Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
Nashindwa kumuelewa mwigulu sana

Anaamini wanaccm wanahela hukovijijini kweli zakukatwa hivi wale wazee, akina mama kweli

CCM tumewakosea nn lakini
 
ndiyo maana magufuli alikuwa hamwamini kabisa na alimweka kando kando, mama asipomwangalia atamwangusha vibaya…..
 
Sheria iliyopitishwa na bunge yaweza kuwa nzuri shida kwa hawa wasimamizi wa utungaji wa kanuni.na ndiyo hasa shida vinginevyo ungesikia statement zao sheria irejewe bungeni na sio kanuni.kwakuwa kanuni wametengeza wao ndiyo wameamua kwenda kuzirejea.kwahiyo wafukuzwe kabisa.la tungesema baraza la mawaziri livunjwe.
Basi hao wabunge mishahara yao walipwe kwa mitandao ya simu waone inavyouma
 
Kodi zetu za Kizalendo zinaweza kupita na kichwa cha mtu

Kodi na tozo zisizo na mashiko ni hatare sana kwa president anaesikiliza wananchi kama Madam SSH

The minister could be the champion on the previous regime but not this One

Time will tell
Bado najiuliza kwani mama yeye kusoma hajui? Alikubali vipi kusaini?
 
Hiyo ni sheria iliyopitishwa na bunge
 
Wabunge waanze kukatwa posho na wapunguziwe mshahara
 
Yaani mwigulu ni bonge la fala kweli kweli, anaanzisha tatizo kwenye jamii alafu mwisho wa siku anasema amesikia kilio
 
Wasomi wengi wa uchumi ni wa vitabuni, ndio maana biashara itaanzishwa na darasa la saba alafu wao kazi yao ni kuandaa trial balance na balance sheet. Sasa mpe hiyo biashara kama hajaiua.

Hata Wasomi waliopo TRA ni hao hao tu.
 
Ni kweli inatakiwa ajiuzuru maana hili jambo la tozo za miamala ya simu imethibisha kujua uwezo wake wa kielimu na kufikiri na kote amefeli

KIELIMU
Msomi kabisa wa uchumi hawezi kuweka tozo kama hizi ambazo zitaathiri makapuni ya simu, uchumi wa wananchi pamoja na mapato ya serikali

KIFIKIRA
Mtu mwenye kufikiri vizuri kabisa hawezi kupitisha na kutumia nguvu kutetea kitu kama hichi wakati hali ya watanzania inajulikana hata mateja wasio jielewa wanaona kabisa hili halipo sawa

Ili kulinda heshima yake ni bora ajiuzuru ili tujue kuwa alitereza na anajutia lakini akiendelea kuwa waziri tutajua huu ndio uwezo wake wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwigulu mhuni anamchezea mama Kama alivyokuwa anamchezea mwendazake kule kibiti, mwendazake alipostuka atachukua uwaziri ndio Sasa anavyomfanyia sarakasi mama lengo amchafue tu inatakiwa mama awatoe mwigulu na ndugulile na wengine.
 
Wasomi wengi wa uchumi ni wa vitabuni, ndio maana biashara itaanzishwa na darasa la saba alafu wao kazi yao ni kuandaa trial balance na balance sheet. Sasa mpe hiyo biashara kama hajaiua.

Hata Wasomi waliopo TRA ni hao hao tu.
Tatzo co wasomi kiongozi tatizoo tz siasa zmetawala kila sehemu
 
Back
Top Bottom