Mwigulu Nchemba: Timu bora Yanga haipati matokeo kwenye viwanja vibovu

Mwigulu Nchemba: Timu bora Yanga haipati matokeo kwenye viwanja vibovu

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,503
Reaction score
2,426
Viwanja vyetu vingi vya michezo hapa Nchini ni vibovu sana labda ukiacha tu Majaliwa Stadium iliyoko kule Ruangwa na ubovu wa viwanjwa hivyo unasababisha Timu bora kama Yanga inashindwa kupata matokeo inapokwenda mikoani kule”

“Napendekeza kusamehe kodi ya ongezeko la thamani kwenye nyasi bandia kwa ajili ya viwanja vya mpira vilivyoko kwenye Majiji kwa kuanzia, msamaha huo utahusisha ridhaa kutoka TFF na jambo hili Waziri wa Michezo amelipigania sana".

“Lengo la hatua hii ni kuendeleza michezo na kukuza vipaji hapa Nchini tukifanikiwa kwenye Majiji bajeti zinazofata tutakwenda Manispaa na baadae tutakwenda kwenye viwanja mpaka kwenye Timu"

Swali yanga iliyokua imechukua ubingwa mara tatu mfululizo ilikua inashinda Dar pekee na kaitaba tu?

Na vipi wanaopata matokeo wana wachezaji wa aina gani?
 
Tuseme anaandaa mazingira ya utopolo kushinda kwenye viwanja vibovu je Simba inayoshinda kwa mbinde kwenye hivyo viwanja vibovu si itakuw mseleleko tu kwao baadae utopolo wanalia tff inaibeba simba.

Sijawahi kuwaelewa viongozi wanoiongoza utopolo pamoja na viongozi lialia wa utopolo
 
Mwigulu shabiki mandazi wa utopolo.
 
Kwamba viwanja vya mikoani ni vibovu ukiachana na uwanja wa majaliwa?
Hakyanani sijawahi kuona uwanja mbovu kama huo wa majaliwa .
 
Alivyo fala na mtu wa kujipendekeza eti ukiachana na uwanja wa majaliwa ,kweli ule uwanja wa majaliwa ni mzuri kwa mtazamo wake? Huyu jamaa kwa unafki na kujipendekeza hajambo leo hii majaliwa stadium uwe uwanja mzuri kwa ligi kuu wakat kwa macho ule uwanja ukiutazama ni mbovu hatari.

Ila fresh tu Sasa awaamuru tff kuwa yanga game zake zote awe anapigia kwa mkapa ,Uhuru ,Azam chamaz na kaitaba ili visingizio visiwepo na ikiwezekana tff itoe huo upendeleo kwa yanga msimu ujao kutoa kelele za kila siku alaf kelele za kishamba
 
Utopolo atabaki kuwa utopolo tu hata awe nani
 
Alivyo fala na mtu wa kujipendekeza eti ukiachana na uwanja wa majaliwa ,kweli ule uwanja wa majaliwa ni mzuri kwa mtazamo wake? Huyu jamaa kwa unafki na kujipendekeza hajambo leo hii majaliwa stadium uwe uwanja mzuri kwa ligi kuu wakat kwa macho ule uwanja ukiutazama ni mbovu hatari.

Ila fresh tu Sasa awaamuru tff kuwa yanga game zake zote awe anapigia kwa mkapa ,Uhuru ,Azam chamaz na kaitaba ili visingizio visiwepo na ikiwezekana tff itoe huo upendeleo kwa yanga msimu ujao kutoa kelele za kila siku alaf kelele za kishamba
Uwanja wa majariwa na gwambina mtu na pacha wake full vipara full mabonde ovyo kabisa ovyo kwisha kazi kamtetea ccm mwenzie tu
 
Mwigulu ni shabiki wa Yanga fc, Huwa anashindwa kutoa kauli zenye busara, Hasa pale ambapo Yanga fc inakuwa na matokeo mabovu. Mwaka juzi alichukua baadhi ya wachezeji kutoka Singida united. Akidai eti Yanga wangesema mapema kuwa wanashida ya wachezaji wangesaidiwa; Hii iliipelekea singida united kushuka daraja baada ya wachezaji kupelekwa Yanga fc kwa maagizo ya Nchemba.
Wanadai Yanga fc ni mabingwa wa kihistforia, zamani kulikuwa na viwanja vya nyasi za bandia.?
 
Mwigulu ni shabiki wa Yanga fc, Huwa anashindwa kutoa kauli zenye busara, Hasa pale ambapo Yanga fc inakuwa na matokeo mabovu. Mwaka juzi alichukua baadhi ya wachezeji kutoka Singida united. Akidai eti Yanga wangesema mapema kuwa wanashida ya wachezaji wangesaidiwa; Hii iliipelekea singida united kushuka daraja baada ya wachezaji kupelekwa Yanga fc kwa maagizo ya Nchemba.
Wanadai Yanga fc ni mabingwa wa kihistforia, zamani kulikuwa na viwanja vya nyasi za bandia.?
Fact huu ubingwa wa kihistoria waliupataje? Na viwanja ndio vilikua ivi vibovu
 
Back
Top Bottom