Binafsi si support huo utaratibu wa EPC+F ni very expensivie na kweli ni technical.
Chukulia mfano Mwigulu kaelezea kupata hizo hela za investment, huyo financier wa magumashi (more like a middleman) maana yeye mwenyewe hana hela anategemea kutafuta syndicate (kikundi cha taasisi) kama banks and other investors watakao changia kutoa hiyo hela inayohitajika.
Strenuous efforts by donors and lenders over four decades turned Mozambique from a socialist success story into a neoliberal capitalist one. The private sector dominates ; a domestic elite dependent…
www.cadtm.org
Mambo kama hayo ndio yaliibua mjadala wa kimataifa na mgogoro kati ya donors IMF/WB na Credit Suisse (whilst acting as middleman) in finding a syndicate ambao watachangia mkopo waliopewa Mozambique.
Mzozo uliibuka Kwa sababu kupata hiyo syndicate (taasisi zitakazotoa hela) na interest charged on the loan; hilo ni tatizo bila ya donors kujua ni shida kwa sababu given a nation default risk (na donors ndio wanaongea na wizara ya fedha kupitia kitengo chao cha DMO regularly na ku-asses debt sustainability) kutokana na madeni nchi maskini waliyo nayo tayari wanaweza asses default risks.
Huko Mozambique kupata huo mkopo walifanya siri given their default risk (IMF/WB) a wakijua.
Donors walipojua baadae ndio ukaibuka ugomvi kati yao na Credit Suisse kuwashutumu for being irresponsible kutoa mkopo kama huo.
Mwigulu kaelezea hilo bungeni kuhusu syndicate (not in details, ndio maana akasema ni techinical kwenda mbele) lakini wabunge wengi wameshindwa kuelewa isipokuwa yule dada aliesema au hamkopesheki.
Maana yake nini kauli ya yule mmbunge aliesema au hamkopesheki in practice IMF/WB baada ya assessment zao wakibaini nchi ni heavily indebted ni jukumu lao kuhakikisha awakopi zaidi ya uwezo wao wa kulipa given the cash flow na existing debt commitment. Wakiona too much risk. lazima watie neno.
Sasa kwenye hii move yetu ya EPC+F achana na currency risk na interest risk (that’s just normal financial concerns kwenye mikopo) ambayo inafanya interest set iwe juu au chini; bado kuna default risk.
Hiyo report wanayosifia ya credit rating agency sijui tupo B2 mama anaupiga mwingi it’s nonsense in practice. B rating (any 1 or 2) is just junk ambayo private bank or any other investor kukupa mkopo riba lazima iwe kubwa B2 or B1 maana yake default risk ni kubwa, sasa jumlisha na currency risk and interest risk concerns hapo utapata wa riba ya chini 10% kweli.
Ndio maana ukisikiliza ule mjadala deductively unahitimisha itakuwa walikuwa na MoU tu na pengine IMF/WB wameingilia kati; Ndio maana huko serikalini wameona umuhimu wa ku negotiate a good deal (which is unlikely to get one) na kuelezea factors on getting a good deal is very technical (waziri yupo sahihi).
Mwigulu kajaribu kuelezea kirahisi kama wameshindwa kuelewa aliyosema kuwaelezea technical issue itachukua siku nzima namna ya ku-negotiate hizo riba given our current credit rating status’s
Aliengia hayo makubaliano ya EPC+F ni fisadi; na keshakimbia (chances are baada ya IMF/WB kustuka) wenyewe wametoana wamemtupa huyo poyoyo Bashungwa zigo la lawama liende kwake na Mwigulu sio financier hajui mambo ya ufisadi anayotetea.
Mama mpaka 2030