Mwigulu Nchemba: Serikali kuanzisha akiba ya dhahabu nchini

Mwigulu Nchemba: Serikali kuanzisha akiba ya dhahabu nchini

Swali langu:
1. Hadi sasa hatuna akiba ya GOLD?
2. TANZANITE iliyonunuliwa na JPM ipo au imeuzwa?
Hili li nchi ukipata fursa ya kupiga we piga kwa sababu UZALENDO KWA SASA UNATAFSIRIKA KAMA NI UFUKALA
 
Swali kuu kutoka nchini Ghana kuhusu utaratibu wa kununua dhahabu na nani anamilki migodi je serikali itajikita kununua toka kwa wachimbaji wadogo kwa bei ya kimataifa?

MJADALA WA BIASHARA YA DHAHABU KWA MAFUTA WAPAMBA MOTO NCHINI 🇬🇭

Mjumbe wa kamati ya migodi na nishati ya Bunge nchini Ghana, Dr. Kwabena Donkor amesema hizi ni sarakasi zinazochezwa na serikali ambazo ni kiini macho kwani haziwezi kutekelezeka.

Kujaribu biashara ya mali-kwa-mali (barter trade) ya kubadilisha dhahabu kwa mafuta ya petroli / dizeli kimataifa ni dalili ya serikali kushindwa kusimamia uchumi anasisitiza mbunge na mjumbe huyo wa kamati ya bunge Dr. Kwabena Donkor ambaye aliwahi kufanya kazi ktk sekta ya petroli.


Dr. Kwabena Donkor akishiriki ndani ya mjadala exclusive wa kituo cha JoyNews amekwenda ndani zaidi kwa kuhoji ni nani anayemiliki migodi hiyo, na inajulikana ni makampuni makubwa ya kigeni hivyo watawalipa nini wenye migodi je ni kwa pesa za madafu yaani sarafu ya cedis ya Ghana au dollars za Kimarekani ambazo serikali ya Ghana haina fedha hizo za kigeni.

Anaongeza hoja Dr. Kwabena Donkor, pia kama serikali italenga kununua kwa wachimbaji wadogo wadogo itaweza kushindana na bei ya dhahabu ya soko la dunia? Maana itapelekea wachimbaji hao wadogo kutorosha dhahabu kupitia njia za panya za mipakani.

Hii ni kutokana na serikali itashindwa kuwalipa bei nzuri wachimbaji wadogo au kuwalipa kwa dollar za marekani wachimbaji wadogo kulingana na bei ya soko la dunia kwani serikali haina hifadhi ya kutosha ya fedha za kigeni.

Kimsingi katika mada hii moto ya kituo cha TV JoyNews pia mtendaji mkuu (CEO) wa chemba ya migodi ya Ghana, Dr. Sulemanu Koney naye ktk mahojiano ametoa kauli juu ya changamoto ya jinsi ya uhalisia wa uwezekano wa sera hiyo mpya ya biashara ya mali-kwa-mali kuweza kutekelezeka, kwani kuna mengi ya kuyafanya kabla ya sera hiyo kuweza kutekelezeka ingawa chemba hiyo milango yake ipo wazi kwa majadiliano na serikali ya Ghana.
Source : JoyNews
Serikali itanunua kwa wachimbaji wadogo kwa Tsh. Nafikiri inapaswa kuwa na refinery yake. Mpango mzuri shida ni ufisadi
 
Waziri Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali imekamilisha taratibu za kununua dhahabu kupitia Benki Kuu ya Tanzania kwa ajili ya kuanzisha akiba ya dhahabu hapa nchini.

Pia soma Tanzania tuhifadhi akiba yetu kwa Dhahabu badala ya Dollar

“Kutokana na kukamilika kwa ujenzi wa viwanda vya kusafishia dhahabu, Serikali itaendelea kuweka vivutio kwa viwanda hivyo ili vipate malighafi ya kutosha na ili kukamilisha hilo Serikali imepunguza mrahaba wa madini yanayouzwa kwenye viwanda hivyo kutoka 6% hadi 4%”

“Nafurahi kulijulisha Bunge kuwa Serikali Serikali imekamilisha taratibu za kununua Dhahabu kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa ajili ya kuanzisha akiba ya dhahabu hapa nchini (Gold Reserve)"

“Tunataka tunapotaja akiba ta fedha za kigeni tutaje na akiba ya dhahabu tuliyonayo, hatua hii itawapatia Wachimbaji bei nzuri na kuimarisha sarafu ya Nchi yetu, hii ni baada ya kupokea maelekezo ya Mh.Dkt. Samia na michango ya Waheshimiwa Wabunge”
Issue ya kutunza na kuwa na akina ya dhahabu imeanza kuzungumzwa tangu mwaka 2013,alafu useme CCM italetea watu maendeleo never.Akili za waziri kilaza.
 
Sasa wachimbaji watakula wapi

Alafu ni ngumu, itahitaji usimamizi mkubwa apo ndo watapiga sana
Unafahamu kwamba kuna migodi ya dhahabu Nyerere alivyofukuza wazungu aliweka kambi za wanajeshi waikalie?
 
Kwa mujibu wa mwingulu, bot itaanza kununua DHAHABU na kuziweka kama akiba, ikumbukwe kwamba kwa mataifa mengine , ni jambo lililoanza zamani. Hata hivyo kwa Tanzania wazo lilitolewa na JPM ambapo alianza kwa kuanzisha maduka ya DHAHABU.
Kwahiyo yale maduka ya dhahabu yakiyoanzishwa ni kwa ajili ya serikali kununua dhahabu?
Kwa maana hiyo unataka kusema kuwa Tanzania hakuna dhahabu zilizotunzwa na serikali?
Sijui waTanzania tumekuwaje
 
Huu utaratibu wa BOT kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo ulikuwepo hapo zamani kukosa uaminifu kwa ngozi nyeusi ikapelekea hasara kubwa kwa serikali maana wafanyabiashara wakishirikiana na wafanyakazi serikalini/bot waliuza dhahabu feki na kulipwa mamilioni ya pesa. Sina hakika kama wameweka utaratibu sawia kufanikisha lakini kupitia maduka ya madini yaliyopo maeneo mbalimbali nafikiri itawezekana ingawa swali ni kwamba huo uaminifu utakuwepo au umerudi lini kwetu ikiwa watu wanaweza kufisadi pesa zinazotunzwa BOT sembuse dhahabu?​
 
Swali kuu kutoka nchini Ghana kuhusu utaratibu wa kununua dhahabu na nani anamilki migodi je serikali itajikita kununua toka kwa wachimbaji wadogo kwa bei ya kimataifa?

MJADALA WA BIASHARA YA DHAHABU KWA MAFUTA WAPAMBA MOTO NCHINI 🇬🇭

Mjumbe wa kamati ya migodi na nishati ya Bunge nchini Ghana, Dr. Kwabena Donkor amesema hizi ni sarakasi zinazochezwa na serikali ambazo ni kiini macho kwani haziwezi kutekelezeka.

Kujaribu biashara ya mali-kwa-mali (barter trade) ya kubadilisha dhahabu kwa mafuta ya petroli / dizeli kimataifa ni dalili ya serikali kushindwa kusimamia uchumi anasisitiza mbunge na mjumbe huyo wa kamati ya bunge Dr. Kwabena Donkor ambaye aliwahi kufanya kazi ktk sekta ya petroli.


Dr. Kwabena Donkor akishiriki ndani ya mjadala exclusive wa kituo cha JoyNews amekwenda ndani zaidi kwa kuhoji ni nani anayemiliki migodi hiyo, na inajulikana ni makampuni makubwa ya kigeni hivyo watawalipa nini wenye migodi je ni kwa pesa za madafu yaani sarafu ya cedis ya Ghana au dollars za Kimarekani ambazo serikali ya Ghana haina fedha hizo za kigeni.

Anaongeza hoja Dr. Kwabena Donkor, pia kama serikali italenga kununua kwa wachimbaji wadogo wadogo itaweza kushindana na bei ya dhahabu ya soko la dunia? Maana itapelekea wachimbaji hao wadogo kutorosha dhahabu kupitia njia za panya za mipakani.

Hii ni kutokana na serikali itashindwa kuwalipa bei nzuri wachimbaji wadogo au kuwalipa kwa dollar za marekani wachimbaji wadogo kulingana na bei ya soko la dunia kwani serikali haina hifadhi ya kutosha ya fedha za kigeni.

Kimsingi katika mada hii moto ya kituo cha TV JoyNews pia mtendaji mkuu (CEO) wa chemba ya migodi ya Ghana, Dr. Sulemanu Koney naye ktk mahojiano ametoa kauli juu ya changamoto ya jinsi ya uhalisia wa uwezekano wa sera hiyo mpya ya biashara ya mali-kwa-mali kuweza kutekelezeka, kwani kuna mengi ya kuyafanya kabla ya sera hiyo kuweza kutekelezeka ingawa chemba hiyo milango yake ipo wazi kwa majadiliano na serikali ya Ghana.
Source : JoyNews

Mikataba ya Tanzania kulinda kampuni kubwa za uchimbaji madini ya dhahabu ni kizingiti kigumu. Je ikiamua kununua kutoka kwa wachimbaji wadogo raia wa kiTanzania itachukua serikali miaka mingapi kufikia akiba kubwa himilifu ya kutosha ?

Accra, Ghana

Introduction of policy exposing government's desperation. - Dr Kwabena Donkor


Source: Joy News TV
 
Mambo yote haya yalishafanywa huko nyuma swali ni moja je kwa sasa sisi ni waadilifu? Maana tatizo kubwa kwa nchi hii ni ukosefu wa uadilifu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Akiba ya dhahabu imekuwepo tangu tunapata uhuru 1961 chini ya Mwalimu Nyerere. Wakati wa Rais Mwinyi Augustine Lyatonga Mrema akiwa waziri ya Mambo ya Ndani alianzisha kampeni ya benki kuu kununua dhahabu moja kwa moja toka kwa wachimbaji wadogo hivyo matawi ya benki ya NBC yalinunua dhahabu kwa niaba ya benki kuu.

Kwa hiyo siyo wazo jipya bali tujiulize dhahabu ile iliyokuwepo ilienda wapi? Nani alifisidi dhahabu ile?
BOT nao walinunua moja kwa moja nakumbuka mjomba angu alipotoka huko machimbo Msumbiji tulienda kuuza BOT kule forest ya Zamani Mbeya alichukua cash yake tukaondoka...
 
Ila nimeshangaa sana hii nchi ilikua haina gold reserve miaka yote hiyo? Aisee CCM ni zaidi ya mashetani
Walioingia juzi humu jamii forum hawawezi kujua kwamba hizo anazoongea Mwigulu ni ngonjela tu tumezizoea,nchi ina dhahabu ina Almas alafu haina reserve AJABU sana na mbaya zaidi wapumbavu wanadhani tunaongozwa na wenye akili kumbu vilaza WATUPU.ss tulishajua muda kwamba tunaongozwa na vichaa tu kama akina Mwigulu ambaye hajawahi success ktk wizara yoyote aliyopewa eti ana PHD nadhani ni ya uganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom