Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
Wakati wanafanya maamuzi wanapaswa kuangalia sehemu Kuna uafadhali kwamba mhusika hata pata maumivu sana.

Matajiri Wana uafadhali kidogo wa kulipa kuliko maskini.

Kumminya mtu wa chini kwa makodi mengi na makubwa Kwa wakati mmoja huko ni kutengeneza civil unrest.
Watanzania mnapenda vya bure.
Wakati wafanyabiashara wanalia na TRA sijui mlikuwa katika usingizi gani.
Sasa jukumu la kodi ni kwa kila mtanzania mnaanza kulia lia utafikiri hampangi biashara kando ya barabara zilizojengwa na kodi.
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Alafu bei ya mazao inazidi kushuka
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Embu tuiondoe ccm madarakani tuache kulalamika halafu ikifika siku ya uchaguzi tunaipigia ccm kura.
 
Tatizo lipo kwa watanzania wanafuata mkumbo hawajulikani wanataka nini
 
Ewe mama yetu mpendwa sana SSH, ulituletea furaha pasipo raha, miezi mitatu baadae furaha imegeuka karaha.
Ulipochaguliwa nchi nzima watu waliokua na masononeko kwa miaka 5 walianza kufurahi.
Miezi mitatu baadae Mwigulu anataka kukuingiza chaka maana furaha waliokua nayo Mwigulu katia upupu na sasa ni kilio nchi nzima.

1.Ongezeko bei ya Mafuta kunakopelekea bei ya bidhaa zote kupanda.

2.Tozo ktk mitandao.

Mama yetu tunajua wee u msikivu pitia huku utusaidie
 
Ewe mama yetu mpendwa sana SSH, ulituletea furaha pasipo raha, miezi mitatu baadae furaha imegeuka karaha.
Ulipochaguliwa nchi nzima watu waliokua na masononeko kwa miaka 5 walianza kufurahi.
Miezi mitatu baadae Mwigulu anataka kukuingiza chaka maana furaha waliokua nayo Mwigulu katia upupu na sasa ni kilio nchi nzima.

1.Ongezeko bei ya Mafuta kunakopelekea bei ya bidhaa zote kupanda.

2.Tozo ktk mitandao.

Mama yetu tunajua wee u msikivu pitia huku utusaidie
mama yupo Burundi huko anaendelea kuupiga mwingi.

akirudi aweke kodi ya kichwa ndio ataupiga mwingi zaidi
 
Tujifunze kuepuka kumpa mtu sifa kubwa kuliko uhalisia. Kila linatokea huyo mama analijua na lina baraka zake, Sasa tukikaa humu mitandaoni kuomba mbariki tatizo alete suluhisho ni sawa ni kujitoa ufahamu tu. La Mwigulu ndio la mama.
Tunajua lakini tunataka ajue ni kwa namna gani jamii imelipokeaje
 
Ewe mama yetu mpendwa sana SSH, ulituletea furaha pasipo raha, miezi mitatu baadae furaha imegeuka karaha.
Ulipochaguliwa nchi nzima watu waliokua na masononeko kwa miaka 5 walianza kufurahi.
Miezi mitatu baadae Mwigulu anataka kukuingiza chaka maana furaha waliokua nayo Mwigulu katia upupu na sasa ni kilio nchi nzima.

1.Ongezeko bei ya Mafuta kunakopelekea bei ya bidhaa zote kupanda.

2.Tozo ktk mitandao.

Mama yetu tunajua wee u msikivu pitia huku utusaidie
Mwingulu ni masalio ya mwendazake ilibidi aondolewa mapema na Mama, pia ana ambition ya kua Raisi mwingulu ni sumu kwa Mama.
 
Tunajua lakini tunataka ajue ni kwa namna gani jamii imelipokeaje
kila mtoa maamuzi hujua athari ya maamuzi yake. Mpaka kuja na hizo tozo na kuruhusu mfumuko wa bei walishajua kuwa raia watalalamika.
Lakini pia walishajua kama ilivyo kawaida ya Watanzania, tutalalamika mitandaoni mwisho wa siku litapita na wao ya kwao yametimia.
Tatizo sio tozo wala bei ya mafuta, tatizo ni msingi tuliowekewa wa kuwa watiifu kiasi cha kuwa wapumbavu.
 
Ewe mama yetu mpendwa sana SSH, ulituletea furaha pasipo raha, miezi mitatu baadae furaha imegeuka karaha.
Ulipochaguliwa nchi nzima watu waliokua na masononeko kwa miaka 5 walianza kufurahi.
Miezi mitatu baadae Mwigulu anataka kukuingiza chaka maana furaha waliokua nayo Mwigulu katia upupu na sasa ni kilio nchi nzima.

1.Ongezeko bei ya Mafuta kunakopelekea bei ya bidhaa zote kupanda.

2.Tozo ktk mitandao.

Mama yetu tunajua wee u msikivu pitia huku utusaidie

Na kwenye mbolea je?
 
Ewe mama yetu mpendwa sana SSH, ulituletea furaha pasipo raha, miezi mitatu baadae furaha imegeuka karaha.
Ulipochaguliwa nchi nzima watu waliokua na masononeko kwa miaka 5 walianza kufurahi.
Miezi mitatu baadae Mwigulu anataka kukuingiza chaka maana furaha waliokua nayo Mwigulu katia upupu na sasa ni kilio nchi nzima.

1.Ongezeko bei ya Mafuta kunakopelekea bei ya bidhaa zote kupanda.

2.Tozo ktk mitandao.

Mama yetu tunajua wee u msikivu pitia huku utusaidie



Ukiona unamsemelea sana kiongozi wako kwa boss wake, halafu boss wake anakuangalia tuu na haongei neno Jiongeze
 
Maendeleo binafsi hayapatikani bila ya kuufunga mkanda....

Na maendeleo ya nchi hayapatikani pia bila ya wananchi kuifunga MIKANDA.....

Dr.Mwigulu yuko sahihi kabisa....

#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom