Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
mwigulu ni waziri BOGUS kuliko wote. na huyo aliemteua nae naona ana walakini.

huyu mpuuzi ana akili za darasani. siyo akili za uraiani.

unajuwa unaweza kuwa na akili za kupata A darasani lakini ukija kitaa unakuwa wa bogus tu. ndo huyp mwigulu wenu.
 
Yaani mwigulu ni bonge la falla, kumbe ndiyo maana magufuli alikuwa anamchukia na ha mwamini hata kidogo, yaani kapata ka upenyo kadogo tuu anamdanganya na kumchonganisha mama wa watu.......!
 
Chadema mmeacha madai ya katiba mpya sasa mmehamia kwenye tozo za kodi ya kizalendo, kamwe hamto fanikiwa mnacho kitaka.
Huu ndiyo uzezeta wa baadhi ya watanzania, kwamba hizo tozo wanatozwa Chadema tu? Kama wewe ni Baba wa familia basi umepoteza mwerekeo kabisa ,hata kama uko tabaka tawala mnachota tu resources zetu jua wananchi wa Tz wanadhulumiwa, hapo jioni hii nimetoa mpesa elf 50 tu,ila wamekata 4,750/=.....Huu ni wizi, viongozi wetu wameishiwa pumzi hawaoni mbele tena hawajui wafanyeje..........
 
Kwa hiyo mtoa mada unadhani haya yote Mwigulu ameyaweka yeye pasipo Boss wake Kujua?
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Subirini dawa iwaingie. Hizi ni rasha rasha tu masika bado haijafika.
 
Kwenye hili la miamala Waziri husika itabidi atupishe.
Ni kawaida serikali kupima joto ila Kwenye hili wamechemsha.
Wangegusa kidogo wangefanikiwa.
Tujiandae tamko
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Mwigulu ni kichaa katili kama mwendazake
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN

Mwigulu hana kosa lolote. Anbatafuta kodi kutoka kwenye ulimwengu wa utandawazi. Tulipe kodi tutafute maendeleo. Ila lile bunge ni kubwa mno linatuongezea gharama nalo lipungue 😂 😂 😂 😂
 
Mimi nawaza pembejeo za kilimo tu. Wakulima tumepatikana na kama tumepatikana naona vyakula vikienda kupanda bei. Hapo tutalia na kusaga meno
 
Mwigulu hapaswi kuwepo kwenye ofisi yoyote ya Umma
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN

magufuli aliamua kwenda direct in kwenye uwekezaji, inamaaana serikali ingekua na vyanzo vingi vya mapato ila mkamuona hana akili, amekuja mwingine, hamtaki miradi, hamtaki deni la taifa lipande na hamtaki kuchangia serikali so wafanye nn?
 
Kwenye hili wamechemsha. Tujiandae kwa pindua pindua. Ilibidi tozo ziwe za chini
 
Mwigulu pia weka kodi Kwa watumizi mitandao insta,fb,twita,tiktok n.k endeleeni kuupiga mwingi😃😃😃😃
As long as tupo huru na democrasia imetamalaki sie hatuna tatizo
 
Back
Top Bottom