Pre GE2025 Mwigulu: Anayeongea ndiye Waziri Fedha, mkirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu imetoa pesa nyingi kama ya Sita

Pre GE2025 Mwigulu: Anayeongea ndiye Waziri Fedha, mkirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu imetoa pesa nyingi kama ya Sita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waziri wa Fedha, Mwigulu amejigamba Mbungeni kuwa "Anayeonge ndiye Waziri Fedha, mikirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu tumetoa pesa kama awamu hii ya Sita

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

==
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna awamu ambayo imetoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama awamu ya sasa inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Halima Mdee, Waziri Nchemba amesema anachokisema anakijua kwa sababu amekuwa kwenye Wizara ya Fedha tangu akiwa naibu waziri.

Amesema miradi inayotekelezwa katika majimbo ya wabunge ni uthibitisho wa fedha nyingi zinazoelekezwa kwenye maendeleo badala ya kubaki benki, kitu ambacho hata wao wanajua hakijawahi kuwepo.

Akitoa mfano, ameeleza kuwa mradi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere umetumia zaidi ya shilingi trilioni 6.5, kiasi ambacho ni sawa na bajeti ya maendeleo ya baadhi ya nchi.

Hata hivyo, Dkt. Mwigulu amekiri kuwa kuna maeneo ambayo bajeti haijatekelezwa kwa asilimia 100, akieleza kuwa sababu ni uchepushaji wa fedha kushughulikia majanga ya kibinadamu, kama maporomoko ya udongo yaliyotokea Hanang.

View attachment 3235330
Tuna waziri wa fedha mpumbafu, vitu vya kipuuzi anaongea kwa mbwembwe, eti bajeti la bwawa la umeme eti ni sawa na majeti ya mwaka ya nchi nyingine akijisaulisha kuna nchi kieneo ni ndogo kuliko mkoa wa dar. Na manyumbu yakawa yanamshangilia. PUMBAFU
 
Waziri wa Fedha, Mwigulu amejigamba Mbungeni kuwa "Anayeonge ndiye Waziri Fedha, mikirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu tumetoa pesa kama awamu hii ya Sita

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

==
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna awamu ambayo imetoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama awamu ya sasa inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Halima Mdee, Waziri Nchemba amesema anachokisema anakijua kwa sababu amekuwa kwenye Wizara ya Fedha tangu akiwa naibu waziri.

Amesema miradi inayotekelezwa katika majimbo ya wabunge ni uthibitisho wa fedha nyingi zinazoelekezwa kwenye maendeleo badala ya kubaki benki, kitu ambacho hata wao wanajua hakijawahi kuwepo.

Akitoa mfano, ameeleza kuwa mradi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere umetumia zaidi ya shilingi trilioni 6.5, kiasi ambacho ni sawa na bajeti ya maendeleo ya baadhi ya nchi.

Hata hivyo, Dkt. Mwigulu amekiri kuwa kuna maeneo ambayo bajeti haijatekelezwa kwa asilimia 100, akieleza kuwa sababu ni uchepushaji wa fedha kushughulikia majanga ya kibinadamu, kama maporomoko ya udongo yaliyotokea Hanang.

View attachment 3235330
HUYU MUONGO ATUAMBIE TANROAD NA TARURA KAPELELA PESA GANI WKT WANAKUFA NJAA NA MIRADI IMELALA?
 
Waziri wa Fedha, Mwigulu amejigamba Mbungeni kuwa "Anayeonge ndiye Waziri Fedha, mikirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu tumetoa pesa kama awamu hii ya Sita
Na wasisahau kusema hakuna awamu imewakamua kodi kama hii iliyopo!
 
Waziri wa Fedha, Mwigulu amejigamba Mbungeni kuwa "Anayeonge ndiye Waziri Fedha, mikirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu tumetoa pesa kama awamu hii ya Sita

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

==
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna awamu ambayo imetoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama awamu ya sasa inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Halima Mdee, Waziri Nchemba amesema anachokisema anakijua kwa sababu amekuwa kwenye Wizara ya Fedha tangu akiwa naibu waziri.

Amesema miradi inayotekelezwa katika majimbo ya wabunge ni uthibitisho wa fedha nyingi zinazoelekezwa kwenye maendeleo badala ya kubaki benki, kitu ambacho hata wao wanajua hakijawahi kuwepo.

Akitoa mfano, ameeleza kuwa mradi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere umetumia zaidi ya shilingi trilioni 6.5, kiasi ambacho ni sawa na bajeti ya maendeleo ya baadhi ya nchi.

Hata hivyo, Dkt. Mwigulu amekiri kuwa kuna maeneo ambayo bajeti haijatekelezwa kwa asilimia 100, akieleza kuwa sababu ni uchepushaji wa fedha kushughulikia majanga ya kibinadamu, kama maporomoko ya udongo yaliyotokea Hanang.

View attachment 3235330
Hizo pesa nyingi zimepelekwa na kuleta maendeleo kwenye vijiji au wilaya ipi mfano wilaya ya moshi vijijini?
 
Waziri wa Fedha, Mwigulu amejigamba Mbungeni kuwa "Anayeonge ndiye Waziri Fedha, mikirudi Majimboni waambieni Wajumbe wenu hakuna awamu tumetoa pesa kama awamu hii ya Sita

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

==
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna awamu ambayo imetoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama awamu ya sasa inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Halima Mdee, Waziri Nchemba amesema anachokisema anakijua kwa sababu amekuwa kwenye Wizara ya Fedha tangu akiwa naibu waziri.

Amesema miradi inayotekelezwa katika majimbo ya wabunge ni uthibitisho wa fedha nyingi zinazoelekezwa kwenye maendeleo badala ya kubaki benki, kitu ambacho hata wao wanajua hakijawahi kuwepo.

Akitoa mfano, ameeleza kuwa mradi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere umetumia zaidi ya shilingi trilioni 6.5, kiasi ambacho ni sawa na bajeti ya maendeleo ya baadhi ya nchi.

Hata hivyo, Dkt. Mwigulu amekiri kuwa kuna maeneo ambayo bajeti haijatekelezwa kwa asilimia 100, akieleza kuwa sababu ni uchepushaji wa fedha kushughulikia majanga ya kibinadamu, kama maporomoko ya udongo yaliyotokea Hanang.

View attachment 3235330
Naam Dr wa uchumi
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=dSxPAxKu-Ek

Nikasema nisikilize mjadala wao, ambao wameamua kuuendesha kwa kizungu; yaani huyo governor anavyo struggle kuongea kizungu tena cha kusoma tu kwenye makaratasi yaliyotayarishwa. Kwa kweli sikufika mbali.

Jokate na Hamissa wanatema ung'eng'e kushinda huyo Tutuba na waajiriwa wa BoT waliozungumza.

Yaani hao wataalamu wana struggle kuongea lugha waliochagua mpaka kero, aina maana hawana technical knowldge ya mada husika, sasa kwani ilikuwa lazima muongee kwa lugha msio na uwezo nayo.

Nakubali it was the shallowness of me kukosa uvumilivu wa kusikiliza, lakini baada ya waziri kupewa jukwaa na kuanza kutukuza walimu wake kwa dakika kama tisa, tena kwa kutumia lugha ambayo aimudu; I couldnt bear the torture anymore.

I wonder wakenya wameshangaa vipi finance management system yetu inayoongozwa na watu kama hawa. If anything maana yake wazimu wake wa Kenya ni balaa zaidi (the nonsense in Tanzania is beyond me).

Like aargh ukiwasikiliza wataalamu wetu, how is this possible; hivi hawa uwa wanaongea nini na wazungu.

Sasa usiseme nawasingizia video ya mkutano wao nimeweka, aargh.
 
Najiuliza unafikiri angesema nini? Mwenye shibe amkumbuki mwenye njaa
 
Back
Top Bottom