Mwigulu hafai alikuja na Kodi za majengo kukatwa kwenye mita za umeme ,Sasa amekuja kwenye miamala ,yaani hovyo kabisaMwigulu mhuni anamchezea mama Kama alivyokuwa anamchezea mwendazake kule kibiti, mwendazake alipostuka atachukua uwaziri ndio Sasa anavyomfanyia sarakasi mama lengo amchafue tu inatakiwa mama awatoe mwigulu na ndugulile na wengine.
Huyu wizara ya fedha haiwezi. Phd ndio kwanza anaifanyia kazi kama mchumi.Mwigulu Nchemba ni chama tu kinambeba.... But ukimwangalia hamna kitu kabisa. Yaani ni bure kabisa.
Nafasi zote alizowahi shika kiuongoz ukimwangalia alichofanya hamna. Anachoweza sana ni kujipendekeza tu.
Mtu anayevaa mabendera hawezi kuwa kiongozi mzuri, na hawezi kuwa na akili timamuMwigulu Nchemba ni chama tu kinambeba.... But ukimwangalia hamna kitu kabisa. Yaani ni bure kabisa.
Nafasi zote alizowahi shika kiuongoz ukimwangalia alichofanya hamna. Anachoweza sana ni kujipendekeza tu.
Mkuu punguza hasira Kaka...."utaimeza" simu yako hapo....🤣🤣kopo tupu lile. anajua kuvaa skafu tu na kubwabwaja. anajikuta msooooomi kumbe zero tu.
anaudhi sana. huyo anafaa kuwa kiongozi wa ccm, hana hadhi ya kuwa waziri wa wizara yoyote.Mkuu punguza hasira Kaka...."utaimeza" simu yako hapo....🤣🤣
Anaitwa Profesa nani Mkuu? Leo nina 'Kaziara' kangu binafsi hapo UDSM kuna 'Intellectual' Mmoja namwomba 'naniliu' huu sasa Mwezi wa Saba ( 7 ) na haeleweki tu.Yupo yule walopiga nae picha fulani inazunguka sanaa hahaaaaa
good olden days