Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Habari ndio hiyo .
ongea tu mkuu neno lako muhimu sana....
alafu mapema sanaHahaha kila mtu anamkana jiwe maskini πππ
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumkubali jiwe...Hahaha kila mtu anamkana jiwe maskini πππ
Jamani jamani! Kwani Mama hawezi kuongoza bila kumhusisha na hao watangulizi wake? Binafsi namuona mama ni bora zaidi na anasimamia anachokiamini na si kucopy na kupaste
Kwani wewe unaweza kula chakula bila kunawa?ila huyu mwigulu hapo sija muelewa kabisa kwa nini ameongea statement kama hiyo
Wewe kikongwe habari za siku nyingiJamani jamani! Kwani Mama hawezi kuongoza bila kumhusisha na hao watangulizi wake? Binafsi namuona mama ni bora zaidi na anasimamia anachokiamini na si kucopy na kupaste
Amesema mama hapendi kuonea watu tofauti na watu wengine ma sadist wsnaopenda kuonea watu kisa kabilaila huyu mwigulu hapo sija muelewa kabisa kwa nini ameongea statement kama hiyo
πππ...Wewe kikongwe habari za siku nyingi
Blog uchwara ,Nchemba wala hajaongea hayo