Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... THEY'RE GIVING THE KICKS OF A DYNG HORSE!Tulieni dawa iingie wanakamati ya Legacy
😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... THEY'RE GIVING THE KICKS OF A DYNG HORSE!Tulieni dawa iingie wanakamati ya Legacy
Kama vile nakuona unavyogugumia kwa maumivumungu yupi?Mungu wa mbingu na dunia hawezi kumpa heshima mtu anayetesa wengine, mporaji na mtukanaji
Njia yao imejaa kiza na utelezi...Ndipo watajua hawajui...Wait and see, we are hear to stay!N
A Sasa hivi halifanyi kosa linakita mizizi ya miaka 100 ijayo
Ndicho kinqchowatafuna ninyi pushgang. Yule dikteta aliwapendelea pushgang mkaona wengine siyo watu. Kafieni mbele huko na huyo dikteta wenu ambaye sasa anacharazwa viboko kuzimu.dhambi ya ubaguzi haikuwahi kuwaacha wabaguzi salama...
Tell them it will never happen!Mkuu like genge la kutaka itawala nchi hii lililoanzishwa Mwaka 1995 bado lipo na sasa limegaij momentum😆😅
Mbona bado tunaendelea kupendelewa...Wewe upo wapi? Mie bado nipo high table na kula na kunywa kama kawa...Aise, kuna watu wanapata taabu sana...Maisha hayana stress ukiyajulia...iga ufe!Ndicho kinqchowatafuna ninyi pushgang. Yule dikteta aliwapendelea pushgang mkaona wengine siyo watu. Kafieni mbele huko na huyo dikteta wenu ambaye sasa anacharazwa viboko kuzimu.
Kama wamepita salama kwa mwendazake basi tena yule ndio alikua tishio kubwa Sasa watakua makini Sana na utambue hili kundi Lina kila aina ya mtuNjia yao imejaa kiza na utelezi...Ndipo watajua hawajui...Wait and see, we are hear to stay!
Usijitie uwoga ni wepesi kama karatasi...Wait and see!Kama wamepita salama kwa mwendazake basi tena yule ndio alikua tishio kubwa Sasa watakua makini Sana na utambue hili kundi Lina kila aina ya mtu
Ukisikia wahuni wasiasa ni hao ukiwatazama kwa juujuu unawaona Kama watu lainilaini lkn wanatumia vyema vichwa vyaoUsijitie uwoga ni wepesi kama karatasi...Wait and see!
Nakumbuka jpm alivyokua amemtema akawa anajikomba kumsifia jpm hadi mtu unaona kinyaa hadi jpm akamrudisha uwaziri. Tz ina breed ya ajabu ya wanasiasa. Kufa jpm tu tukasikia wengine wanaomba msamaha sababu wanazijua wenyewe. Magufuli apumzike kwa amani. Naamini ndio mwanasiasa pekee kuacha nyerere ametokea nchini sio mnafiki.Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
We hunifai tembea kule...Ukisikia wahuni wasiasa ni hao ukiwatazama kwa juujuu unawaona Kama watu lainilaini lkn wanatumia vyema vichwa vyao
Ni kweli kabisa!Wapambe nuksi wanamsababishia matatizo baba wa watu...Kwakweli shule ya uvumilivu inapaswa kusomwa kwake...And always smiling!
He has to draw a line na baadhi ya anaowafikiria ni watu wake...Ile kuwa diplomatic wanaitumia kwa advantage yao huku gharama akibeba yeye binafsi...
Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Walio high table hawapotezi muda jf hapa muda huu. Wewe ni mchovu fulani tu.Mbona bado tunaendelea kupendelewa...Wewe upo wapi? Mie bado nipo high table na kula na kunywa kama kawa...Aise, kuna watu wanapata taabu sana...Maisha hayana stress ukiyajulia...iga ufe!
Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya woote ni wachumia tumbo tu.Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
😅😅yule mzee huwa simskii akitajwa ktk marais wastaaf. sijui ana gundu ganiSorry, Mzee wa ruksa katutoka lini? Nipo Majimoto Musoma ndani ndani huku. Network shida na hakuna access ya habari muhimu za kitaifa.