Mwigulu Nchemba, hii kodi ya 30% tunayokatwa kwenye gratuity wewe ndiye uliyeipitisha?

Mwigulu Nchemba, hii kodi ya 30% tunayokatwa kwenye gratuity wewe ndiye uliyeipitisha?

Changchun yatai

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
410
Reaction score
1,050
Mheshimiwa Dr. Mwigulu sisi wafanyakazi wa Shule ya sekondari St Margaret Maria Alakok hapa Igunga mkoa wa Tabora kila tumalizapo mikataba yetu tunapaswa kulipwa gratuity ambayo ni asilimia 10% ya mshahara kwa kila mwezi kwa kipindi chote cha mkataba wako, sasa cha ajabu ni kwamba hiyo pesa kwa mfano ulistahili kulipwa Tsh 3.000.000/= Mkuu wa Shule anakata Tsh 900,000/= akisema ni kodi ya serikali sasa ni serikali gani inayonikata kodi Mara mbili?

Kila mwezi nakatwa kodi na serikali kupitia mshahara wangu sasa kwa nini mwishoni serikali hiyo hiyo inikate tena kodi ya 30% katika pesa ile ile? ambayo kila mwezi anakata?

Tunaomba Msaada wako.
 
Uliosoma vizuri mkataba kwasababu hujauweka hapa ili tuweze kuona hiyo dhuluma
 
Uliosoma vizuri mkataba kwasababu hujauweka hapa ili tuweze kuona hiyo dhuluma
IMG_20230809_105935_3.jpg
 
Ninachodai ni hyo asilimia kumi ya mshahara kwa kila mwezi kwa miezi 60
 
Lakini hicho kiasi kinakatwa kodi asilimia 30 ndo swali tunalouliza ktk mikataba yetu hiyo asilimia haipo.
 
Huyo mpumbavu fungueni shauri mahakamani hizo pesa anakula yeye huyo mpuuzi
 
Back
Top Bottom