Mwigulu aongee ukweli, ACACCIA na Barrick wanalipwa mabilioni na serikali kwa kuvunja mkataba

Mwigulu aongee ukweli, ACACCIA na Barrick wanalipwa mabilioni na serikali kwa kuvunja mkataba

seedfarm

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
260
Reaction score
2,655
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement

Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo.

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
 
JF ni kololo
ina kila aina uchafu!
Ni vyema ukahamia Facebook au Instagram, Ukiwa hapa uwe na hali ya uvumilivu sana

Kuna wakati watu wanalipua siri zako na mkeo hapa JF

Ndio maana unakuta watu wakiandika hapa unaoita kokolo serikali inakuja kutoa majibu haraka sana kabla watu hawajaattach document za siri

Siku nyingine wewe logout na kalale
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Ushahidi u wapi? Maana siyo na wewe ukikaa na watu wanakunywa wana poteza muda kwa stories mbili tatu wakisukumia na pombe unabeba kuja leta JF. Hebu tuwekee hapa ushahidi JF si sehemu ya kuleta Umbeya au Soga.
 
JF ni kololo
ina kila aina uchafu!
JF kila Mtu ni Mjuzi, Msomi(PhD),
Tajiri,

Mfanyakazi,
Mfanyabiashara,
Msanii(Muigizaji/Mwanamuziki),
Mwalimu,
Nabii,
Rubani,
Daktari(Doctor & Herbalist)
Motivation speaker(Muhamasishaji),
Mwanasiasa,
Mvuvi,
Mkulima,
Mchungaji,
Mchezaji mpira,
Mwanasheria,
Baharia,
Mwanajeshi,
Dereva,
Fundi makenikia,
Mshabiki kindakindaki wa MAKOLOKOLO FC/ UTOPOLO FC,
Mwanariadha,
Mpiga ngumi (Mandonga),
Mfiadini(Muarabu/Mmarekani),
Muhasibu,
Mwanasayansi,
Injinia wa - meli/magari/ndege/nyumba, Mwanasaikolojia,
Nahodha,
Afisa masoko/majengo/biashara/elimu,
Mkurugenzi mkuu,
Asiyejulikana,
Mwana-diplomasi,
Imamu,
Chawa,
Mwanaharakati,
Hakimu......

TZ kiboko.... [emoji119][emoji847].
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa

Nenda ukajipange, halafu uje upya. Maana hapo bado hujaeleweka. Weka hisia na mihemko pembeni, halafu utumie akili. Uje na facts n figures.
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Acha uongo wewe. Sasa wewe ndio unajidai unajua maana ya trat na trab? Eti tumeshindwa kwa kuvunja mkataba. Mikataba gani ya wizi. Hao MIGA si ndio wale walikuja kufanya kesi za richmond hoteli ya sheraton jaji mganda mla rushwa yule.
Usichanganye watu hakuna kesi tumeshindwa na majizi yoyote. Na kama kuna mtu analipwa ni wizi mtupu ndio maana wewe peke yako ndio unajua.
 
Mkuu seedfarm mwaga makabrasha yote hapa kama ushahidi ili ikithibitika ni kweli wananchi wawe wakali wakati mwingine serikali itakapojartibu kufanya majaribio ya hatari kwa uchumi wetu.

Kushindwa kuweka viambatanisho kama ushahidi wa maelezo yako itakuwa umbeya na uongo tu.
 
Nenda ukajipange, halafu uje upya. Maana hapo bado hujaeleweka. Weka hisia na mihemko pembeni, halafu utumie akili. Uje na facts n figures.

Mleta uzi kasema ukweli, hilo jambo kuwa tulishindwa kesi linafichwa sana kwani linaonekana litawapa wapinzani nguvu hasa Lisu. Ifahamike Lisu alishambuliwa baada ya kukosoa approach ya Magufuli kwenye hiyo mikataba.

Hayo madeni ndio yamesababisha wananchi tumewekewa tozo ili kuendana na kesi ya deni lililoletwa na utawala wa kidhalimu wa Magufuli. Inatumika kila nguvu kuhakikisha ukweli huu hauwafikii wananchi. Mapinduzi au machafuko dhidi ya utawala huu yataweka siri hii hadharani.
 
Mkuu seedfarm mwaga makabrasha yote hapa kama ushahidi ili ikithibitika ni kweli wananchi wawe wakali wakati mwingine serikali itakapojartibu kufanya majaribio ya hatari kwa uchumi wetu.

Kushindwa kuweka viambatanisho kama ushahidi wa maelezo yako itakuwa umbeya na uongo tu.
Moderators msituangushe tafadhali.

Jamaa liongo kweli kweli, Wazungu wakubali kulipa B 900 afu leo hii linakuja jitu lililovimbiwa makande na wanzuki kuleta umbeya usio na mantiki yoyote.
 
Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Man-Cries-Because-Weed-Is-So-Good-1200x900-1.jpg

Nchi yangu Tonzonia.
 
Back
Top Bottom