Mwigulu Nchemba: Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa duniani kwa huduma bora za barabara, maji na umeme

Mwigulu ni crook wa kisiasa, Hakuna ajuacho!!
 
Kama barabara zetu ni bora why wao wanakimbizana na V8 kwenye barabara zilizo bora?,watanzania ni mazuzu
 
Mwigulu hafai kuwa kiongozi wa hii nchi,hajui kabisa shida za watanzania yeye anavyoserereka na life basi wote tuko ndio kila siku idea zake kumuongezea hali ngumu ya maisha m TZ kwa kumuwekea mitozo kila sehemu
 
Tatizo letu tunafurahia Sana uwingi wa vitu pasipo kuangalia ubora wa vitu hivyo. Ni kweli tunazo barabara za lami zinazounganisha sehemu mbalimbali za nchi, lakini je hizo barabara zina ubora unaotakiwa. Nyingi zilijengwa muda mrefu na kwa sasa ni choka mbaya zinahitaji matengenezo. Hatuna utamaduni wa kufanya ukarabati wa miundombinu yetu. Matokeo yake hizi barabara tunazojidai nazo zimejaa mashimo na sehemu nyingine ni mahandaki kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…