Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe.
Hakuna jambo kama hilo.
Miga sio agreement.
Na kesi ya Barrick na Accacia hazikuwa huko Trab na Trat.
Wala hakuna kesi baina ya serikali na hao wawekezaji.
Kajifunze kudanganya.
Muongo wewe.
SourceTrat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements
Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali
Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa
Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement
Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick
Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano
Mwigulu na serikali msifiche mambo,
TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Uzuri wewe si mgeni na JF, unajua ukweli sema unajitoa fahamu!!Kama ni Siri Wewe umejuaje?
Mleta uzi kasema ukweli, hilo jambo kuwa tulishindwa kesi linafichwa sana kwani linaonekana litawapa wapinzani nguvu hasa Lisu. Ifahamike Lisu alishambuliwa baada ya kukosoa approach ya Magufuli kwenye hiyo mikataba.
Hayo madeni ndio yamesababisha wananchi tumewekewa tozo ili kuendana na kesi ya deni lililoletwa na utawala wa kidhalimu wa Magufuli. Inatumika kila nguvu kuhakikisha ukweli huu hauwafikii wananchi. Mapinduzi au machafuko dhidi ya utawala huu yataweka siri hii hadharani.
Umesahau cheo kimoja, "Dalali"JF kila Mtu ni Mjuzi, Msomi(PhD),
Tajiri,
Mfanyakazi,
Mfanyabiashara,
Msanii(Muigizaji/Mwanamuziki),
Mwalimu,
Nabii,
Rubani,
Daktari(Doctor & Herbalist)
Motivation speaker(Muhamasishaji),
Mwanasiasa,
Mvuvi,
Mkulima,
Mchungaji,
Mchezaji mpira,
Mwanasheria,
Baharia,
Mwanajeshi,
Dereva,
Fundi makenikia,
Mshabiki kindakindaki wa MAKOLOKOLO FC/ UTOPOLO FC,
Mwanariadha,
Mpiga ngumi (Mandonga),
Mfiadini(Muarabu/Mmarekani),
Muhasibu,
Mwanasayansi,
Injinia wa - meli/magari/ndege/nyumba, Mwanasaikolojia,
Nahodha,
Afisa masoko/majengo/biashara/elimu,
Mkurugenzi mkuu,
Asiyejulikana,
Mwana-diplomasi,
Imamu,
Chawa,
Mwanaharakati,
Hakimu......
TZ kiboko.... [emoji119][emoji847].
The genius Lisu alionya mapema Sana. Lkn yule jiwe hakusikiaTrat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements
Ndio maana wanakazania tozoTrat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements
Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali
Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa
Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement
Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick
Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano
Mwigulu na serikali msifiche mambo,
TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Mwehu hashaurkiThe genius Lisu alionya mapema Sana. Lkn yule jiwe hakusikia
Inawezekana ni kweli. Kwa ule mnyororo wa bungeni Tra Tra Tra Tra Tra Tra Tra. Ukayaweke majibu sawa.Uwongo mtupu yule lissu atashauri nini zaidi ya matusi
CCM wanavyopendo sifa ungekuta mtaani hakukali. Huu ukimya na vurugu za Kodi ya mapato na tozo kunatatizo.Yaani kwa akili tu ya kawaida, nchi ipoteze tuzo ya mashauri yanayohusu mikataba, tena ya wawekezaji wa kwenye sekta ya madini. Halafu mzee wa miga akae kimya kweli kwa kipindi chote hiki. Ikizingatiwa mwenenendo wa mashauri hayo ni ya uwazi.
Kama wanafanya siri sana mbona wewe umejua? Au umedokezwa na Amsterdam! Ahahahahah!Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements
Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali
Tundu lissu aliposhauri haya alionekana hafai, Lakini Kiuhalisia serikali yetu ili saini mikataba ya MIGA na Barrick kuwa kesi zote zitasimamiwa na mahakama za kimataifa
Kabudi na kundi lake wakaanzisha utaratibu eti kesi za Barrick na Accacia ziende mahakama za Kisutu na za Buguruni kitu ambacho hakipo kwenye MIGA agreement
Haya mambo sio siri tena, Mwigulu anafahamu na hata mkaguzi wa serikali anafahamu kuwa Tunalipa mabilioni kwa kuvunja MIGA agreement lakini inafanywa siri sana
Ile kesi ya kudai matrilioni kwa Barrick serikali yetu ilishindwa kesi na kutakiwa kuwalipa Barrick
Serikali kwa sasa ya Mama Samia inalipa madeni mengi sana ikiwemo ya kesi za kuvunjwa kwa mikataba kulikofanywa na serikali ya awamu ya Tano
Mwigulu na serikali msifiche mambo,
TRA wamepambana sana kwa shinikizo la serikali lakini kesi imeenda hovyo na sasa Serikali inawalipa hao Barrick na Accacia matrilioni ya pesa
Kama wanafanya siri sana mbona wewe umejua? Au umedokezwa na Amsterdam! Ahahahahah!
Kwa mujibu wa mtoa mada hii habari ni siri sana. Huenda hata Lissu hajaipata! Ahahahahah!!!Lisu kabisa yule asiye na koromelo la kiume na mpenda sifa vile, nchi ipoteze shauri, halafu akae kimya.
Kwa mujibu wa mtoa mada hii habari ni siri sana. Huenda hata Lissu hajaipata! Ahahahahah!!!