Mwigulu Nchemba, tafadhali kafute mabango yako barabarani!

Mwigulu Nchemba, tafadhali kafute mabango yako barabarani!

Yaani ni shiiida mtwara mjini, masasi, lindi, kilwa kote kaandika, plz njoo ufute haraka iwezekanavyo
 
Wapo wana DIASPORA walimuunga mkono Lameck Nchemba Mwigulu, sijui wamepotelea wapi...itafaa sana kama watakuwa waungwana waje wamsaidie katika hiyo kazi. Naambiwa wapo waliochanga mamilioni kuhakikisha anapitishwa, natoa hoja hayo mamilioni yatumike kuondoa huo uchafu kwenye kuta za majengo, madaraja na nguzo za barabarani. Napendekeza wakimaliza hiyo kazi wajaribu kumsafisha na mtu mwenyewe hata ikibidi kutumia jiki...natania tu!
 
Mpumbavu huyo
Cjui nani alimdanganya
Na ni wakushika na kupiga viboko hawez kutuchafulia Nchi kwa upuuz wake Rais awe yeye?

Yan Mwigulu hata Wamuweke na Jiwe ntapigia kura Jiwe
 
Ninakerwa na maandishi ambayo yameandikwa "Mwigulu Rais 2015"
Nchi hii siyo ya wahuni, watafute uliowatuma wayaandike wakayafute barabara zote...

Ile ni ishara ya umbumbumbu, sijui hata uwaziri ulipewaje wewe,, kweli huu utawala wa majuha..

Kwa CCM mligombea 38, wote mgeandika nchi hii si ingekua gazeti?

aahhh KAFUTE UPESI, ,,,
 
Eti Wakuu,hivi huyu Lameck Nchemba alidhamiria kabisa kuwa Mwaka huu watu wamchague kuwa Rais wa Tanzania?
 
Ninakerwa na maandishi ambayo yameandikwa "Mwigulu Rais 2015"
Nchi hii siyo ya wahuni, watafute uliowatuma wayaandike wakayafute barabara zote...

Ile ni ishara ya umbumbumbu, sijui hata uwaziri ulipewaje wewe,, kweli huu utawala wa majuha..

Kwa CCM mligombea 38, wote mgeandika nchi hii si ingekua gazeti?

aahhh KAFUTE UPESI, ,,,

Yaacheni tu akiyaona anajisikia vizuri sana
 
Nimetembea njia yote ya kati nikawa nashangazwa na aina ya machata yake nikajiridhisha kwamba kama ni yy aliyepiga machata yale basi tumbaku ya tabora ndio inaleta matokeo yale!
 
��������������������������
 
Hata mm wakati nasafiri kwenda Mwanza nimeona sifa zake za kijinga kabsaa mimi na huyu mutu sijui amenikosea nini yaani damu yake na yangu haivutani kabisaa au sababu ya kimbele mbele chake!?
 
Back
Top Bottom