Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Ipo siku SSH akiwa anawanoa wajukuu wake atawaeleza ya Mwigulu Nchemba.

Hadithi ya Esakariat ni ya kweli...ina maana hata wale wanaonekana wana mazuri wana mabaya.

Hii kiboko!
 
kesho akija mtawala mwengine na mwigulu ukapata madaraka utasikia yule mama alikuwa anamaliza nchi.
akili za utumbo mpana kwa ccm
 
Ipo siku SSH akiwa anawanoa wajukuu wake atawaeleza ya Mwigulu Nchemba.

Hadithi ya Esakariat ni ya kweli...ina maana hata wale wanaonekana wana mazuri wana mabaya.

Hii kiboko!
Khee@ kwanini sasa hivi hawaoni? Unaota?
 
Huyu Mwizi alivyoiba hela za passport akasamehewa basl anajiona ana haki ya kufanya chochote
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Huyu ni changudoa wa kisiasa. Ni bahati mbaya hata huyo mama ni wale wale. Maana, angekuwa anajitambua, angewatimua akina Mwigulu ambao kesho watamponda kama wanavyomponda mwendazake aliyewatoa kwenye majalala. Nao ipo siku yao wataumbuka hata hivyo.
 
hqdefault.jpg

Walinzi wa Waarabu wakiwa na Matajiri wa Kiafrika....
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.

Ameshakuwa tajiri mkubwa sana sasa kutokana upigaji wizara ya Fedha. Atasema mengi.
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Magufuli alikuwa kondoo nani ya kundi la mbwa mwitu. Ilikuwa lazima tu afe
 
Ipo siku SSH akiwa anawanoa wajukuu wake atawaeleza ya Mwigulu Nchemba.

Hadithi ya Esakariat ni ya kweli...ina maana hata wale wanaonekana wana mazuri wana mabaya.

Hii kiboko!
Mwigulu kwani kamsaliti nani?
 
Huyu ni changudoa wa kisiasa. Ni bahati mbaya hata huyo mama ni wale wale. Maana, angekuwa anajitambua, angewatimua akina Mwigulu ambao kesho watamponda kama wanavyomponda mwendazake aliyewatoa kwenye majalala. Nao ipo siku yao wataumbuka hata hivyo.
Kwani Mwigulu anamponaa mwendazake? Kivipi?
 
Back
Top Bottom