Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

Kama unaona wivu mimi hapa kumtetea Mume wangu na wewe netter Mumeo

Hacheni wivu wa kijinga kila serikali inayoongia madarakani mna kiongozi mmoja wa kumpiga vita na kumfitini
Kwani mumeo ni lazima awe kiongozi? ajiajiri
 
Endelea kutunyoosha Madelu
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.

Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

=====

Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.

Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.

 
Hebu ikikupendeza Rais Samia fanya upate HAT TRICK, mtoe na huyu fisadi aliyebaki hapo. Mwigulu Nchemba
IMG-20240722-WA0058.jpg
 
Back
Top Bottom