Kukusanya mapato tunaunga mkono 100%Dr mwigulu go on fanyeni kila muwezavyo mkamilishe miradi yote iliyopo kwanza kukusanya mapato kwa njia hii itasababisha serekali yetu kukusanya fedha nyingi ambazo zitaenda kukamilisha miradi adhimu iliyopo
We mpuuzi kweli,so unaona hizo huduma watu wataendelea kutuma pesa KWA wingi kama Zamani.Dr mwigulu go on fanyeni kila muwezavyo mkamilishe miradi yote iliyopo kwanza kukusanya mapato kwa njia hii itasababisha serekali yetu kukusanya fedha nyingi ambazo zitaenda kukamilisha miradi adhimu iliyopo
Bunge limejaa vilaza wa CCM tupu nani wa kuhoji ? Wao walichoona cha maana ni kutaka waongezewe mishahara na kupigiwa saluti.Ebu tulia, kwani budget ni Dr. Mwigulu anapitisha, yeye anatoa proposals tu, Bunge ndio linapitisha budget, akiwemo mbunge wako, muulize mbunge wako, sbb zilizopelekea alikubali budget kuipitisha. Sio Mwigulu, umeelewa? Mwigulu ni mtoa hoja tu, waliokubaliana na hoja kupita waulize, mpigie mbunge wako
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)
Mnataka tuishije sasaa?
Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?
Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?
Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?
Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?
Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?
Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.
Na bora waseme watafanya maendeleo.
Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.
Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.
MWIGULU, HE MUST RESIGN
Mzee wa makafara anajiliwaza kwa machungu ya kukosa uwaziriHana tofauti na kingwangala vyeti vimeshindwa kuwasaidia.Heri apewe kishimba angepewa wizara hio.
Wanaachwa watu smart kama kina Dr Kimei,huyu msingida alaaniwe kabisa
Na ndo madhara ya kubaki na bunge la chama Moja wanakuwa wanakosa watu wakutoa check and balance, huyo zungu alijiropokea tu huko bungeni kisa Raia wengi hutumia miamala, Yani kuongezea mia Moja kwenye Kodi ni kubwa Sana kwa mtu wa kipato Cha chini.Mara ya kwanza naskia hilo nilishusha pumzi dah hawa jamaa hawatakaa wawe na uchungu kamwe! Yule zungu anatia kinyaa
Yani hela unatumiwa when neccessary aidha mgonjwa kazidiwa au umeblockiwa njiani na matrafiki! Vinginevyo dah hela utazifata geto tu mama aina jinsi
Hii haina maana ni sahihi kukaa kimya. Kuna tatizo kwenye kodi hata kama lengo ni maendeleo.ata tukiongea haita saidia. wakishaamua wameamua. ata baada ya mwezi wakipandisha tena mtapiga tu kelele kwenye mitandao mwisho wa siku makato yataendelea kama kawaida.
Mzunguko wa hela mtaani unaenda kufa bora hata magu aliwakamua wenye nazo hizi tozo za ajabu ni kuja kuumiza maskini na kuwamaliza kabisa kiuchumiNa ndo madhara ya kubaki na bunge la chama Moja wanakuwa wanakosa watu wakutoa check and balance, huyo zungu alijiropokea tu huko bungeni kisa Raia wengi hutumia miamala, Yani kuongezea mia Moja kwenye Kodi ni kubwa Sana kwa mtu wa kipato Cha chini.
Rais Samia asiporekebisha uchumi na wapinzani wakiruhusiwa atapata shida sana Kwa kweli, maana mawakala wa simu watakuwa jobless, Bado ajira plus machinga na mzunguko mdogo
Nauli mpya tayari.Dar to Moro saa hii ni Tshs 8,000/-...
TUSUBIRI Bukoba, Mbinga, Mwanza, Musoma etc
Hili hata mm naungana na chademaChadema mmeacha madai ya katiba mpya sasa mmehamia kwenye tozo za kodi ya kizalendo, kamwe hamto fanikiwa mnacho kitaka.
Yani mama Samia na Mwigulu wanaenda kuua kabisa uchumi imagine kupandisha mafuta na nauli zitapanda na kila kitu kitapanda hicho hakijatulia kaongeza na makodi ya miamala Tena ime doubt Mara mbili kabisa kisa kumaliza mamiradi yenye feasibility study ya 1970 huku wananchi wakifa. Nikikumbuka jinsi mpesa, Airtel money, tigo pesa jinsi zimeajiri maelfu ya watu na kipindi Cha Magu walikuwa wanalia na mzunguko na Sasa wamepandisha makato watapiga miayo Sana, tungekuwa na upinzani timamu ya kupigia kelele agenda hizi tungefika mbaliMzunguko wa hela mtaani unaenda kufa bora hata magu aliwakamua wenye nazo hizi tozo za ajabu ni kuja kuumiza maskini na kuwamaliza kabisa kiuchumi
Cc RRONDOMamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)
Mnataka tuishije sasaa?
Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?
Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?
Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?
Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?
Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?
Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.
Na bora waseme watafanya maendeleo.
Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.
Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.
MWIGULU, HE MUST RESIGN
Tumkumbuke kivipi?..kwamba maisha yalikuwa malaini sana kipindi chake au?..Na tuendako tutamkumbuka tu aisee maana dah this is too much. Shida viongoz hujiamulia bila kushirikisha wananchi ili ka ni kula Ile pande zote na sio pande ya Raia tu
Dah mkuu imekuwaje tena umipigwa Ban? Mods please mjitafakari. Kuna watu kabisa mkiwapiga ban ni dhahir kabisa ni uonevuNajua mtanikumbuka sio kwa mabaya bali kwa mazuri kwa sababu nimeji sacrifaiz kwa ajili ya Watanzania ~ Alisikika shujaa mmoja
Anaongea kwa jeuri na kujiamini mtoto wa nje wa MsoganiMamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)
Mnataka tuishije sasaa?
Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?
Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?
Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?
Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?
Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?
Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.
Na bora waseme watafanya maendeleo.
Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.
Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.
MWIGULU, HE MUST RESIGN