Mwigulu aongee ukweli, ACACCIA na Barrick wanalipwa mabilioni na serikali kwa kuvunja mkataba

Mwigulu aongee ukweli, ACACCIA na Barrick wanalipwa mabilioni na serikali kwa kuvunja mkataba

Aise hebu acheni kuwa wajinga kiasi hiki. Hivi huu upuuzi alioandika huyu mnashindwa kuona kama ni uongo.
Alovyosema tu Mahakama ya Kisutu na Buguruni, wenye akili mlipaswa mjue huyu ni mjinga na hajui hata anachokiandika.
Ni hayo tu
 
Acha uongo wewe.

Hakuna jambo kama hilo.

Miga sio agreement.

Na kesi ya Barrick na Accacia hazikuwa huko Trab na Trat.

Wala hakuna kesi baina ya serikali na hao wawekezaji.

Kajifunze kudanganya.

Muongo wewe.
 
Acha uongo wewe.

Hakuna jambo kama hilo.

Miga sio agreement.

Na kesi ya Barrick na Accacia hazikuwa huko Trab na Trat.

Wala hakuna kesi baina ya serikali na hao wawekezaji.

Kajifunze kudanganya.

Muongo wewe.

Utetezi dhaifu.
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Source
 
Mleta uzi kasema ukweli, hilo jambo kuwa tulishindwa kesi linafichwa sana kwani linaonekana litawapa wapinzani nguvu hasa Lisu. Ifahamike Lisu alishambuliwa baada ya kukosoa approach ya Magufuli kwenye hiyo mikataba.

Hayo madeni ndio yamesababisha wananchi tumewekewa tozo ili kuendana na kesi ya deni lililoletwa na utawala wa kidhalimu wa Magufuli. Inatumika kila nguvu kuhakikisha ukweli huu hauwafikii wananchi. Mapinduzi au machafuko dhidi ya utawala huu yataweka siri hii hadharani.

Yaani kwa akili tu ya kawaida, nchi ipoteze tuzo ya mashauri yanayohusu mikataba, tena ya wawekezaji wa kwenye sekta ya madini. Halafu mzee wa miga akae kimya kweli kwa kipindi chote hiki. Ikizingatiwa mwenenendo wa mashauri hayo ni ya uwazi.
 
JF kila Mtu ni Mjuzi, Msomi(PhD),
Tajiri,

Mfanyakazi,
Mfanyabiashara,
Msanii(Muigizaji/Mwanamuziki),
Mwalimu,
Nabii,
Rubani,
Daktari(Doctor & Herbalist)
Motivation speaker(Muhamasishaji),
Mwanasiasa,
Mvuvi,
Mkulima,
Mchungaji,
Mchezaji mpira,
Mwanasheria,
Baharia,
Mwanajeshi,
Dereva,
Fundi makenikia,
Mshabiki kindakindaki wa MAKOLOKOLO FC/ UTOPOLO FC,
Mwanariadha,
Mpiga ngumi (Mandonga),
Mfiadini(Muarabu/Mmarekani),
Muhasibu,
Mwanasayansi,
Injinia wa - meli/magari/ndege/nyumba, Mwanasaikolojia,
Nahodha,
Afisa masoko/majengo/biashara/elimu,
Mkurugenzi mkuu,
Asiyejulikana,
Mwana-diplomasi,
Imamu,
Chawa,
Mwanaharakati,
Hakimu......

TZ kiboko.... [emoji119][emoji847].
Umesahau cheo kimoja, "Dalali"
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements
The genius Lisu alionya mapema Sana. Lkn yule jiwe hakusikia
 
Hii ni KWELI KABISA


NDIO MAANA MAGUFULI ALIMPIGIA MAGOTI DEO MWANYIKA:
1. akamfutia kesi ya uhujumu uchumi.

2. akampa ubunge wa Njombe mjini.

WENYE AKILI WATAELEWA!.
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Ndio maana wanakazania tozo
 
Yaani kwa akili tu ya kawaida, nchi ipoteze tuzo ya mashauri yanayohusu mikataba, tena ya wawekezaji wa kwenye sekta ya madini. Halafu mzee wa miga akae kimya kweli kwa kipindi chote hiki. Ikizingatiwa mwenenendo wa mashauri hayo ni ya uwazi.
CCM wanavyopendo sifa ungekuta mtaani hakukali. Huu ukimya na vurugu za Kodi ya mapato na tozo kunatatizo.
 
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements

Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali

Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa

Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement



Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick

Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano

Mwigulu na serikali msifiche mambo,

TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Kama wanafanya siri sana mbona wewe umejua? Au umedokezwa na Amsterdam! Ahahahahah!
 
Back
Top Bottom