Mwigulu Nchemba, hata kama Magufuli hayupo hai ulipaswa kumheshimu

Mwigulu Nchemba, hata kama Magufuli hayupo hai ulipaswa kumheshimu

Tulieni dawa iingie wanakamati ya Legacy
... THEY'RE GIVING THE KICKS OF A DYNG HORSE!
😅
1623357995060.png
 
dhambi ya ubaguzi haikuwahi kuwaacha wabaguzi salama...
Ndicho kinqchowatafuna ninyi pushgang. Yule dikteta aliwapendelea pushgang mkaona wengine siyo watu. Kafieni mbele huko na huyo dikteta wenu ambaye sasa anacharazwa viboko kuzimu.
 
Ndicho kinqchowatafuna ninyi pushgang. Yule dikteta aliwapendelea pushgang mkaona wengine siyo watu. Kafieni mbele huko na huyo dikteta wenu ambaye sasa anacharazwa viboko kuzimu.
Mbona bado tunaendelea kupendelewa...Wewe upo wapi? Mie bado nipo high table na kula na kunywa kama kawa...Aise, kuna watu wanapata taabu sana...Maisha hayana stress ukiyajulia...iga ufe!
 
Njia yao imejaa kiza na utelezi...Ndipo watajua hawajui...Wait and see, we are hear to stay!
Kama wamepita salama kwa mwendazake basi tena yule ndio alikua tishio kubwa Sasa watakua makini Sana na utambue hili kundi Lina kila aina ya mtu
 
Kama wamepita salama kwa mwendazake basi tena yule ndio alikua tishio kubwa Sasa watakua makini Sana na utambue hili kundi Lina kila aina ya mtu
Usijitie uwoga ni wepesi kama karatasi...Wait and see!

Tanzania ni nchi siyo NGO...Be assured kwa hilo...Usiwachukulie watanzania poa ki hivyo...Ni amini tu kama huamini atleast tunza maneno yangu haya!

Mwendazake was not God and please take that in your heart...There is God and He is alive...Ni makosa kumlinganisha Mungu na mwendazake hapo ndipo mlipobugi step...Tupo tumejaa tele kuilinda nchi yetu by hooks and crooks!
 
Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.

Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Nakumbuka jpm alivyokua amemtema akawa anajikomba kumsifia jpm hadi mtu unaona kinyaa hadi jpm akamrudisha uwaziri. Tz ina breed ya ajabu ya wanasiasa. Kufa jpm tu tukasikia wengine wanaomba msamaha sababu wanazijua wenyewe. Magufuli apumzike kwa amani. Naamini ndio mwanasiasa pekee kuacha nyerere ametokea nchini sio mnafiki.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unakikomba kwa JK sababu anataka kugombea urais 2035 , Sasa bila msaada wa JK hatofika mbali , JK anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma . Known to the republic .
 
Wapambe nuksi wanamsababishia matatizo baba wa watu...Kwakweli shule ya uvumilivu inapaswa kusomwa kwake...And always smiling!

He has to draw a line na baadhi ya anaowafikiria ni watu wake...Ile kuwa diplomatic wanaitumia kwa advantage yao huku gharama akibeba yeye binafsi...
Ni kweli kabisa!
 
Mbona bado tunaendelea kupendelewa...Wewe upo wapi? Mie bado nipo high table na kula na kunywa kama kawa...Aise, kuna watu wanapata taabu sana...Maisha hayana stress ukiyajulia...iga ufe!
Walio high table hawapotezi muda jf hapa muda huu. Wewe ni mchovu fulani tu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ukweli mchungu Magufuli amewafundisha akina Makonda, Sabaya, chalamila, Hapi n.k jinsi ya kuongoza
 
Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.

Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
JamiiForums1300823086.jpg
 
Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.

Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya woote ni wachumia tumbo tu.
 
Sorry, Mzee wa ruksa katutoka lini? Nipo Majimoto Musoma ndani ndani huku. Network shida na hakuna access ya habari muhimu za kitaifa.
😅😅yule mzee huwa simskii akitajwa ktk marais wastaaf. sijui ana gundu gani
 
Back
Top Bottom