Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokana na nature ya kazi yangu natuma hela kazi ifanyike,Jana miamala midogo tu kodi imekatika zaidi ya laki moja na hapo sijatuma ya kutolea,huu ni unyang'anyi tuukatae
Basi hao wabunge mishahara yao walipwe kwa mitandao ya simu waone inavyoumaSheria iliyopitishwa na bunge yaweza kuwa nzuri shida kwa hawa wasimamizi wa utungaji wa kanuni.na ndiyo hasa shida vinginevyo ungesikia statement zao sheria irejewe bungeni na sio kanuni.kwakuwa kanuni wametengeza wao ndiyo wameamua kwenda kuzirejea.kwahiyo wafukuzwe kabisa.la tungesema baraza la mawaziri livunjwe.
Anamharibiaje ikiwa mama yeye ndio kasaini hayo makato kuanza kutumika? Mama kusoma hajui?Ajiuzulu anamharibia mama
Bado najiuliza kwani mama yeye kusoma hajui? Alikubali vipi kusaini?Kodi zetu za Kizalendo zinaweza kupita na kichwa cha mtu
Kodi na tozo zisizo na mashiko ni hatare sana kwa president anaesikiliza wananchi kama Madam SSH
The minister could be the champion on the previous regime but not this One
Time will tell
Mshahara wa mbunge ukatwe kodi sawa watumishi wengine.Basi hao wabunge mishahara yao walipwe kwa mitandao ya simu waone inavyouma
Tatzo co wasomi kiongozi tatizoo tz siasa zmetawala kila sehemuWasomi wengi wa uchumi ni wa vitabuni, ndio maana biashara itaanzishwa na darasa la saba alafu wao kazi yao ni kuandaa trial balance na balance sheet. Sasa mpe hiyo biashara kama hajaiua.
Hata Wasomi waliopo TRA ni hao hao tu.