Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #121
May be ugumu ambao watawala wanaouona ni watawaachiaje bila kuwakuta na hatia? , yaani serikali itaonekanajeonekanaje mbele ya umma, kwa hiyo naamini behind the scene wanawalazimisha waconfess baadhi ya makosa ambayo hayapo ili serikali isave face kisha ndo ijifanye imewasamehehao sahau kabisa.......sio leo au keshokutwa......tusiache kuwaombea ni wa-TZ wenzetu
nnachokwambia wale hawatakuwa huru kamwe........tukiwa kwenye majukwaa tunawatukana hao tunaowaita ni mabeberu....nyuma ya pazia wao ndio wanaoamrisha wahifadhiwe huko....hakuna rais atakaebatilisha....tusiache kuwaombea....sala zetu zitawapa heri mno....May be ugumu ambao watawala wanaouona ni watawaachiaje bila kuwakuta na hatia? , yaani serikali itaonekanajeonekanaje mbele ya umma, kwa hiyo naamini behind the scene wanawalazimisha waconfess baadhi ya makosa ambayo hayapo ili serikali isave face kisha ndo ijifanye imewasamehe
Huko ndani mashekhe wamewekwa na mwezi upo kwenye kanzu zao?
Sio masheikh wa kuombewa kuna watanzania wengi walio jela wanahitaji kuombewa msamaha kusema masheikh tu huo ni ubaguzi!
Comments humu ndani zinaonyesha kuwa kuna silent Islamophobia ya kutisha ndani ya hii nchi (chuki kali ya kimyakimya dhidi ya muslims) .
Watu wanahukumu wenzao bila ushahidi, yaani wanaenjoy watu kuteswa, kuumizwa na kubambikiziwa kesi bila haki.
Hao Masheikh hakuna ushahidi uliofikishwa mahakamani kuonyesha wanahusika na ugaidi, lakini watu wameng'ang'ania kuwa ni magaidi magaidi au kwa sababu ni waislamu kwa hiyo lebo ya ugaidi inawakaa vizuri eh?
Nyie watu acheni kutetea uonevu kwa sababu ya chuki za kimyakimya za kidini
Hoja yako ingenoga kama ungewasemea wote walio magerezani kwa kubambikiziwa kesi.
Hii kuwatetea mashehe peke yake imekaa kibaguzi sana.
Hebu karekebishe hapo ili nikugongee LIKE.
Kazi iendelee, tusizinguane.
May be ugumu ambao watawala wanaouona ni watawaachiaje bila kuwakuta na hatia? , yaani serikali itaonekanajeonekanaje mbele ya umma, kwa hiyo naamini behind the scene wanawalazimisha waconfess baadhi ya makosa ambayo hayapo ili serikali isave face kisha ndo ijifanye imewasamehe
Mnao waoneaga huruma hawa magaidi hivi hamfuatilii kinachoendelea Msumbiji jinsi majitu type hii yanavyo chinja wenzao. Kuweni serious bhana
Kama Samia & Hussein Mwinyi wanataka vipindi vyao vya uongozi viwe vigumu zaidi basi wajihusishe na issue za mashehe (including wa uamsho)
Tatizo watu wanawafanya masheikh ni agenda zao za kisiasa tumeona kipindi cha uchaguzi kila mmoja aliitumia masheikh kutaka kuingilia!Hao sio muhimu kama masheikh sawa mkuu. Kuna wezi, majambazi n.k huko gerezani acha wapate fundisho kidogo. masheikh ndio kipaumbele maana hawana hatia.
Babu sea kwa kesi ya kubaka na alisamehewa na kuachwa huru, na ndio kesi ya kubaka iyo!!!! Je! Masheikh wanakosa gani!!! Acheni chuki
Kesi ya babu seya na wenzie usiichukulie kama reference yako mkuu, kesi yao ilikuwa ni ya kupika, kuna namna flan ilikuwa inatafutwa.Hao sio muhimu kama masheikh sawa mkuu. Kuna wezi, majambazi n.k huko gerezani acha wapate fundisho kidogo. masheikh ndio kipaumbele maana hawana hatia.
Babu sea kwa kesi ya kubaka na alisamehewa na kuachwa huru, na ndio kesi ya kubaka iyo!!!! Je! Masheikh wanakosa gani!!! Acheni chuki
Kesi ya babu seya na wenzie usiichukulie kama reference yako mkuu, kesi yao ilikuwa ni ya kupika, kuna namna flan ilikuwa inatafutwa.
👊👊Hoja yako ingenoga kama ungewasemea wote walio magerezani kwa kubambikiziwa kesi.
Hii kuwatetea mashehe peke yake imekaa kibaguzi sana.
Hebu karekebishe hapo ili nikugongee LIKE.
Kazi iendelee, tusizinguane.
Ushawishi wa mambo mengine sio kumuweka mtu ndani; au labda niseme hivi; hivi enzi za JPM masheikh hao kina ZUberi, Abubakari nk si walikua vipenzi wa JPM? Wao wanafurahia kuwaona wale masheikh wa uamsho kua ndani miaka yote hiyo bila kuwaombea msamaha? Anyway labda na wao wanaunga mkono wale masheikh wa uamsho kua ndaniKwahiyo Abubakari hana ushawishi kwa serikali kwa nafasi aliyonayo?
Siwezi amini haya,,,Kikwete Sheni sijui kama walijua walifanyalo,,maana watu hatari kuna namna ya kuwadhibiti,,,Ila mie Ombi langu kwa Mh Mama SAMIA SULUHU,,,namuomba sana,,,hao watu wamewekwa ndani kipropoganda tu,,riport yao imeandikwa ki-propoganda.Awaonee huruma ALLAH atamjazia kheri nyingi sana,,ukizingatia huu ni mwezi wa ramadhani.Kwenye hili tuwe wapole, siyo suala la Kisiasa. Hata USA George Bush na baadaye Obama waliwaweka magaidi Guantanamo hadi walipojirishisha.
Naamini hata wewe Missile of the Nation ungekuwa ni Rais wa Tanzania halafu Muislamu, baada ya kusoma ripoti ya Siri usingewaachia.
Jiulize Rais Mohamed Shein ni Muislamu ndiye aliyewashika, akawapasia kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Mrisho ambaye ni Muislamu pia na wote wawili wakatoka madarakani bila kuwaachia.
Haya akaja Rais mpenda misifa aliyewaachia akina Nguza na Papi Kocha na wale wezi wa dhahabu Butimba naye akasoma ripoti na akapotezea.
Wale watu chini Sheikh Farid ni hatari sana, dakika 5 wakiwa huru ni rahisi kuifanya Tanzania ikawa kama Allepo au Tikrit.
Tuiache Serikali ijiridhishe ndiyo ichukue hatua stahiki
Si kwamba namtuhumu jiwe,,Laa naona watu bado wanamuogopa jiwe,,ndio maana nikasema,,waamue maana ndio walio kuwepo kwa sasa,Jiwe kashamaliza kazi yake,,iliyobakia yetu sie huku.Unamtuhumu Jiwe kwa lipi?