Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Baadhi ya wagombea Urais na Ubunge wamekwishapewa advance ya kuuza nchi

Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Baadhi ya wagombea Urais na Ubunge wamekwishapewa advance ya kuuza nchi

Wao husema "The END justifies the Means" but I think in some rare Occasions if not all; dealing with matters that requires reasoning... "It's the MEANS that Justifies the End(s)"

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wewe na Mwigulu wote mnafanana akili (kama mnazo lakini).

Kwa mtu ambaye kakaa darasani muda mrefu sikutegemea kama angekuwa mropokaji, azungumze vitu bila ushahidi na kama anao ushahidi basi auweke hadharani.

Tunatukanwa sana wanaCcm kila kona kwa sababu ya wapuuzi wachache ambao hawawezi kuacha nguvu ya hoja ikafanya kazi na badala yake kutegemea hoja ya nguvu, shame on you and the likes!!!

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Wewe sio mwanaCCM, acha kujipendekeza..😂
 
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.

Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.

Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.
Je kuna ukweli wowote katika matamshi yake?
Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal

Karibuni wanajukwaa
Nilimsikia mgombea ubunge kupitia CCM shinyanga mjini akisema Lisu kapewa Tsh15b ajili ya kampeni ya uraisi na watu wa nje !

Yule bwana Robert Amsterdam wa ile kampuni ya uwakili yenye ofisi zake London na Washington ni wa gharama kubwa sana ! Aliwahi kuwa simamia akina bilionea Mikhail kordokhosky wa urusi na Thakshin Shinawatra wa Thailand (very high profile figures) . Kwa sasa ndio wakili wa Lisu, labda bwana Mwigulu ndio anapotilia shaka kua ni akina nani wako nyuma ya malipo yake.

Mmh ! Mi sijui bana.
 
Njaa na mateso ya miaka 5 ni kampeni tosha watapiga kampeni IPI mpya kila MTU kaumizwa hivyo kuichagua ccm tena ni kuhalalisha kuteswa kwako safari sio mitano tena huyu MTU akirudi atoki tena ni 2040 huku nchi ikiwa imesambaratika vibaya kabisa.
Hiyo 2040 si alishaikataa 😁😁😁😁😁
Watanzania wengi wanapata vile walivyokua hawapati maji, umeme, barabara, vivuko, shule bila ada. Sasa upinzani walitakiwa waje na vingine vinavyopendwa au vinavyohitajika.
Kampeni zinatakiwa kufanywa kwa kuzingatia vipaumbele vya chama wakizingatia utekelezwaji wake kuendana na uhitaji wa majimbo
Vinginevyo October itawakuta wakipangua hoja za CCM na hapo ndio watajua hawajui
 
Nilimsikia mgombea ubunge kupitia CCM shinyanga mjini akisema Lisu kapewa Tsh15b ajili ya kampeni ya uraisi na watu wa nje !

Yule bwana Robert Amsterdam wa ile kampuni ya uwakili yenye ofisi zake London na Washington ni wa gharama kubwa sana ! Aliwahi kuwa simamia akina bilionea Mikhail kordokhosky wa urusi na Thakshin Shinawatra wa Thailand (very high profile figures) . Kwa sasa ndio wakili wa Lisu, labda bwana Mwigulu ndio anapotilia shaka kua ni akina nani wako nyuma ya malipo yake.

Mmh ! Mi sijui bana.
Hii point ya mwigulu itawasumbua sana Chadema, vile tuu hawawajui wapiga kura wao
Watanzania huwa wanasikiliza halafu wanaamua wanachojua wenyewe😁😁
 
Miaka 60 afrika imeongozwa kijamaa na kidikteta mbona hakuna maendeleo,ccm bila presha ya upinzani hata choo haiwezi jenga
Kwani Ukoloni uliingia lini hapa Afrika? Kwa taarifa yako ustaarabu ulianzia Afrika pale Misri! Baadaye wakoloni walikuja na kuvamia na baada ya hapo ndiyo mambo ya kuitawala Afrika ikaanza mpaka wakafikia wazungu kuigawanya ndiyo mipaka ya nchi na nchi ilipoanza ili kuchukua resources zetu. Baada ya ukoloni wa enzi sasa wamekuja na ukoloni mambo leo kwa kisingizio cha demokrasi na kupandikiza wasaliti. Hii huwezi elewa mpaka ukae utulize akili kidogo! Hebu nieleze kwanini UK na Ulaya bado kuna uongozi wa kifalme/Kibikra? Lakini wakifanya Waafrika unaitwa Udikiteta?? Wameanza siku nyingi. Soma hapa chini labda utanielewa lakini ukiwa umeweka akili zako free.
IMG-20200509-WA0001.jpg
 
Kwani Ukoloni uliingia lini hapa Afrika? Kwa taarifa yako ustaarabu ulianzia Afrika pale Misri! Baadaye wakoloni walikuja na kuvamia na baada ya hapo ndiyo mambo ya kuitawala Afrika ikaanza mpaka wakafikia wazungu kuigawanya ndiyo mipaka ya nchi na nchi ilipoanza ili kuchukua resources zetu. Baada ya ukoloni wa enzi sasa wamekuja na ukoloni mambo leo kwa kisingizio cha demokrasi na kupandikiza wasaliti. Hii huwezi elewa mpaka ukae utulize akili kidogo! Hebu nieleze kwanini UK na Ulaya bado kuna uongozi wa kifalme/Kibikra? Lakini wakifanya Waafrika unaitwa Udikiteta?? Wameanza siku nyingi. Soma hapa chini labda utanielewa lakini ukiwa umeweka akili zako free.
View attachment 1555722
Nimeongea na hii😍
Walituweza wakati wa kina chief mangungo tukasoma tukasikitika baada ya kumaliza masomo na sisi tukageuka kina chief mangungo tukiwatetea kwa gharama kubwaaa
 
Kwani Ukoloni uliingia lini hapa Afrika? Kwa taarifa yako ustaarabu ulianzia Afrika pale Misri! Baadaye wakoloni walikuja na kuvamia na baada ya hapo ndiyo mambo ya kuitawala Afrika ikaanza mpaka wakafikia wazungu kuigawanya ndiyo mipaka ya nchi na nchi ilipoanza ili kuchukua resources zetu. Baada ya ukoloni wa enzi sasa wamekuja na ukoloni mambo leo kwa kisingizio cha demokrasi na kupandikiza wasaliti. Hii huwezi elewa mpaka ukae utulize akili kidogo! Hebu nieleze kwanini UK na Ulaya bado kuna uongozi wa kifalme/Kibikra? Lakini wakifanya Waafrika unaitwa Udikiteta?? Wameanza siku nyingi. Soma hapa chini labda utanielewa lakini ukiwa umeweka akili zako free.
View attachment 1555722
Huko Asia,brazili,Vietnam, Korea nk wao hawakutawaliwa au huo ukoloni mamboleo upo afrika pekee,mifumo mibovu ya uongozi afrika ndio chanzo cha kushindwa kwetu kuwalaumu waliondoka na begi tu kila kitu wameacha afrika ni ufukara wa kufikiri,kama tulikuwa na maendeleo kabla yao why tupo dhoofu hali kuliko hata kabla ya uhuru
 
Wajitokeze wampinge. Wote wakikaa kimya basi hoja itasimama
Pingeni Kwanza nyie, Kama
-hamjampiga Lissu risasi
-hamjamteka Mo, Roma na Ney wa mitego
-hawaua akina ben Saanane et al
Kesi kubwa kubwa na za mauaji, hakuna upelelezi, kukamatwa mtuhumiwa Wala kuongelewa kwenye kampeni zenu japo kujisafisha.
 
Huko Asia,brazili,Vietnam, Korea nk wao hawakutawaliwa au huo ukoloni mamboleo upo afrika pekee,mifumo mibovu ya uongozi afrika ndio chanzo cha kushindwa kwetu kuwalaumu waliondoka na begi tu kila kitu wameacha afrika ni ufukara wa kufikiri,kama tulikuwa na maendeleo kabla yao why tupo dhoofu hali kuliko hata kabla ya uhuru
Kama hujaelewa nilichoandika hapo juu pia huyo Mwingereza alichohutubia kwenye Bunge la Uingereza mwaka 1835! Basi nimeshindwa mimi tuendelee na siasa uchwara!!
 
Atutolee na mfano wa nchi iliyouzwa yani kwa sasa ni mali ya mtu binafsi au taifa flani.
 
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.

Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.

Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.
Je kuna ukweli wowote katika matamshi yake?
Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal

Karibuni wanajukwaa
Ukweli upo, maana mgombea wa Chadema anasema kila kitu anafanya kwa kifua cha mabeberu. Yaani anasema mabeberu wanamlinda.
 
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.

Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.

Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.
Je kuna ukweli wowote katika matamshi yake?
Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal

Karibuni wanajukwaa

Hivi Lissu alipopiga risasi ni nani alikuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi hicho?
Je huyo waziri alipewa advance payment kiasi gani ili kumwondoa Lissu?
 
Mwigulu Madilu ajue huko tuendako ana kesi ya kujibu labda afe leo. Tofauti yake na Makonda sio kubwa kihivyo.

Both of them are criminal masterminds.
 
Ujenzi wa taifa ni Sanaa ya kificho iliyowekwa wazi.

"Power is defined as one’s capacity to alter another person’s condition or state of mind by providing or withholding resources—such as food, money, knowledge, and affection—or administering punishments, such as physical harm, job termination, or social ostracism. This definition de-emphasizes how a person actually acts, and instead stresses the individual’s capacity to affect others"

Ukoloni umejificha nyuma ya hii nadharia ya Power.. na umesukwa vizuri Sana kwenye maisha tulioumbiwa na mara nyingi viashiria vyake huwawapita wasomi bila hata kujua kwamba wanasongesha gurudumu la Ukoloni.

NCHI HURU inajengwa na watu huru, wasiokuwa chini ya influence or pressure ya Aina yoyote kutoka nje ya kundi lao. Wanaamua na kuchagua na kufanya maamuzi kwa kuzingatia misimamo yao, shida zao na matakwa yao.

Walichoweza Wazungu (and I applaud them) ni kuumba mifumo endelevu. Kwanza wakaitawala Afrika kwa mabavu wakaset mifumo yao ya kielimu na kiuongozi.. ambayo inalenga kuwapa the upper hand in predicting the future and combating any harm that might arise.

Kisha wakaondoka wakituacha tumeng'ang'ania mifumo hii sisi wenyewe bila bakora(kwa utashi wa kuwa Kama wao). Leo hii Juma nenda shule uwe mtumishi wa Serikali.. uwe subject to the master maana majority ya Serikali zetu zipo heavily debted if not reliant to the "Masters" in so many ways.

Wakitokea viongozi wanaojaribu kudisturb hiyo balance wanakuwa vikwazo kwao.. na Kama Taifa mkiyumba watawaendesha Sana..na forms of punishments kama economic sanctions just to regain control.

Kwenye power there is nothing dangerous like people being true to their beliefs. "Somali and Arabs" most of these men and women do believe in something other than the ideologies of West.. they did not give up who they are for the new ways of the Masters.. and that TERRIFIES the west.

Huku kwetu we are trained puppies still working in what is perceived to be our country ( but we are still subjects to the colonial masters) feeding the Masters in Europe.

Corona saga and the way our Leader delt with it.. is very reassuring to mass of Tanzania.. Leo hii Watanzania wanajiamini Sana... Because for once they have made a choice that is totally theirs, now if we continue in same trajectory we will be truly independent.

Hata leo the same tricks used in 1800's za wamisionari (leo NGO's) na Explorers (leo Wanafunzi wa exchange program na Doctors without borders [emoji16]) kupewa Vioo (Misaada ya kifedha kwa watu directly hasa Prominent figures in NGOs wakiwemo wanasheria nguli) zinaendelea kustrengthen presence of European Masters in Africa.

Tuchague Kujiamini, Tuchague Uhuru na Tuchague Ukuu. Viva [emoji1241].

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mwigulu siku hizi haendi tena kwa mganga wake maana haeleweki kwa Tb Joshua Nigeria yupo kwa waganga yupo ndio maana amesubiria mwenzake afe ndio apate uteuzi. Hawa watu mambo yao wanayoyafanya yakiwekwa bayana hamtawatazama usoni
 
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.

Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.

Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.

Je, kuna ukweli wowote katika matamshi yake?

Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal

Karibuni wanajukwaa


Tatizo ni hadi utumbo una post huku. Jamaa alishafukuzwa uwaziri kwa uvivu sasa karudishwa kwasababu katokea Singida
 
Back
Top Bottom