peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ametumwa na wabunge wanaomiliki makampuni ya mabasi yaendayo mikoani. Jibu ndio hiloUmetumwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametumwa na wabunge wanaomiliki makampuni ya mabasi yaendayo mikoani. Jibu ndio hiloUmetumwa?
Ushahidi upo TRA kwenye TIN ya Ester luxury coach ambayo ni TRA ambayo ipo chini ya wizara ya fedha na mipango na bosi wake ni mwigulu nchemva.Mwenye ushahidi aweke humu basi tuuone
ZeroMwenye mabasi ni Simbachawene
Kwahiyo vyombo vya uchunguzi vimeridhika na hayo majibu na vimeenda kulala?
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Tena wakiona na hii picha yake ndio watasinzia kabisaaaKwahiyo vyombo vya uchunguzi vimeridhika na hayo majibu na vimeenda kulala?
Jitu liongo utalijua tuWaziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Anamdanganya maza, sie wengine watoto wa mujini tunazo data zake zoteJitu liongo utalijua tu
kwa hiyo zile biashara za kubet ni katuni zile?
Anadhani kila mtu ni mjinga kama wapiga kura wake
Kwani naishi kwenye tembe kama wapiga kura wa mumeo?Sasa mbona wewe Ni mjinga kuliko wapiga Kura Wake. Maana umenogewa na uongo kuliko Ukweli Wake.
Hahaha
Tufanye kazi huku nyie mnaiba fedha za umma?Akili za watu ni watu ni za ajabu nilianza na day care Sasa ivi Nina secondary ila habari zilizo mjini shule yangu naambiwa ni ya mbunge mwanamama na na Hela sana ,tuache wivu na uvivu tufanye kazi
Ndiyo hiki hatukitaki sasa tunataka usawa, kwanini alipwe pesa nyingi kuliko halihalisi?Mna haki .Yeye ni mbunge waziri. Safari moja tu ya Ulaya posho yake analipa ada mwaka mzima.
Tuache unafiki tatizo siyo kusoma wapi, anahaki zote asome popote pale anapotaka mtoto wake asome ni haki yake ya msingi; lakini vyanzo vyake vya mapato lazima vijulikane kama mtu mwenye dhamana ya fedha za nchi yetu.Wapi imeandikwa kuhusu watoto wa mawaziri wasome shule fulani? Hizo ni roho cha kichawi na umaskini.
Na kwa akili yako hii ni sawa huku huduma za jamii zikiwa zinaelekea kaburini?Mna haki .Yeye ni mbunge waziri. Safari moja tu ya Ulaya posho yake analipa ada mwaka mzima.
Unatoaje ushauri kwa mtu ambaye publicly ame declare yeye anajua zaidi ya kila mtu?Tujikite kumpa ushauri badala ya kuendelea kumshambulia mhe waziri.
Na hili la mabasi mwenye ushahidi kuwa ni yake aulete hapa
Ni kwasababu hakuna TRUST jambo la hatari sana, kwa hili mtu anaweza kuwa victimized pasipo exhibits yoyote, haya yakiwa ni matunda ya kukosa mifumo ya kuwajibishana kwakua haki haionekani kutendeka kwa both sides...Tunaishi kwenye very fragile society...Inatisha!Nikikumbuka jinsi yale maghorofa ya Jeshi yalivyokuwa yakihusishwa na Ridhwani Kikwete, ndo utajua hii nchi inapenda uzushi sana. Kila ujenzi inaambiwa Ridhwani huyooo!
Mbowe gani huyo [emoji849][emoji849]au huyu huyu ambaye mkononi ana chupa ya asali na mifuko ya nyuma ana chupa mbili za konyagiMbowe kawatoa pangoni jana safi sana