codyz
Member
- Jan 7, 2015
- 82
- 24
Habari ndugu Mwigulu.
Wananchi wa Mbeya tunakuomba uje ufute maandishi yako uliyoweka kwenye mitaro na madaraja mbalimbali hapa Mbeya kwamba wewe ni Rais 2015.
Kutokana na jina lako kuondolewa mapema bila maelezo huko Dodoma wananchi wa Mbeya tunahitaji uje usafishe mji wetu haraka iwezekanavyo.
Nawasilisha ndugu Mwigulu Nchemba.
Akimaliza Mbeya aje Mwanza