Waanze na sizonje na bashiteHabari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa.
Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo.
Japo kuwajibishwa kwa Waziri ni njia mojawapo ya kuonesha kujali.
Kuwa wa kwanza kufahamu mwana JF.
Nani kakuambia kuna uchunguzi wwHabari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa.
Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo.
Japo kuwajibishwa kwa Waziri ni njia mojawapo ya kuonesha kujali.
Kuwa wa kwanza kufahamu mwana JF.
Kwa nini siku hizi CCM inatumia nguvu ya Polisi na NEC? Hoja zimeisha?Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Bavicha ilihamia CCM.Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Shida yenu ni kuleta vyama kwenye mambo ya nchi .Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Mwigulu wanamtoa kafara tu ili ionekane wameguswa.Waanze na sizonje na bashite
Lengo ni kumtoa kafara mwigulu lakini naelewa mambo haya yataendelea. Yana baraka zote toka juu.Nani kakuambia kuna uchunguzi ww
Hivi wabongo hamjifunzi hata kwa matukio yaliyopita
ebu nitonye inboxShida yenu ni kuleta vyama kwenye mambo ya nchi .
Wewe ni Naibu waziri. Tulia ule nchi
Wanamtoa tu kafara mkuu. Ila mauaji yataendelea.hawezi, yeye ndio anaratibu!
halafu watanzania hawa wakiitwa wana.ufikiri mdogo wananuna mwigulu anatolewaje uwaziri kwa mfano.Nani kakuambia kuna uchunguzi ww
Hivi wabongo hamjifunzi hata kwa matukio yaliyopita