Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Hiyo ni ndoto ya mchana inayosukumwa na sukuma gang emotions.

Sahaun kuhusu hilo. Nchi iko vizuri na uongozi huu ni mzuri mara 100 kuliko ule wa jiwe. Jiwe alikuwa mwehu, mbaguzi na mbinafsi.
 
Samia ndio awaone mawazir wake hata yy akiondoka watamgeuka tu watu kama hawa sijui kwann wanakuwa viongozi.
Jiwe anstahili kugeukwa. Hata mama kamgeuka jiwe.

-- aliruhisu chanjo ya korona, jiwe aligoma.
--amewaachia wafanyabiashara waliobambikiziwa kesi za uhujumu uchumi na kuwarudishia fedha zao.
.....amefungilia mikutano ya vyama vya siasa .
....ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari.

Na mengine mengi ambayo yule dikteta mwendawazimu aliyasimamia
 
Ama kweli mfadhili mbuzi, amesahau aliapishwa kibarazani pale chato kwenye appartment ya mwendazake?
Sasa hizo ndiyo unaona ni fadhila wakati huo ni udhaliloshaji?? Jiwe alikuwa mshamba sana. Acha atukanwe na kila mtu
 
Kwa sasa wanakula wachache sio!!
Basi sawa tumekuelewa.
 
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"

na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.

Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Mbona umeandika kinafiki Sana.
 
Tunaanza na wachache kwanza. Tuwe wavumilivu.
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Mungu anaratibu anguko la CCM...Mkuu soma link hiyo utakubaliana nami kuwa suluhisho halipo mbali.

Nimejifunza kutulia siku hizi
 
Mkuu unaona ninachokiona. Kile kisichotarajiwa kitakwenda kutokea katika hali ya ajabu. Katika dunia hii kuna kitu kufikia ukomo. Ccm kwa sasa ilipofikia imefikia mwisho wa uwepo wake maana wakati ni ukuta.
Sawa ila chadomo no
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Salute GT..
 
Back
Top Bottom