Mwigulu Nchemba hakubaliki? Mbona kila Wizara anazodolewa?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Alipokuwa Wizara ya Mambo ya Ndani zilizuka taharuki. Miili kuokotwa fukweni baharini. Watu kupotea na kutoweka. Mpaka leo hajawahi kutoa majibu sahihi.

Sasa hivi amepewa mikoba Wizara ya Fedha. Kila kukicha analaumiwa, kabuni kodi za ajabu ajabu tu. Mara ukiongeza salio kodi, ukitumia mobile money kodi. Huyu jamaa hakubaliki au yeye ndio hana uwezo?
 
Ameamua kuweka siasa mbele badala ya taaluma yake kwenye kutekeleza majukumu. Kwa ufupi, kujitoa ufaham kwake sio tatizo kabisa.
 
Sijui anabebwa na nini uwezo wake ni SAwa na wa kingwangala tu
 
Next statement itakuwa "...sisi na wamarekani ni ndugu wa damu"

 
Mikono yake imejaa damu huyu mshamba,ana laana.
 
Huwa anajiona ni bora sana kuliko wengine.
Pia kujiamini kwa kila anachoongea huwa anahisi ni sahihi.
Jifunze alipokuwa lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…