Mwigulu: Mkataba wa EPC+F ni Technical sana

Huko kwenye EPC+F ni kwenda kujitafutia matatizo tu. Sio tu kwamba bank zina riba kubwa na middleman juu apate faida hapo hapo making the whole thing too expensive.
Hatuhitaji vitu technical saana, kwa sentesi yako ya mwisho imemaliza killa kitu yalikuwa maamuzi mabovubkutumia njia hiyo.

Lakini wao watajificha kwenye kichaka cha nchi nyingine wanafanya. Inapokuja suala la upigaji ndio tunataka kujilinganisha na nchi nyingine lakini ukiwaambia tuwauate hao pia katika masuala kama ya utawala wa sheria na uwajibikaji hawataki!
 
Hivi hawa watawala hawajisikii aibu! Maana hata mtu mjinga anaona kabisa hawa watu ni wezi waliopitiliza.
Umetumia neno zuri "Watawala" maana hawa sifa zao sio matumizi ya akili hizi zisizokuwa technical, wanakwiba mchana kweupe huku mnaona wakijua hamna cha kuwafanya.
 
Eti yule mwingine akaambiwa futa au badilisha hayo maneno yaliyoko ukurasa wa 34,Yeye akakubali haraka haraka "nafuta,nafutaa ni ajabu lakini ni kweli.
Ni baada ya kibano kuwa kikubwa hali iliyomlazimu kuwa mdogo kama pirton.

Inaonekanaa waziiri wa ujenzi ameingizwa chaka na mawaziri wasomi Dr Madelu na Prof. Mbarawa.
 
Kuna ufisadi mkubwa sana umetokea kwenye miradi inayo endeshwa kwa mfumo wa EPC+F.
Hela imewekwa lakini vigogo wamezichota miradi inakwama mitaani.
Mdee na ufala wake wote hoja yake ilikua ya msingi sana.
Mwigulu aache kutisha watu na Elimu yake ya hapa na pale, ajibu maswali anayoulizwa.
Ifike hatua TAKUKURU iwahoji Mwigulu, Prof Mbalawa alie kua waziri wa ujenzi na uchukuzi.
Kuna mambo hayapo sawa.
 
Labda TAKUKURU ya mbinguni, hii ambayo haiwezi hata kumkamata DC
 
Kwa hiyo Libajaji, Msukuma na wenzao
Kwa hiyo Kibajaji, Msukuma na wenzao wataelewa kitu gani hapo? Sifa ya mgombea ubunge aubunge ya kujua kusoma na kuandika tu itamsaidiaje kuchangia kwenye hili!?!
 
Huyo jamaa ana dharau ya asili asee. Kama alishaweza kuwaambia watanzania wahame nchi unamchukuliaje huyo?
 
Nyerere alikuwa anahutubia kwa kiswahili rahisi tu, na hakuwahi kushindwa kueleza jambo lolote kwa kudai ni technical sana. Hivi viongozi wenye caliber hiyo wanapatikanaje? Obama na Clinton nao hujua kueleza mambo complex kwa lugha rahisi sana.
 
Kwani wakati wa kusaini huo mkataba hawakujua riba hupanda kushuka? Hao wakandarasi watafute pesa wajenge, otherwise na sisi twenda ICSID tukawashtaki, mbona wao wanatushtaki kila siku na kushinda matrillion?
10% mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…