Hahaha.. Ashtakiwe kwa kuchafua mazingira
ha ha ha ha ... kweli mwaka huu mtamu...
.....ayafute aandike UKAWA kwa gharama zake !!!
Tena mengine yameandikwa kwa mkaa.........akafute haraka...........
Huku mtwara kwenye madaraja rais wetu mwigulu kha
Kiboko yake Makongoro. Mtu tumekuonjesha tu unaibu Katibu Mkuu na ww unajidai!
Ww ni nani? Ha ha ha Makongoro bhana nomaaa
Tena maeneo mengine ya huku kwetu chalinze yameandikwa kwa ma..vi.