Mwigulu Nchemba, hata kama Magufuli hayupo hai ulipaswa kumheshimu

Sijui Kalamaganda Kabugi atajipendekezaje mwaka huu.
Akumbuke yeye, Mwanri na shehe ubwabwa wa Dar walishawshi kumkweza mwendazake kuliko aliyewapa uhai.
Mwanri naona kosa limemsuta Hadi amejifunza uinjilisti.
 
Mimi binafsi nafarijika sana kuona haya yote yametokea - Karma ni hapa hapa duniani. Huyu ndugu tabasamu ndiye aliyetuletea Hayati Mwendazake, na hivyo kila aina ya maumivu ambayo taifa hili limeyapata katika kipindi cha awamu ya 5. Ndugu tabasamu alimfahamu vizuri sana mwendazake lakini hakujali madhara ambayo angesababishia taifa kwa vile yeye anakula na kulindwa na mafao ya urais. Mwendazake hadi alimpa zawadi ya kumfanya Mama Salma kuwa mbunge, na katika uchafuzi mkuu wa 2020 alihakikisha mtoto na mama wanaendelea kuwa bungeni. Sasa Mungu ni fundi - huyu ameenda zake na huyu pushgang limemvalia njuga. Karma, Karma, Karma.
 
Dah, em vuta picha haya maneno yangekua yanaongelewa kumhusu Baba yako,

Tuihurumie familia yake mazee.
Kweli aisee japo umekosea kidogo; sema 'babu yangu' mimi naona poa tu sasa wewe watu karibia wote familiani wana nafasi ya kula keki ya taifa unadhani wanaumia hapo?
 
Sasa
naweza kuwa unpopular minister of finance ila ni lazima mambo yaende.Nikipendwa na wapiga kura wangu na mashabiki wa Yanga inatosha" -@mwigulunchemba
Hivi ina Maana Petrol Ikipanda Bei kule Singida Haitapanda??? Au Watu wa Yanga watakua na Kadi Maalumu kununua petrol au Diesel kwa bei nafuu???


Mama Samia Nakushauri hii budget ya kuongeza hela kwenye mafuta ni janga kubwa...Hii inaenda kupandisha bei kila kitu na kuwa balaa kubwa...Usikubali hii....

HAWA WATU hawaaminiki watakuingiza chaka
 
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa
Kwani ulipoambiwa tunatazama picha lakini remote control ipo Msoga ulielewaje Mkuu
 
Kuna ile red card moja ilisababisha kifo cha yule mkurugenzi mmoja.

Kuna yale manyanyaso ya Makonda akifanya mikutano na waliokuwa chini yake.
 
Waache wachonge midomo hao.Wanamangamanga tu.
 
Tawilee!
 
Kimsingi alitakiwa ajikite zaidi kwenye suala la bajeti na mustakabali wake kwa ukuaji uchumi na maendeleo ya inch kwa ujumla. Kuingiza mambo mengine kama ulivyo eleza kumetia dosari taswira ya hotuba nzima ya bajeti.
 
Yaani hadi aibu. Ametumia muda mwingi kusifia tu. Kwa ubadhirifu wa pesa za umma uliyokuwa wizara yake sijui ndo alikuwa anajipendekeza apewe yellow card. Shame on you Mr. Minister.
Aaaargh, yaani mapambio yalianza mara baada ya Kipyenga cha mchezo kuwasahaulisha pesa iliyochotwa hazina, kulingana na maelezo ya PM wiki iliyopita... kaazi kwelikweli...
 
Nawaonya wote mnasema jk ni mshauri wa mama, ushauri upokelewa toka kokote na kwa watu unaowaamini, swala la kuufanyia kazi ndio lipo juu yake, hivyo si dhambi kuomba ushauri, ila mnatia chumvi mno na mnamfanya kama taasisi ya Urais haina majukumu wakati si kweli, najuwa lengo lenu sio zuri, pamoja na yote mnataka kuwagombanisha, bila sababu, acheni kauli hizi!
 
Reactions: Ame
Lakini si kamsifia na mwendazake.binafsi najua mwiguli anafit kwa nafasi,hizo zingine alikuwa anapiga vijembe kama yanga timu bora
 
Kikwete aliharibu sana nchi hii kuanzia 2005 na ndiyo maana effort zozote za kuinyoosha tena kurudi kwenye njia iliyoachwa na Mkapa zimekuwa ni ngumu kwa sababu raia walishapinda mno kwa kusihi kwa njia za mkatomkato tu. Kuinyoosha nchi iliyoachwa na kikwete kunahitaji nyundo nzito sana na pia nchi yenyewe ipashwe moto mkali kabla ya kuanza kunyooshwa; Magufuli alikuwa kaanza kidogo lakini sasa tunarudi kule kule pole pole
 
Anautamani sana urais na anajua Jk ana ushawishi kwenye vikao muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…