Mwigulu: Mkataba wa EPC+F ni Technical sana

Mwigulu: Mkataba wa EPC+F ni Technical sana

Kwa hali ilivyo yawezekana Mwigilu atapata wakati mgumu wakati wa kuwasilisha bajeti kuu ya serikali.
Atapata wakati mgumu toka kwa nani? Mikataba, mikopo, matumizi makubwa yafanyika na hakuna wa kuzuia. Si wabunge, si wananchi.
 
Kwa sababu hayo mambo ni rahisi kuelewa kama unavyodai basi embu tuelezee option yako ingekuwa ipi na kwanini.
Wewe unaona hayo ni magumu kueleweka? Umekaa darasani sijui miaka mingapi ukidhani wengine hawawezi kuyaelewa hayo ila wewe mwenye akili tofauti na hao wengine?

Rudi kwenye mada, kwa sababu umesahau hata mada yenyewe inasemaje?
Kama umesoma maswala ya accounting/finance hayo mambo utakutana nayo mwaka wa nne on ‘advanced financial management’ module trust me it technical and the hardest module in the degree.
Kama wewe umeyasoma na kuyaelewa, 'trust me' nami ningeingia huko nigeyamaliza tu. Sioni cha ajabu sana hapo.
Mnaposoma, halafu mnashindwa kueleza mmesoma kitu gani na kukieleza kwa wengine wakakielewa kwa lugha rahisi, huo sio usomaji. Mnabaki tu kujipiga vifua muonekane nyinyi ni watu wa kipekee sana!

Actually, hasa kwako, naona huwa una shida sana kuelewa hata kinachoandikwa kwenye hayo unayojibu. Badala ya kujikita na yaliyoandikwa, unarukaruka na kueleza mambo mengine tofauti kabisa na unachotakiwa kujibu.

Tunazungumzia Mwigulu kushindwa kueleza ajuayo kuhusu hoja za wabunge. Badala ya kujibu anakimbilia kwenye 'technical', hiyo technical ni kitu gani kisichoweza kuelezeka kikaeleweka? Sasa na wewe unarudi humo humo kwenye 'technical'; kana kwamba ni nyinyi peke yenu ndio mliivumbua hiyo tecnical' na hamtaki kuieleza kwa wengine.

Bure Kabisa.
 
Wewe unaona hayo ni magumu kueleweka? Umekaa darasani sijui miaka mingapi ukidhani wengine hawawezi kuyaelewa hayo ila wewe mwenye akili tofauti na hao wengine?

Rudi kwenye mada, kwa sababu umesahau hata mada yenyewe inasemaje?
Kama wewe umeyasoma na kuyaelewa, 'trust me' nami ningeingia huko nigeyamaliza tu. Sioni cha ajabu sana hapo.
Mnaposoma, halafu mnashindwa kueleza mmesoma kitu gani na kukieleza kwa wengine wakakielewa kwa lugha rahisi, huo sio usomaji. Mnabaki tu kujipiga vifua muonekane nyinyi ni watu wa kipekee sana!

Actually, hasa kwako, naona huwa una shida sana kuelewa hata kinachoandikwa kwenye hayo unayojibu. Badala ya kujikita na yaliyoandikwa, unarukaruka na kueleza mambo mengine tofauti kabisa na unachotakiwa kujibu.

Tunazungumzia Mwigulu kushindwa kueleza ajuayo kuhusu hoja za wabunge. Badala ya kujibu anakimbilia kwenye 'technical', hiyo technical ni kitu gani kisichoweza kuelezeka kikaeleweka? Sasa na wewe unarudi humo humo kwenye 'technical'; kana kwamba ni nyinyi peke yenu ndio mliivumbua hiyo tecnical' na hamtaki kuieleza kwa wengine.

Bure Kabisa.
Umenena vyema, wasomi wetu hawa wanashangaza, iweje kitu unachokielewa ushindwe kukuelezea na kujificha kwa hii ni technical saana.

Sasa kwa mtindo huu wanajaribu kutuaminisha kwamba ni wao pekee wenye kufahamu mambo technical saana wakati kwa zaidi ya miaka 50 watanzania mbalimbali wamehitimu katika vyuo vikuu vya ndanj na nje ya nchi, technical inatoka wapi?

fundi mmoja wa ujenzi alifutwa kazi kabla haata hajaanza, baada ya kufika kwenye eneo la ujenzi na kuanza kulalamika kwa mwenye mali kuwa hiyo kazi ni ngumu sana kwanj fundi wa awali alifanyaa makosa mengi na eneo la ujenzi lina mteremko tofauti na alivyofundishwa chuo!
 
Kuna baadhi ya vitu haviitaji kabisa kuwa na elimu kubwa ili uvielewe...

Nchemba kwakweli hafai ni basi tu sijui ni nini kinambeba kwenye nafasi hiyo.
Anabaki kwa sababu anafahamu mambo technical saana, hivyo kumwondoa itakuwa ngumu kupata mwingine.

Jiulize, kwanini siku hizi mikeka ikitoka huoni mabadiliko kwa mawaziri?

Ukiona basi imeharibika na abiria wengi wanatafuta usafiri mwingine lakini abiria mmoja hataki kushuka kuna mambo mengi kubwa inawezekana ana mzigo wake kwenye hilo basi.
 
Back
Top Bottom