Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionyeshe niliposema kaongea jambo baya!!Kwani kaongea jambo baya?
Angejikuta kwenye Waqti mgumu kabisa 🤣Unafiq tu. Hilo angelisema kipindi kile cha mwendazake ili aone moto wake
Kasema wanaanza kugawana wachache kwanza.! Yaani Sasa wanasema hadharani.Kuuza Bandari kwa Waarabu ndiyo kugawana keki ya Taifa?
Mtihani mkubwa kuongoza hizi nchi za dunia ya tatu. Mpina ajipange kwani 2026 anaweza asiwemo bungeni.WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
lakini ndio huyohuyo alimpa uwaziri na alikula nchi sana kipindi chake.WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Usije ukawa unaanza kuchanganyikiwa mkuu maana Hata vichaa huanza kuongea na watu ambao hawawaoniKuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Ni nani kwani?lakini ndio huyohuyo alimpa uwaziri na alikula nchi sana kipindi chake.
Unasema hapaswi kuaminika unamaanisha nini?Nionyeshe niliposema kaongea jambo baya!!
Kwani hapo kamponda nani?Leo Yuko na Samia anamponda aliyepita , na Samia akipita atampondea kwa ajaye, utaskia Yule bibi alituuza watanganyika , atuombe radhi huko aliko!!
NB. ukiwa na rafiki mwanasiasa usimwamini , ishi nae kimachale !!
Namaanisha usimuamin mwanasiasa! Always wana ndimi mbili. OverUnasema hapaswi kuaminika unamaanisha nini?
Tena aliapishiwa Chato kwenye Mgahawalakini ndio huyohuyo alimpa uwaziri na alikula nchi sana kipindi chake.
[emoji23] [emoji23] Kwa sababu alikuwa anakubutua bure ndio unaona alikuwa mwehu?Hiyo ni ndoto ya mchana inayosukumwa na sukuma gang emotions.
Sahaun kuhusu hilo. Nchi iko vizuri na uongozi huu ni mzuri mara 100 kuliko ule wa jiwe. Jiwe alikuwa mwehu, mbaguzi na mbinafsi.
Mshamba wakati ulikuwa una mpa papa yako?Sasa hizo ndiyo unaona ni fadhila wakati huo ni udhaliloshaji?? Jiwe alikuwa mshamba sana. Acha atukanwe na kila mtu