Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Baadhi ya wagombea Urais na Ubunge wamekwishapewa advance ya kuuza nchi

Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Baadhi ya wagombea Urais na Ubunge wamekwishapewa advance ya kuuza nchi

Hii ndo awamu pekee tangu wakoloni hadi uhuru PHD zimeonekana ni takataka kulinganisha na la darasa la Saba.
 
Huyo anatafuta ubunge na uwaziri kwa Mbeleko ya upinzani na watu wengi wanapata ajira kwa kujionyesha wanachukia upinzani na kufanya hoja ya wapinzani kwamba watatoa ajira iwe imeanza kutekelezwa na CCM
 
Wewe sio mwanaCCM, acha kujipendekeza..[emoji23]
Mimi ni mwana-CCM kabisaa tena kindakindaki ila kuwa kwangu mwana-CCM hakunifanyi niwe 'MJUMBE NDIYO'.

Hii nchi ni ya kwetu sote regardless imani zetu za vyama. Kila mtu ana haki sawa na mwingine bila kujali chama chake na baada ya hapo, sisi ni ndugu kwanini siasa itutenganishe?

Naamini upinzani makini ndio chachu ya maendeleo ya kweli, bila upinzani wa kweli hatuwezi kuyafikia maendeleo ya kweli.

Napenda hoja zijibiwe kwa hoja kwa sababu sote (wana-CCM na Wapinzani) tuna lengo moja la kuleta mabadiliko chanya kwa waTanzania, hivyo basi; sioni sababu ya wanasiasa kuvunjiana heshima kwa namna yeyote ile, iwe kwa kuwazushia au kuwasingizia au namna nyingine iwayo.

Naamini ipo siku CCM itarudi katika mikono salama ambayo itajadili hoja na sio watu na itatumia nguvu ya hoja na sio hoja ya nguvu.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Nimesikia mtu anasema Urais ni kazi ngumu kweli, analalamika eti hiyo kazi anajitolea kweli
cha ajabu hataki kuiacha amewafukuza chama mpaka waliotaka kugombea nae huko ccm.... nimemkumbuka mtu mmoja anaitwa Chief Nanga kwenye kitabu cha “A Man of the people.”
 
Chadema pamoja na tuhama zenu zote za Kijinga mmewahi kuweka ushahidi hadharani ?
Hilo Limwigulu lenyewe mbona limeuza Iramba kwa Warombo kwao Ester? Jinga sana, resources zilizotakiwa kujenga Iramba kahamishia Rombo.
cc Asprin
 
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.

Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.

Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.

Je, kuna ukweli wowote katika matamshi yake?

Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal

Karibuni wanajukwaa
Kama anao tena ule ushahidi wa kutoa duniani na hata mbinguni aupeleke pia na TAKUKURUCCM
 
Nimesikia mtu anasema Urais ni kazi ngumu kweli, analalamika eti hiyo kazi anajitolea kweli
cha ajabu hataki kuiacha amewafukuza chama mpaka waliotaka kugombea nae huko ccm.... nimemkumbuka mtu mmoja anaitwa Chief Nanga kwenye kitabu cha “A Man of the people.”
Kwa watu walio soma vileee vitabu vya literature kuna mambo Yana reflect kabxaa mfano kwenye “An Enemy Of The People” Tundu Lissu anasimama kama Dr. Stockman pia kuna “His Excellency the Head of The State” Humu unamkuta Makonda na Magufuli By the way Literature is real
 
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.

Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.

Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.

Je, kuna ukweli wowote katika matamshi yake?

Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal

Karibuni wanajukwaa
Kama anao tena ule ushahidi wa kutoa duniani na hata mbinguni aupeleke pia na TAKUKURUCCM
 
Huyu kesi ya wasiojulikana ikianza lazima ajumuishwe.
 
Back
Top Bottom