Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Yupo mpinzani aliyehusika, ni Nyalandu wakati waziri wa utalii.EPA, RICHMOND, IPTL, ESCROW, MAKINIKIA, TWIGA KUPANDA NDEGE Kuna mpinzani aliyeshiriki hayo? Msing'ang'anie kututawala kwa hoja uchwara
Sio CHADEMA mimi tafadhali mkuu.Chadema pamoja na tuhama zenu zote za Kijinga mmewahi kuweka ushahidi hadharani ?
Siyo Ezekiel Maige ndo aliyemkunja twiga shingo akamwingiza kwenye ndege, siyo rahisi uwe mpinzani halafu uwe unadundaYupo mpinzani aliyehusika, ni Nyalandu wakati waziri wa utalii.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mwigulu hajawahi kutukanwa,anajidhalilisha mwenyewe.Bavicha mlivyo vichwa maji,mpaka sasa mnamtukana Mwigulu badala ya kupangua hoja yake
Yaani kwa kweli nashangaa sana. Badala ya kujibu hoja ya Mwigulu wanafanya 'personal attack'Bavicha mlivyo vichwa maji,mpaka sasa mnamtukana Mwigulu badala ya kupangua hoja yake
Na angekuwa anaishi kwenye jamii staarabu zaidi angekuwa jela.Ghaidi mkuu
Je umesha uliza mahakama yamafisadi imesha fanya Nini?Kweli CCM wanajitoa ufahamu yaani unadola na watu wa usalama unashindwa kumkata anaye taka kuuza nchi
Uchaguzi wa mwaka huu ni mwepesi mnoYaani kwa kweli nashangaa sana. Badala ya kujibu hoja ya Mwigulu wanafanya 'personal attack'
Hoja hujibiwa kwa hoja
Mimi najaribu kukumbusha tu,wanaotoa ushauri wasitangulize maslahi yao peke yao Hilo linatugharimu kwa mengi Kama taifa.Mwigulu, tangu alipotimuliwa tu uwaziri, kwa anayemfahamu vizuri atagundua, mpaka sasa akili yake haijawa sawasawa. Toka wakati huo mpaka leo, hajawahi kuongea kitu chochote cha maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana mawazo ya kijima kweli kweli na bosi wake bado wanaamini wanaweza kuwa kisiwa thus wamevunja hata jumuia ya afrika mashariki zaidi ya Burundi hawana rafikiSiasa ya miaka ya 95 unaleta leo...
Inategemea anayemsikiliza ana akili za namna gani. Inewezekana msikilizaji naye azimo sasa ataweza kumwelewa kweli?Mwigulu, tangu alipotimuliwa tu uwaziri, kwa anayemfahamu vizuri atagundua, mpaka sasa akili yake haijawa sawasawa. Toka wakati huo mpaka leo, hajawahi kuongea kitu chochote cha maana.
Sent using Jamii Forums mobile app