya Masheikh nchi nzima wasio na hatia wamewekwa ndani na utawala uliopita wa Magufuli.

Sasa Silaha ya hawa watu ni moja, Wataendelea Kumlilia Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma kwa dhulma wanazotendewa
Watasimama visimamo vya usiku, Watafanya visomo, Watafanya Kunuti, Watafanya dhikri sana, na Watafunga wakiwa jela.

Ole wao Madhalimu wenye kudhulumu watu hawa wa Mungu, Mungu atalipa kwa kila hadaa, kwa kila uongo, kwa kila dhulma waliyofanyiwa.

Namkumbusha Rais Samia, Rais Hussein Mwinyi kwa Ujumbe wa Mwenyezi Mungu aliompa Nabii Musa amfikishie Firauni kumtaka awaachie huru wana wa Israel.

Mwenyezi Mungu anasema:

"Arsil ma'anaa banii israil walaa tuaddhib humaa".

maana yake : " Waachie huru wana wa Israel na wala usiwaadhibu".

Na mimi nakueleza Rais Samia na Hussein Mwinyi, Waachieni huru watu hawa wa Mungu na wala msiwaadhibu.

Ujumbe huu nimekufikishieni, basi ni juu yenu kuupuuza au kuufanyia kazi, maana hatuombi tena, kama kuomba muwaachie hawa watu kwa miaka minane hamkufanya sasa TUNALIACHA JAMBO HILI MIKONONI MWA YULE MWENYE NGUVU ZOTE.
MAGAIDI HAO ACHANA WAFIE HUKO
 
Back
Top Bottom