- Thread starter
- #41
Unamuonea tu.hyu mwigulu anakera sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuonea tu.hyu mwigulu anakera sana
Mwendazake hayupo sasa hili zigo mtamtwisha Nani.
Mbavu zangu.
Nashanga watu wanamsifu raisi ..shida ni za watendaji wake khaa..
Wabunge ni wanafiki sana mtu anasimama anasema raisi anafanya kazi nzuri halafu yakija kwenye mapungufu eti watendaji wanashushiwa jumba bovuMazuri yote ni ya Samia, hivyohivyo kwa yasiyo mema. Msimwangushie Mwigulu jumba bovu.
Wapigaji majizi yana nguvu kuliko kiranja mkuu. 😁😁😁😁🤣 akawaza weee akaona bora awatukane stupid hapo ndio kamaliza.Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.
Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.
Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.
Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.
Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.
Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.
Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .
NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
2030..uwiii.. ee Mungu.Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.
Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.
Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.
Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.
Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.
Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.
Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .
NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Hili ni zigo la CCMMwendazake hayupo sasa hili zigo mtamtwisha Nani.
Mchawi wa nchi hii ni CCMUhuni wao wa kumchafua JPM sasa basi acha wauwane wao kwa wao
#Majiziyaposerikalini
Ni awamu ya CCMUnaogopa kusema ni awamu ya nne?
Mama ni sehemu ya wapigaji na anajuajua fika kuwa ndio waliomuweka madarakani ili asimamie wizi wao na akiwagusa tu, 2025 hatunayeNeno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.
Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.
Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.
Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.
Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.
Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.
Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .
NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Ipelekwe bungeni bill ya kuwa na "firing squad" itakayohusika kuwashughulikia hadharani wezi wote wa Mali ya umma. Tuachane na 'kutumbua' hadharani!Nitaongoza kwa matendo makali na sio maneno makali
Alisema sasa karudi na "stupid pumbavu" matendo makali yako wapi mwizi unacheka nae ? Mwizi anaveshwa pira pigwa petrol kiberiti washa moto
Pirato: Mngetaka tuwafanyie nini Pasaka hii Ila msimsuribishe huyu?Lazima Rais atachukua hatua kali.
Naamini hivyo.
Hawezi kulea wezi wa mali za umma, ikumbukwe kuwa yeye ndiye mlinzi mkuu wa mali za watanzania.
Keep strong and courageous, our president.
Ripoti ya CAG mwaka Jana alichukua hatua ipi?Lazima Rais atachukua hatua kali.
Naamini hivyo.
Hawezi kulea wezi wa mali za umma, ikumbukwe kuwa yeye ndiye mlinzi mkuu wa mali za watanzania.
Keep strong and courageous, our president.