Mwigulu Nchemba: Serikali kuanzisha akiba ya dhahabu nchini

Mwigulu Nchemba: Serikali kuanzisha akiba ya dhahabu nchini

Kwa mujibu wa mwingulu, bot itaanza kununua DHAHABU na kuziweka kama akiba, ikumbukwe kwamba kwa mataifa mengine , ni jambo lililoanza zamani. Hata hivyo kwa Tanzania wazo lilitolewa na JPM ambapo alianza kwa kuanzisha maduka ya DHAHABU.
Labda, kwenye store za dhahabu wataweka malaika maana unaweza kununua dhahabu nzuri alafu baada ya mwezi moja ukienda kukagua dhahabu zile store unakuta zilizoko ni feki. Yani hili jambo hili linahitaji umakini wa kina.
 
1 July 2023

Under the new deal announced on Friday, Botswana gets a bigger share of rough stones from their joint venture, Debswana.

Botswana and mining company De Beers have announced a new diamond sales deal.
1691240371462.png

The new deal, concluded on Friday, gives Botswana a bigger share of rough stones from their joint venture.

Debswana, a joint venture between Anglo American unit De Beers and Botswana's government, sells 75% of its output to De Beers, with the balance taken up by state-owned Okavango Diamond Co.

The new agreement covers a 10-year sales deal for Debswana rough diamond production through to 2033 and 25-year Debswana mining licences.

In the run-up to Friday's deal, Botswana President Mokgweetsi Masisi, who is expected to seek re-election next year, had pushed De Beers for a bigger share of Debswana's output.

In March, Botswana announced it would take a 24% stake in Belgian gem processing firm HB Antwerp in a move seen as designed to loosen De Beers' grip on the country's gems.

Botswana supplies 70% of De Beers' rough diamonds
 
Nchi ya Botswana imepata jibu kuwa mfano Tanzania mkataba wa mgodi na mwekezaji wagawane vitofali vya dhahabu na serikali badala ya kusubiri faida ya kwenye balance sheet.

Mgawanyo wa vitofali au almasi au tanzanite inaipa uhuru Tanzania kuhifadhi kitu halisi na kukiuza kwa thamani ya uhakika bila makando kando ya kusubiri mwekezaji asafirishe madini yote nje na mwisho wa siku akuambie faida ni ndogo kama ripoti yake ya katika mahesabu ya mwaka yanavyoonesha .

1 July 2023
Gaborone, Botswana,

Botswana na De Beers Zasaini Mkataba wa Kuendeleza Ushirikiano Tajiri wa Almasi

Chini ya makubaliano mapya ya uchimbaji madini, Botswana itapata mara moja asilimia 30 ya mawe machafu yaliyochimbwa, kutoka asilimia 25, na itapanda hadi asilimia 50 ndani ya muongo mmoja, De Beers na maafisa wa serikali walisema.

Afisa wa serikali ya Botswana na mtendaji mkuu wa De Beers, muungano wa kimataifa wa almasi, walitia saini mikataba ya muda siku ya Jumamosi ili kuendeleza ubia wenye faida, wa miongo kadhaa wa uchimbaji madini ya almasi ambao ulionekana kuvunjika katika miezi ya hivi karibuni.

Dakika chache kabla ya tarehe ya mwisho ya usiku wa manane siku ya Ijumaa, pande zote zilitangaza kwamba baada ya mazungumzo ya miaka mingi, walikuwa wamekubaliana kimsingi juu ya mpango wa kuunda upya ushirikiano ambao unaipatia De Beers sehemu kubwa ya almasi yake na serikali ya Botswana sehemu kubwa zaidi ya mapato yake.

Maelezo ya mpango huo bado yanashughulikiwa, maafisa wa serikali na De Beers walisema. Lakini inashughulikia moja ya matatizo makubwa ya serikali ya Botswana, kuhusu mgao wa almasi ambayo inapokea katika ubia wake wa uchimbaji madini na De Beers.

Chini ya makubaliano ya zamani, Botswana ilipokea asilimia 25 ya mawe machafu yaliyochimbwa, huku De Beers ilichukua mengine. Sasa, Botswana itapata mgao wa asilimia 30 mara moja, na hiyo itapanda hadi asilimia 50 ndani ya muongo mmoja, De Beers na maafisa wa serikali walisema.

De Beers alisema katika taarifa yake kwamba imekubali kuwekeza kiasi cha dola milioni 825 katika kipindi cha miaka 10 ijayo kusaidia kuendeleza uchumi wa Botswana. Makubaliano hayo pia yanajumuisha kuanzisha chuo nchini Botswana ambacho kitafundisha wenyeji ujuzi katika biashara ya almasi, maafisa wa serikali walisema

Source : The New York Times
Mpango mzuri. Jamaa huwa wanakuza gharama za uendeshaji ili baadaye faida ionekane ndogo na wewe wanakupa gawio kiduchu. Mkilipana mawe watajitahidi kubana hayo matumizi feki. Maana itakula kwao.

Na sisi tuanze kuchukua percent ya mawe kwa wachimba vito wote.
 
kuchukua percent ya mawe kwa wachimba vito wote.

Hili linatakiwa kuanzishwa mara moja katika mikataba yote na vitofali, vito, almasi, nickel, helium, magogo, gesi, mafuta, kilimo cha mashamba makubwa ya wawekezaji na petrol ni mgao wa mali kwa mali badala ya tarakimu za kwenye balance sheet ambazo kuna makandokando mengi.


Na mgawanyo uwe unakwenda serikali kuu, halmashauri ambapo mgodi upo ili maendeleo yaweze kupatikana mfano barabara, hospitali, shule, maji Geita Tanzania n.k
 
Na hiyo ndo lilikuwa wazo last JPM navona mnanza kumwelewa sasa
Sasa kwani kuna ubaya yeye na Samia si walikuwa wanaongoza serikali moja na sasa hayupo ila mama ndio raisi tena mwema kabisa anaendeleza yale mazuri na kuongezea na yake mazuri na pia ni vizuri kukumbushia yaani wote ni win win tu
 
Swali kuu kutoka nchini Ghana kuhusu utaratibu wa kununua dhahabu na nani anamilki migodi je serikali itajikita kununua toka kwa wachimbaji wadogo kwa bei ya kimataifa?

MJADALA WA BIASHARA YA DHAHABU KWA MAFUTA WAPAMBA MOTO NCHINI 🇬🇭

Mjumbe wa kamati ya migodi na nishati ya Bunge nchini Ghana, Dr. Kwabena Donkor amesema hizi ni sarakasi zinazochezwa na serikali ambazo ni kiini macho kwani haziwezi kutekelezeka.

Kujaribu biashara ya mali-kwa-mali (barter trade) ya kubadilisha dhahabu kwa mafuta ya petroli / dizeli kimataifa ni dalili ya serikali kushindwa kusimamia uchumi anasisitiza mbunge na mjumbe huyo wa kamati ya bunge Dr. Kwabena Donkor ambaye aliwahi kufanya kazi ktk sekta ya petroli.


Dr. Kwabena Donkor akishiriki ndani ya mjadala exclusive wa kituo cha JoyNews amekwenda ndani zaidi kwa kuhoji ni nani anayemiliki migodi hiyo, na inajulikana ni makampuni makubwa ya kigeni hivyo watawalipa nini wenye migodi je ni kwa pesa za madafu yaani sarafu ya cedis ya Ghana au dollars za Kimarekani ambazo serikali ya Ghana haina fedha hizo za kigeni.

Anaongeza hoja Dr. Kwabena Donkor, pia kama serikali italenga kununua kwa wachimbaji wadogo wadogo itaweza kushindana na bei ya dhahabu ya soko la dunia? Maana itapelekea wachimbaji hao wadogo kutorosha dhahabu kupitia njia za panya za mipakani.

Hii ni kutokana na serikali itashindwa kuwalipa bei nzuri wachimbaji wadogo au kuwalipa kwa dollar za marekani wachimbaji wadogo kulingana na bei ya soko la dunia kwani serikali haina hifadhi ya kutosha ya fedha za kigeni.

Kimsingi katika mada hii moto ya kituo cha TV JoyNews pia mtendaji mkuu (CEO) wa chemba ya migodi ya Ghana, Dr. Sulemanu Koney naye ktk mahojiano ametoa kauli juu ya changamoto ya jinsi ya uhalisia wa uwezekano wa sera hiyo mpya ya biashara ya mali-kwa-mali kuweza kutekelezeka, kwani kuna mengi ya kuyafanya kabla ya sera hiyo kuweza kutekelezeka ingawa chemba hiyo milango yake ipo wazi kwa majadiliano na serikali ya Ghana.
Source : JoyNews

28 November 2022
Accra, Ghana

Probing Ghana's Gold For Oil Barter Deal - The Probe with Emefa Apawu



Ghana has a total gold reserve of 8.7 tonnes according to the central Bank of Ghana latest report , GTG Government to Government arrangements with UAE govt for gold for oil option.. is on the table for discussions..

To explain how this move will work, JoyNews invites Dr. Mohammed Amin Adam deputy energy minister, Dr. Kwabena Donkor member - mines and energy Committee of Parliament and Dr. Sulemanu Koney CEO of Ghana chamber of mines ... and behind the scene government is engaging stake holders in oil industry .... is there enough gold reserve and does the sellers of oil in the international market ...
Source : Joy News
 
Swali kuu kutoka nchini Ghana kuhusu utaratibu wa kununua dhahabu na nani anamilki migodi je serikali itajikita kununua toka kwa wachimbaji wadogo kwa bei ya kimataifa?

JIBU LA KUWEZESHA NCHI KUWA NA AKIBA YA DHAHABU, MADINI NA VITO LAPATIKANA

1 July 2023
Gaborone, Botswana

1691244031523.png


Nchi ya Botswana imepata jibu kuwa mfano Tanzania mkataba wa mgodi na mwekezaji wagawane vitofali vya dhahabu na serikali badala ya kusubiri faida ya kwenye balance sheet.

Mgawanyo wa vitofali au almasi au tanzanite inaipa uhuru Tanzania kuhifadhi kitu halisi na kukiuza kwa thamani ya uhakika bila makando kando ya kusubiri mwekezaji asafirishe madini yote nje na mwisho wa siku akuambie faida ni ndogo kama ripoti yake ya katika mahesabu ya mwaka yanavyoonesha .

1 July 2023
Gaborone, Botswana,

Botswana na De Beers Zasaini Mkataba wa Kuendeleza Ushirikiano Tajiri wa Almasi

Chini ya makubaliano mapya ya uchimbaji madini, Botswana itapata mara moja asilimia 30 ya mawe machafu yaliyochimbwa, kutoka asilimia 25, na itapanda hadi asilimia 50 ndani ya muongo mmoja, De Beers na maafisa wa serikali walisema.

Afisa wa serikali ya Botswana na mtendaji mkuu wa De Beers, muungano wa kimataifa wa almasi, walitia saini mikataba ya muda siku ya Jumamosi ili kuendeleza ubia wenye faida, wa miongo kadhaa wa uchimbaji madini ya almasi ambao ulionekana kuvunjika katika miezi ya hivi karibuni.

Dakika chache kabla ya tarehe ya mwisho ya usiku wa manane siku ya Ijumaa, pande zote zilitangaza kwamba baada ya mazungumzo ya miaka mingi, walikuwa wamekubaliana kimsingi juu ya mpango wa kuunda upya ushirikiano ambao unaipatia De Beers sehemu kubwa ya almasi yake na serikali ya Botswana sehemu kubwa zaidi ya mapato yake.

Maelezo ya mpango huo bado yanashughulikiwa, maafisa wa serikali na De Beers walisema. Lakini inashughulikia moja ya matatizo makubwa ya serikali ya Botswana, kuhusu mgao wa almasi ambayo inapokea katika ubia wake wa uchimbaji madini na De Beers.

Chini ya makubaliano ya zamani, Botswana ilipokea asilimia 25 ya mawe machafu yaliyochimbwa, huku De Beers ilichukua mengine. Sasa, Botswana itapata mgao wa asilimia 30 mara moja, na hiyo itapanda hadi asilimia 50 ndani ya muongo mmoja, De Beers na maafisa wa serikali walisema.

De Beers alisema katika taarifa yake kwamba imekubali kuwekeza kiasi cha dola milioni 825 katika kipindi cha miaka 10 ijayo kusaidia kuendeleza uchumi wa Botswana. Makubaliano hayo pia yanajumuisha kuanzisha chuo nchini Botswana ambacho kitafundisha wenyeji ujuzi katika biashara ya almasi, maafisa wa serikali walisema

Source : The New York Times
 
Wosia kwa Mwigulu

Kukosa uhakika ni, kweli, na ndiyo kesho yako . Nani anajua nini kitatokea? Lakini kutokuwa na uhakika pia ni wakati uliopita? nani anajua kilichotokea - Antonio Machado
 
Akiba ya madini ya chuma Tanzania itasaidia sekta ya ujenzi, reli, viwanda nchini kuacha kuagiza bidhaa za mazao ya chuma cha pua steel n.k hivyo kuondokana kutumia dollar kuagiza steel

Zimbabwe wameweza kuazia mgodi mkubwa kabisa wa chuma barani Afrika



Ni kama mzinga wa nyuki wengi wakiwa na shughuli ya kuzalisha asali, katika eneo la kitovu cha ujenzi wa kiwanda cha chuma cha Manhize nchini Zimbabwe. Mradi huo umekamilika nusu kulingana na kampuni ya ujenzi ya Dinson Iron and Steel Company.

"Ujenzi wa kiwanda cha chuma cha Manhize umekamilika kwa asilimia 50 kutokana na bidii, weledi- ujuzi, kujitolea na umoja wa kitimu wa wafanyakazi unavyofanya tekeleza majukumu ," kampuni hiyo ilitweet mapema mwezi huu.

Ni mradi muhimu kwa mipango ya uwekezaji ya Rais wa Zimbabwe mheshimiwa, Emmerson Mnangagwa chini ya uongozi wake ambao umefungua nchi kwa kauli mbiu ya biashara.

ikiwa na kiwanda cha kaboni na chuma chenye urefu wa kilomita 1.5 kwa 600, mgodi wa madini ya chuma, na kiwanda cha ferrochrome, mradi huo utakuwa na uwezo wa kuzalisha tani milioni 1.2 kwa mwaka na takriban watu 500 wanatazamiwa kunufaika kupitia ajira.

Mradi huo, ambao utakuwa kiwanda kikubwa zaidi cha chuma kilichounganishwa barani Afrika, unatarajiwa kuanza uzalishaji mwezi Agosti mwaka huu 2023

Eneo hilo pia liko karibu na Chikomba katika Mkoa wa Mashonaland Mashariki na Mhondoro katika Jimbo la Mashonaland Magharibi.

Kiwanda hicho ambacho pia kitakuja na mji mpya, kimeibua msisimko mkubwa katika eneo la Chikomba huku jamii ya eneo hilo ikitarajia kupata faida za kutengeneza ajira na upatikanaji wa huduma za kijamii.

Manhize, soon to be biggest iron and steel plant in Africa


It is a beehive of activity at Manhize steel plant construction site in Zimbabwe. The project is halfway complete according to construction firm Dinson Iron and Steel Company.

“Manhize steel plant construction is 50 percent complete due to the diligence, skills, commitment and unity of our working family,” the company tweeted early this month.

It is a key project for President Emmerson Mnangagwa’s investment programmes under his Zimbabwe is open for business mantra.

Equipped with a 1.5km-by-600-metre carbon and steel plant, an iron ore mine, and a ferrochrome plant, the project will have the capacity of 1.2 million tonnes a year and about 500 people are set to benefit through employment.

The project, which will be Africa’s largest integrated steel plant, is anticipated to start production in August this year

The area is also near Chikomba in Mashonaland East Province and Mhondoro in Mashonaland West Province.

The plant, which will also come with a new town, has generated a lot of excitement in Chikomba as the local community expects to reap the benefits of job creation and availability of social services

 
Wosia kwa Mwigulu

Kukosa uhakika ni, kweli, na ndiyo kesho yako . Nani anajua nini kitatokea? Lakini kutokuwa na uhakika pia ni wakati uliopita? nani anajua kilichotokea - Antonio Machado

Geita inazalisha dhahabu ya trillioni ya shilingi za kitanzania katika migodi mikubwa ya Geita

 
08 August 2023
Nyarugusu, Tanzania

Operasheni +255 Nyarugusu wachimbaji wadogo wa Dhahabu wafikisha kero zao kwa CHADEMA

 
Dhahabu ya kiasi cha US$ Bilioni Moja mwaka jana 2021/2022 zilipatikana



Kijiji cha Mtakuja kilichovunjwa kupisha mwekezaji Geita kimeuza dhahabu ya kiasi cha dola za marekani bilioni moja hivyo nchi haikutakiwa kuwa na upungufu wa .... na toka mwaka 2000 ni wastani wa kiasi hicho hicho cha mwaka 2021 / 2022 kinapatikana. Sasa dhahabu hiyo na madolari ya kimarekani au matofali ya dhahabu kinaenda wapi anahoji makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu ..
 
Waziri Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali imekamilisha taratibu za kununua dhahabu kupitia Benki Kuu ya Tanzania kwa ajili ya kuanzisha akiba ya dhahabu hapa nchini.

Pia soma Tanzania tuhifadhi akiba yetu kwa Dhahabu badala ya Dollar

“Kutokana na kukamilika kwa ujenzi wa viwanda vya kusafishia dhahabu, Serikali itaendelea kuweka vivutio kwa viwanda hivyo ili vipate malighafi ya kutosha na ili kukamilisha hilo Serikali imepunguza mrahaba wa madini yanayouzwa kwenye viwanda hivyo kutoka 6% hadi 4%”

“Nafurahi kulijulisha Bunge kuwa Serikali Serikali imekamilisha taratibu za kununua Dhahabu kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa ajili ya kuanzisha akiba ya dhahabu hapa nchini (Gold Reserve)"

“Tunataka tunapotaja akiba ta fedha za kigeni tutaje na akiba ya dhahabu tuliyonayo, hatua hii itawapatia Wachimbaji bei nzuri na kuimarisha sarafu ya Nchi yetu, hii ni baada ya kupokea maelekezo ya Mh.Dkt. Samia na michango ya Waheshimiwa Wabunge”
Sitaki kuponda. Ila ukweli tumechelewa sana. Na hatujuwi tuna dhahabu kiasi gani mpaka Sasa...
 
Back
Top Bottom