Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Ina maana huko nyuma pesa za kukopesha wanafunzi zilitoka wapi
👇
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo mikopo hailejeshwi na riba juu, maanake schem ya mkopo inajiendesha yenyewe, arguments zake za kitoto sana hazina mashiko, ukweli ni kwamba hizi tozo wanaibia wananchi mshahara mmoja unalipishwa kodi nne, kwa pesa hiyo hiyo.Ina maana huko nyuma pesa za kukopesha wanafunzi zilitoka wapi
[emoji116]View attachment 2342157