Mwigulu Nchemba, tafadhali kafute mabango yako barabarani!

Mwigulu Nchemba, tafadhali kafute mabango yako barabarani!

Haka kajamaa mimi binafsi huwa sikapendi kabisa!
Sijui kwa nini huwa kana vile vijitabia kama vya kale kajamaa kanakoitwa February Manyuzi.!
 
Kuna siku nasafiri toka Dar hadi Songea na Mbinga nakutana na chata zake tu hadi nafika, kweli ni uchafu!
 
Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi nzima!

Kwa kuwa umegonga mwamba katika matumaini yako tafadhali tumia mbinu zile zile ulizotumia kuyaandika mabango hayo kuyafuta kwani sasa yamekuwa uchafu!
Naona kwa sasa ataweza maana atawatumia wafungwa wa kila wilaya kuyafuta
 
Musoma, mwanza yaani kama vile yeye ndiye mwanasiasa aliyesalia nchini (siku moja naenda dodoma nikitokea arusha barabara hiyo ni shida mawe yamechorwa maandishi yake arusha hadi dodoma)
 
Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi nzima!

Kwa kuwa umegonga mwamba katika matumaini yako tafadhali tumia mbinu zile zile ulizotumia kuyaandika mabango hayo kuyafuta kwani sasa yamekuwa uchafu!
Halafu itakuwa alomtuma kuandika kote nchini ni mtu mmoja, maana mwandiko unafanana
 
Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi nzima!

Kwa kuwa umegonga mwamba katika matumaini yako tafadhali tumia mbinu zile zile ulizotumia kuyaandika mabango hayo kuyafuta kwani sasa yamekuwa uchafu!
Akitaka kugombea tena atashindwa masharti kwa kuanza kampeni mapema. Haoni kama ni tatizo kwani yupo kwenye serikali ya jpm huku anaendelea na kampeni ya urais.
 
Back
Top Bottom