Mbo Mpenza
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 445
- 1,114
Anapandisha mabega.
Sijui dokta wa kiembesamaki ataamuaje
Sijui dokta wa kiembesamaki ataamuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali sana niamini mimi.Jamaa hafiki 2024🤣🤣
😂😂😂Watoto wa mjini ukimzingua anajifanya mjinga anaendakukusubiri kwenye mataa ndiyo utajua mjinga ni nani
Dr Mwigulu anatupiga za uso laivuuu laivuuu
Kwahiyo hapa Dr. Mwigulu Nchemba PhD anawaambia nini kina Dr. Samia, Dr. Kikwete, Dr. Hamisi Taletale na ma Dr wengine kama hao?
Wewe Dr. Mwigulu Nchemba wewe?
Mwigulu achunge tu domo lake, hawezi kumdharirisha hivi our presidentNadhan wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar
Kijijini ama kwenye ukoo wao ndio wa kwanza hebu chunguza. Yaani from cowboy mpaka kuwa dokta sio mchezo. Ila angezaliwa akakutana kwenye Koo yake Kuna dokta Kama Mia nadhani angeiona kitu Cha kawaidaYe nae kila siku kujisifia udaktari. Utadhani ndio wa kwanza kuupata
Dr Mwigulu anatupiga za uso laivuuu laivuuu
Dokta JKUzi Huu auone Dokta Samia !!
Jamaa alianza kwa ku-nu-nu-a jina.Kijijini ama kwenye ukoo wao ndio wa kwanza hebu chunguza. Yaani from cowboy mpaka kuwa dokta sio mchezo. Ila angezaliwa akakutana kwenye Koo yake Kuna dokta Kama Mia nadhani angeiona kitu Cha kawaida
Yaani wamemtega nae anajitangulizamo🤣🤣🤣Mbali sana niamini mimi.
Anachokitafuta atakipataNadhan wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma alafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Kamlenga Dr Msukuma ambaye Jumamosi alimponda sana Mwigullu pale Viwanja vya Furahisha MwanzaKazi kweli, katupa jiwe gizani. Sijuhi litatua wapi. Lakini unyenyekevu muhimu!!!
Jumapili unatoka mkeka wa MawaziriJamaa hafiki 2024🤣🤣
Daah, ambao hatujasomea u dokita tuna comment wapi? 🤣🤣🤣Nadhan wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma alafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Mpeni Kimei !!Jumapili unatoka mkeka wa Mawaziri
Fedha anaenda Bashe