Mwigulu mbona wakati hayati JPM yupo watoto walisoma na kupata mikopo ya chuo kikuu bila tozo?

Yale maelezo kwamba wananchi ndio waliotaka TOZO wenyewe yanatosha. Kama kuna ambaye hataki ashinikize zifutwe au akapinge mahakamani mengine ni porojo tu.
 
Huyu mtu anawaona Watanzania bado wajinga. Viongozi kama hawa ni mzigo. Kwa nini usifikirie kwenye rasilimali tulizonazo kuwa vyanzo vya mapato?. Hapo na yeye anajiona bonge la mbunifu kuwaza wananchi ndio vyanzo vya mapato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…