Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #41
Kwani kipindi cha jiwe ndio kulikuwa na mtu alikuwa anafanya hivyo??Unafiq tu. Hilo angelisema kipindi kile cha mwendazake ili aone moto wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kipindi cha jiwe ndio kulikuwa na mtu alikuwa anafanya hivyo??Unafiq tu. Hilo angelisema kipindi kile cha mwendazake ili aone moto wake
Kwani kaongea jambo baya?Unapoambiwa usiwaamini wanasiasa na hii ndio maan yake!!! While scarf is in the neck all day 😂🤣🤣🤣🤣
Kwani kusema hivyo ni kumkosea mwendazake?Ama kweli mfadhili mbuzi, amesahau aliapishwa kibarazani pale chato kwenye appartment ya mwendazake?
Ndiyo, si wamegawana na waarabu!Kuuza Bandari kwa Waarabu ndiyo kugawana keki ya Taifa?
Kipindi cha jiwe kuna mtu alikuwa anatekeleza hayo...Kwani kipindi cha jiwe ndio kulikuwa na mtu alikuwa anafanya hivyo??
Kuna siku atakumbushwa kuhusu hizi kauli zakeMwigulu chunga ulimi wako. Safari bado ni ndefu.
Kwani ametamka kauli mbaya?Kuna siku atakumbushwa kuhusu hizi kauli zake
Mhh...Kumbe, nani alikuwa?Kipindi cha jiwe kuna mtu alikuwa anatekeleza hayo...
Hivyo ilikuwa ngumu kusema wakati huo...
Hapana umekosea, sahihi niLogic tuu mkuu,
If a=b and c=d
Then
a=d
Si ndio mathematicians
Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
Ufisadi ??!! Or sadist mind ?!! Which is which ?!WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Yaani Mwigulu huyu anamnanga Magufuli live bila chenga,tutamuonyesha.WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Angefungwa jiwe la kg 100 kisha atoswe bahariniUnafiq tu. Hilo angelisema kipindi kile cha mwendazake ili aone moto wake
Jiwe mwenyewe ...Mhh...Kumbe, nani alikuwa?
Kamnanga Magufuli kivip?Yaani Mwigulu huyu anamnanga Magufuli live bila chenga,tutamuonyesha.
Kuunganisha nani na nani?Hapana umekosea, sahihi ni
If a=b and b=c
Then a=c.✔️
Kusema if a=b and c=d then a=d ni makosa makubwa.❌
maana hakuna uhusiano wowote unaoonekana hapo kati yao cha kuwaunganisha.
Bila hivyo tutapita walikopita wengine kudai mabadiliko. Sisi sio kisiwa!Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Lazima kuwepo na uhusiano (relationship) ili ziwe sawa....Kuunganisha nani na nani?