Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Na anayewakamua watanzania wote middle income mpaka wasionacho kwa matozo yasiyo na tija, na kuwaweka kwenye madeni lukuki kwa mikopo ambayo hatuoni value for money huyo anaitwa nini ?

Hubris and Hypocrisy that's all I can Say...., Just a Cheerleader anayecheza na kupiga propaganda kulingana na nani yupo mbele yake..., flip-flopper at his best.....
 
Logic tuu mkuu,
If a=b and c=d
Then
a=d
Si ndio mathematicians

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
Hapana umekosea, sahihi ni

If a=b and b=c
Then a=c.✔️

Kusema if a=b and c=d then a=d ni makosa makubwa.❌

maana hakuna uhusiano wowote (relationship) kati ya a na d.
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Ufisadi ??!! Or sadist mind ?!! Which is which ?!
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Yaani Mwigulu huyu anamnanga Magufuli live bila chenga,tutamuonyesha.
 
Hapana umekosea, sahihi ni

If a=b and b=c
Then a=c.✔️

Kusema if a=b and c=d then a=d ni makosa makubwa.❌

maana hakuna uhusiano wowote unaoonekana hapo kati yao cha kuwaunganisha.
Kuunganisha nani na nani?
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Bila hivyo tutapita walikopita wengine kudai mabadiliko. Sisi sio kisiwa!
 
BOra uishi na mchawi kuliko mnafiki, na wabaya wa nchi yetu ni viongozi wanafiki.
 
Back
Top Bottom