Mwigulu aongee ukweli, ACACCIA na Barrick wanalipwa mabilioni na serikali kwa kuvunja mkataba

Mwigulu aongee ukweli, ACACCIA na Barrick wanalipwa mabilioni na serikali kwa kuvunja mkataba

Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Mimi sina ushahidi wowote tofauti na uliyoandika. Lakini habari nzito kama hii kwa nini usitoe ushahidi. Hizi kesi huwa siyo za siri na maamuzi mara nyingi si siri, ungetusaidia ungetuletea huo uamuzi au agizo kuilipa ACACIA. Ningoje nijaribu kutafuta, nikipata nbitaairusha humu JF.
 
JF kila Mtu ni Mjuzi, Msomi(PhD),
Tajiri,

Mfanyakazi,
Mfanyabiashara,
Msanii(Muigizaji/Mwanamuziki),
Mwalimu,
Nabii,
Rubani,
Daktari(Doctor & Herbalist)
Motivation speaker(Muhamasishaji),
Mwanasiasa,
Mvuvi,
Mkulima,
Mchungaji,
Mchezaji mpira,
Mwanasheria,
Baharia,
Mwanajeshi,
Dereva,
Fundi makenikia,
Mshabiki kindakindaki wa MAKOLOKOLO FC/ UTOPOLO FC,
Mwanariadha,
Mpiga ngumi (Mandonga),
Mfiadini(Muarabu/Mmarekani),
Muhasibu,
Mwanasayansi,
Injinia wa - meli/magari/ndege/nyumba, Mwanasaikolojia,
Nahodha,
Afisa masoko/majengo/biashara/elimu,
Mkurugenzi mkuu,
Asiyejulikana,
Mwana-diplomasi,
Imamu,
Chawa,
Mwanaharakati,
Hakimu......

TZ kiboko.... [emoji119][emoji847].
......na vichuguu tumo pia!!!
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Huko kilabuni ulikotokea walikuwekea maji ya katani kwenye mataputapu uliyokunywa
 
Acha uongo wewe.

Hakuna jambo kama hilo.

Miga sio agreement.

Na kesi ya Barrick na Accacia hazikuwa huko Trab na Trat.

Wala hakuna kesi baina ya serikali na hao wawekezaji.

Kajifunze kudanganya.

Muongo wewe.
Huko nyumba niliandika kuwa siona uhakika wa kuweza kukubaliana kuwa TZ ilishindwa kesi na AACIA/Barrick. Nimetafuta taarifa na kukuta majibu ya Mwigulu yalikuwa sahihi na siyo uongo. Ukitaka zaidi ingia bhuku ujisomee mwenyewe:

Tanzania: the thorny Acacia Mining case finally settled! - Ressources Magazine

https://s25.q4cdn.com/322814910/fil...-Government-Delivers-First-Major-Outcomes.pdf

Barrick and Tanzanian Government Progress Discussions in Settlement of Acacia Disputes
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Kuzuia hayo yasijirudie,

RASIMU alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo.

Hatimaye tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

No Uchaguzi wowote bila KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Ameeeen.
 
Kwani hata kifo cha kayafa si kilikua siri!

Ajabu kuna watu walijua mapema sana na kuanza kutuandaa kisaikolojia.

Usishangae sana kuhusu ili.
kifo cha kayafa Lisu alijua one week before kutangaza
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Hili andiko mbona kama ni Mwigulu mwenyewe ameandika kujisafishia njia.
Hivi Serikali hii inayopambana kuhakikisha Magu anachafuka kwa namna yoyote ile endapo ingekuwa kweli tulishindwa kesi wangeficha ?
Nakuhakikishia wangesema mapema sanaa ili Wananchi wajue na wamchukie zaidi Hayati.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Yaani tuibiwe sisi na tena tuwalipe?😅😅
 
Acha uongo wewe. Sasa wewe ndio unajidai unajua maana ya trat na trab? Eti tumeshindwa kwa kuvunja mkataba. Mikataba gani ya wizi. Hao MIGA si ndio wale walikuja kufanya kesi za richmond hoteli ya sheraton jaji mganda mla rushwa yule.
Usichanganye watu hakuna kesi tumeshindwa na majizi yoyote. Na kama kuna mtu analipwa ni wizi mtupu ndio maana wewe peke yako ndio unajua.
wee Usalama sio?Maana mijitu kama nyie huwa mnabeheulisha issue halafu wala hamjali kuleta hoja ya kiakili, kutusi tu na kukashfu!
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Toa ushahidi wa uyasemayo vinginevyo hiyo pua ni porojo
 
Kama huna unashahidi kiongozi unaonaje ungepiga kimya.
Maana kwa maelezo haya unaonekana uko deep lkn hakuna hata nyaraka ume upload humu iwe ya kuandisha kesi au ushindi wa Barrick.
Kama ni Hallucination si pia ina tiba ya kisaikolojia?
Sio kwamba naunga mkono majibu ya ubabaishaji yaliyotolewa ya Trab na Trat yasiyoeleweka hata kwa mzungumzaji ,bali hili uliloleta kwa kuwa lina mashiko lipe basi uzito kwa evidence mkuu.
 
CAB38C15-925C-4875-96B7-8691D781C829.jpeg
 
Ila wabongo mnapenda sana kutumika na wanasiasa badala ya kubuni njia mjitoe kwenye ukoloni mambo leo mpo busy kupigania matumbo ya watu. Madini ni mali yetu tulitakiwa tuunge mkono kila jitihada za kutupa uhuru wa kutunufaisha na mali hio ila ya ya ya ya yaa mpo busy kupigania kibaraka wa mabeberu
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Sidhani kama unahakika na unachokiongea,ni ile hali tu ya ujuaji kibongobongo
 
Matatizo yote haya ni kutokana na sera mbovu za ccm kwa miaka zaidi ya 60.
Lakini ukiwauliza wale vijana wa ccm hawakawii kukuambia ni kutokana na sera mbovu za upinzani na wazungu! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kwani hata kifo cha kayafa si kilikua siri!

Ajabu kuna watu walijua mapema sana na kuanza kutuandaa kisaikolojia.

Usishangae sana kuhusu ili.
Sasa kuna mangapi yalivumishwa kuhusu Magufuli na baadaye hayakuwa kweli? Sasa hilo la kifo cha Magufuli hao waliyojua kabla serikali haijatangaza walieleza chochote chenye kutia uzito kuwa wanachoeleza ni kweli na sio uzushi tu? Hata sasa tushasikia Mzee Mwinyi na Lowassa kuzushiwa kifo.
 
Mleta uzi kasema ukweli, hilo jambo kuwa tulishindwa kesi linafichwa sana kwani linaonekana litawapa wapinzani nguvu hasa Lisu. Ifahamike Lisu alishambuliwa baada ya kukosoa approach ya Magufuli kwenye hiyo mikataba.

Hayo madeni ndio yamesababisha wananchi tumewekewa tozo ili kuendana na kesi ya deni lililoletwa na utawala wa kidhalimu wa Magufuli. Inatumika kila nguvu kuhakikisha ukweli huu hauwafikii wananchi. Mapinduzi au machafuko dhidi ya utawala huu yataweka siri hii hadharani.
Kwahiyo hili hata Lissu hajui au kaamua kunyamaza tu?
 
Back
Top Bottom