Mwigulu Nchemba: "Napendekeza kupunguza adhabu kwa makosa ya pikipiki na bajaji lengo ni kuweka adhabu kwa kuzingatia uwezo wa kulipa"

Facts
 
Adhabu si lazima iwe pesa, awareness ya sheria za usalama barabarani inaweza kusaidia katika kupunguza ajali za hapa na pale. 92% ya wamiliki wa bodaboda na bajaj ni low income earners.
 
Ubovu wa gari ni kosa moja mambk ya kuchanganua ubovu wa gari kuwa makosa mengi haipo kwenye makosa ila wanatumia mwanya tuu kuwaumiza wananchi ili malengo yao yafike enzi zile za malengo...
 
Bei ya vitz na bei ya Bajaj ni sawa?
 
Chadema walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.
 
Mimi siungi mkono kupunguza fine ilifaa ipandishwe hakuna watu wanavurugu barabarani kama hawa Boda Boda ni washenzi sana . Boda Boda alinivunjia taa ya gari yangu kisha akakimbia tena kwny Trafick light .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…