Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Picha ya Mwigulu ukimuonyesha mtoto atakuwa anaota milele...hayo mengine atajuana na Mkuu wake, tutaonana mitaani karibuni,
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Porojo
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Kweli dunia hii acha ipite
 
Jiwe anstahili kugeukwa. Hata mama kamgeuka jiwe.

-- aliruhisu chanjo ya korona, jiwe aligoma.
--amewaachia wafanyabiashara waliobambikiziwa kesi za uhujumu uchumi na kuwarudishia fedha zao.
.....amefungilia mikutano ya vyama vya siasa .
....ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari.

Na mengine mengi ambayo yule dikteta mwendawazimu aliyasimamia
Ni mjinga na mbumbumbu tuu ndio ananweza fuata sera za kipuuzi za Jiwe.
 
Ni mjinga na mbumbumbu tuu ndio ananweza fuata sera za kipuuzi za Jiwe.
🙄🙄🙄

😂😂😂 Yaani imebidi nicheke, At ni weye huyu!

Na kukumbusha tu[unduminakuwili] juzi kati ulivyokurupuka na kusema SSH na suala la Bandari alikuwa akiendeleza Sera za Hayati.
Una ka short sakati sehemu. Hivi? kuna mtu mwingine humu ambaye ndiye kinara zaid, tena wa mashambulizi dhidi ya Watanzania zaidi ya wewe?

Kwanza hujawahi kubandika uzi humu, wakati wowote ule SSH akitoa reference ya Hayat Magufuli!

Umejikita sana kwenye masuala ambayo yana masilahi ya Mabeberu tu....hata yale aliyoyafanya Hayati ambayo yaliweza kuwapendelea.

Kesho utamgeuka SSH na kutubandikia nyuzi za kumkanda....ni suala la muda tu.


😌😌😌
 
Back
Top Bottom