Mwigulu asiangushiwe zigo. Hata mwenye nchi "anawagwaya" hao wapigaji

Mwigulu asiangushiwe zigo. Hata mwenye nchi "anawagwaya" hao wapigaji

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG iliongozwa na Kichere amekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishi kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Kichaka cha JPM kimefutika sasa ni wao kwa wao

USSR
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG iliongozwa na Kichere amekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishi kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Mama anaunda tume tu lakini matokeo ya hizo tume hatupewi taarifa ingawa zinatumia pesa zetu nyingi sana!! Halafu huwa hazipewi muda maalum wa kumaliza kazi zake hivyo huendelea kulamba asali indefinately! Tafadhali punguzeni hizi tume kwani matumizi yao dio yanayotuongezea TOZO wakati huu ambapo wananchi wanaumizwa na mfumuko wa bei; maharage kilo Shs. 4200 hii haijawahi kutokea!
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Nashanga watu wanamsifu raisi ..shida ni za watendaji wake khaa..
 
Mama anaujua upigaji ndiyo maana alisema,Kila mtu apige kwa urefu wa kamba yake! Na you never know na yeye huenda wanamuingizia kwenye account yake! Kwani yeye ni malaika?
True meaning of Bongonyoso
 
Back
Top Bottom