Mwigulu asiangushiwe zigo. Hata mwenye nchi "anawagwaya" hao wapigaji

Mwigulu asiangushiwe zigo. Hata mwenye nchi "anawagwaya" hao wapigaji

Urais ni watu, siyo mtu. Kama hana watu ni shida, hata walalahoi wanaweza kumpiga makofi Rais mwenye jina kubwa.
Mnyonge anyongwe lakini haki yake apewe.
Watu wa Rais waweza kuwa wasiojulikana au na wanaojulikana.
Kipi ni nafuu au afadhali? Vya nuruni au vya gizani?
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Duh!
Umesikia na hili la magari kutoweka?!
Nchi ishakuwa shamba la Bibi, inavunwa kotekote!
 
Nchi hii upigaji upo awamu zote na ni wa kutisha mara zote. Na sioni dalili ya upigaji kuisha. Utaendelea kuwepo sana sana tu.
 
Ukipata nafasi ya kukwapua hakikisha umekwapua vya kutosha ukijikuta mzalendo utakufa huna pesa na huna heshima
 
tumewapa mamlaka wootr hao sasa baadala ya kuchukua hatua wanabaki wanaimba taarabu wakati Taifa limeshapata hasara na watu wanakufa na kuteseka kwa kukosa huduma mbalimbali huku wenye mamlaka wanatumbua tu na kuchekeanachekeana tu..

Tunahitaji viongozi wenye maamuzi na uchungu pale mali ya umma inapofujwa na wajinga fulani, WATU WANAPASWA KUUAWA NA KUFILISIWA NA MAITI ZAO HATA KUTOONEKANA ZIKALIWE NA WANYAMA AU SAMAKI HUKO.

Tunakoendea wananchi wataanza kuchukua hatua dhidi ya hawa wafuja mali za umma na hii inaweza kuacha vilio kwenye familia nyingi sana mitaani huko...

.
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Uko sahihi 100%
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Hapa ni mwendo wa kupiga tu. Kwani wewe kwenu hakuna njaa hata kidogo. Wewe piga tu hata ukichukua chote kilichoko ni sawa tu.
Kwani uliwahi kusikia mtu hata mmoja amechukuliwa hatua yoyote? Ukiacha utakuwa husiwi wala, na kweli uliwahi kusikia mtu kasifiwa kwa matumizi mazuri ya pesa ya Serikali?
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)

Ibeni tu, siku ya kufa ndo mtajua mazara yake
 
Mama angestaafu Kama hawezi kupbana na ufisadi. Akina Mwigulu wanampiga kibesi yeye kashangaa.
 
Neno "kugwaya" lina maana sawa kabisa na neno "kuufyata". Neno hili asili yake ni mkoa wa Kigoma.

Mama alipoingia tu ikulu akapewa taarifa za upigaji wa mabilioni ya shilingi pale BoT akaunde tume ya uchunguzi ikampa ripoti. .....mama kimya.

Ripoti ya CAG ya kwanza ktk utawala wa mama ikafuatia, ikataja madudu kibao .....mama kimya.

Hatujakaa sawa mama akatamaka mwenyewe kwamba kuna wakware wameweka fedha za plea bargaining kwenye akaunti binafsi nchini China.....mpk leo mama kimya.

Ofisi ya CAG ikiongozwa na Kichere imekuja na ripoti nyingine yenye madudu kibao ...mama anaishia kulalamika tu.

Watu badala ya kumlaumu mama wanamlalamikia Mwigulu. Unataka Mwigulu afanye nn ikiwa mama mwenyewe anawagwaya wapigaji???.

Siyo siri tena kwamba waapigaji wana nguvu kuliko serikali .

NIMEMALIZA (kwani mnanilipa?)
Impunity at its best. Na kuna kamati zingine kibao ambazo feedback yakw haijaletwa kwa wananchi.
 
Mama sound sana, nakumbuka alitupiga fix eti atatutajia "wafadhili" wa Roho Tour...hadi leo kimyaaa!.
 
IMG_20230406_214327.jpg



Fisadi haguswi kizembe wewe
 
Back
Top Bottom